Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Feel some shame you imbecile, tumia best enemy wako kwa basi 😂🤣Asante sana, karibu tupate hata juice kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Feel some shame you imbecile, tumia best enemy wako kwa basi 😂🤣Asante sana, karibu tupate hata juice kidogo.
Si ukawe winga kko😅mimi ni raisi wa ma jobless pro max, hivyo hiyo list ya matajiri Simo.
Ili nika angukiwe na maghorofa ehh😄Si ukawe winga kko😅
🥲🥲🥲🥲Mmh msalaIli nika angukiwe na maghorofa ehh😄
We Kama ume nunua ghorofa, halafu una taka uni fanye ndoano.🥲🥲🥲🥲Mmh msala
MAnyuziiiiiiiiiiiiiii😂😂😂mimi ni raisi wa ma jobless pro max, hivyo hiyo list ya matajiri Simo.
Tumbatu sio kisiwaUlizia kisiwa cha tumbatu kule unatibiwa na jini unaongea nae kabisa
Matatizo mengine hayaelezeki mkuuYaani aelekezwe mganga bila hata kusema anaumwa nini?
Au ndio wale waganga wenye uwezo wa kutatua kila aina ya tatizo!
Kwani mnaojuaa hizo chimbo za Waganga wa jadi mkimjibu hapa au kumfata inbox mnapungukiwa nini??
Kama hauna cha kumsaidia ukinyamaza pia ni busara tosha.
Dunia ina mengi sana yasipokukuta unaweza kuwa unatukana kila mtu na kujiona wewe unaishi kwa akili zako.
Siku zote chizi anachekesha akiwa atoki nyumbani kwako..Omba na Sali sana yasikukute Duniani kuna mitihani mizito mno.
Polee sana muhitajii jukwaa ni kubwa sana na kila mtu anaupeo wake wa kufikiriaa naamini kabisa msaada unaweza kuupata hapa hapa jukwaani Waungwana wapo
Sometimes hukuwa na akili sana🙂Pole sana.
Tafuta mahali pazuri upumzike hata kwa siku nzima huku ukitafakari.
Baada ya hapo utajua pa kuelekea.
Mkuu pole sana, maneno ya watu yasikukatishe tamaa. Pambania afya yako kwanza.So ulienda ukiwa hujui unaenda kwa nani? Utaenda pandikizwa majini humo mwilini mpaka ukome
Halielezeki kwamba ni aibu kulieleza au hakuna maneno ya kuelezea?Matatizo mengine hayaelezeki mkuu
acha ushamba mkuu,humu jukwaani hauhitaji kuyachukulia serious masuala yote,wengine wanachangamsha jukwaa tu,na kama ulivyosema kama mtu hana cha kumshauri bora akakaa kimya,kipi wewe umemshauri! Kheri ungempa pole tu ukasepa zako. Kwako mleta mada, waganga wa wa kienyeji wapo huku bara tena kwa bei chee kabisa,hasa tabora,kigoma,kanda ya ziwa yote. Huko pemba utaishia kupigwa pesa na kutupiwa majini.Kwani mnaojuaa hizo chimbo za Waganga wa jadi mkimjibu hapa au kumfata inbox mnapungukiwa nini??
Kama hauna cha kumsaidia ukinyamaza pia ni busara tosha.
Dunia ina mengi sana yasipokukuta unaweza kuwa unatukana kila mtu na kujiona wewe unaishi kwa akili zako.
Siku zote chizi anachekesha akiwa atoki nyumbani kwako..Omba na Sali sana yasikukute Duniani kuna mitihani mizito mno.
Polee sana muhitajii jukwaa ni kubwa sana na kila mtu anaupeo wake wa kufikiriaa naamini kabisa msaada unaweza kuupata hapa hapa jukwaani Waungwana wapo