Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Kwa sheria za US Wala hao dp world hawawezi fanya ujinga. huku kwetu hesabu ni maumivu

Kaangalie pia Namibia kilichotokea kwa hap dp world unaowasifia
 

..KATIBA nzuri yenye sheria kali itadhibiti wezi wa Ccm, Chadema, Act, etc.

..Trump alidhibitiwa na Katiba ya Marekani. Wangekuwa na Katiba legelege Trump angepora uchaguzi.
 
Ndio tupangishe ila siyo kwa miaka Mia duh

Muhimu mkataba uwekwe wazi.

Tuelezwe kwanini wameamua miaka Mia na sio labda mitano kwanza

Kwanini hakukuwa na ushindani wa makampuni tofauti.

Tunahakikisha vipi na wenyewe hawatupigi?
 
Kwa sheria za US Wala hao dp world hawawezi fanya ujinga. huku kwetu hesabu ni maumivu

Kaangalie pia Namibia kilichotokea kwa hap dp world unaowasifia
Point muhimu kwa USA, Europe hawezi sababu na wao wanasimamiwa na watu makini, wazalendo kwa mataifa yao na kila kitu kinawekwa na kipo wazi.

Hatua zote za kuwapa tenda, malengo, faida Kwa nchi, urefu wa mkataba, kwanini uwe mrefu hivyo vyote vingekuwa wazi. Añgalia hadi sasa huu mkataba hivi bado unafichwa, haujawekwa wazi.

Hapa Tanzania, Afrika wasimamizi wenyewe ndio hao hao wala rushwa wakuu, hawajali, ndio washirika wakubwa wa upigaji wa Mali za umma.

Nani atawasimamia na kuwawajibisha?
 
acha siasa kwenye mambo kama haya hivi miaka 100 unaielewa vizuri
 
Naona vitu kwa sasa wanapewa sekta binafsi kwa sirisiri bandari, mbuga kwa miaka 33, 100 nk.

Pia Kuna LNG na uwekezaji wa 40bn USD. Hii process inaendeshwa kwa usiri isije kuwa ni mikataba kama ya ACACIA

Kwanini kuna ugumu gani na kigugumuzi kuweka haya mambo wazi kama mkataba na Tanzania na Barrick Gold?
 
Naunga mkono hoja ya kubinafsishwa ila kwanini iwe miaka 100?
 
Hii story ya Namibia inaonekana ni kama 100% kilichotokea Namibia.

Soma hapo chini

"In 2019, DP World, a Dubai-owned port operator, under the aegis of Sultan Bin Sulayem, with support from the former Transport Executive Director, Willem Goeimann orchestrated a plan to gain control of the newly constructed N$4.2 billion Walvis Bay container terminal through a direct agreement for a period of 50 years.

DP World’s strategy included extending unwarranted generosity to several Namibian decision makers, some of whom were completely oblivious of their true intent; to avoid a competitive process that would most probably undercut their chances of controlling this strategic asset. To bypass Namibia’s procurement laws and justify a direct agreement, DP World’s agents pushed for a largely farcical Government-to-Government agreement between UAE and Namibia, which was a mere smokescreen, hiding DP World’s real motive. This deception was clearly manifested when they signed an MOU with Nara Namib to develop a Free Economic Zone in Walvis Bay.

It was considered dangerous and inimical to the interest of Namibian People but it seems no one made the effort to analyse it in detail.

For unscrupulous foreign opportunists all you need is the opportunity, an architect to draft the master plan, a local agent that knows how to manipulate the system, a few key officials and the unscrupulous foreign investor to exploit Namibia and deprive it of real economic development".

 
Naunga hoja mkuu serikali yetu kwenye mashirika Haina uwezo wa kuyaendesha wabinafsishe wabaki kukusanya Kodi tu huko naona kidogo wanajiweza lakini usimamizi ni mbovu kwakweli
Mbona Bandari ya Dar kila mwaka inapata faida mabilioni ya fedha ?
 
Secta nyingine ifutate inazie pale yule bibi pale ikulu maana hataki kutumia hata 1/64 ya akila yake solution ni kubinafsisha tuanza na yeye kwanza
 
Maktaba wa US.A na hapa kwa bibi unaweza kulinganisha reputation yao
 
Kwani tunaweza kujitawala?
 
Hakuna nchi ambayo imebinafsisha kila kitu mzee bandari ni sehemu nyeti sana huwezi kumpa mtu binafsi aendeshe kuna mambo mengi ya kiusalama kwetu na nchi jirani ni sawa na kuzi privatelize airports haiwezekani zitakuwa ni highways za kupitishia magendo na silaha haramu .
YAANI TUMPE MCHINA NDIO ASIMAMIE BANDARI YETU LOL!!
 
Wanao nufaika ni wachache sana jamii kubwa inabakia masikini milele
 
Secta nyingine ifutate inazie pale yule bibi pale ikulu maana hataki kutumia hata 1/64 ya akila yake solution ni kubinafsisha tuanza na yeye kwanza
Wala hakuna shida hata yeye atabinafsishwa ,kikubwa Ufanisi uje

Kamatia hapo hapo Rais Hadi wanyooke Hawa nyumbu waligeuza Bandari shamba la bibi la kuvinia,ngoja Mwarabu aje awanyooshwe vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…