Kwa sheria za US Wala hao dp world hawawezi fanya ujinga. huku kwetu hesabu ni maumivuMleta mada uko sahihi. DP World ni kampuni yenye weledi usiotia shaka. Kwa wasioijua ni kuwa wao pia ndo wana mikataba kwenye bandari sita za USA. Je, USA wao ni wajinga? Hakuna namna tunaweza piga hatua kwa kuendekeza watanzania wenzetu wanaotupiga daily.
Wewe unamuona tundu lissu kama mtu safi, kalagha bhao, huwa Najaribu kuunda serekali ya chadema kifikra huwa nashindwa kujua itakuwaje?, mfano rais TL, Makamu wa rais yule with zanzibar, Waziri mkuu mbowe, Waziri biashara sugu, Mambo ya ndani lema, hivi mnadhani hapo patakuwa na nchi kweli?
Ndio tupangishe ila siyo kwa miaka Mia duh
Point muhimu kwa USA, Europe hawezi sababu na wao wanasimamiwa na watu makini, wazalendo kwa mataifa yao na kila kitu kinawekwa na kipo wazi.Kwa sheria za US Wala hao dp world hawawezi fanya ujinga. huku kwetu hesabu ni maumivu
Kaangalie pia Namibia kilichotokea kwa hap dp world unaowasifia
Leta ushahidiAlishindwaje ikiwa mlimua baada ya kuwa tishio kwenu?
acha siasa kwenye mambo kama haya hivi miaka 100 unaielewa vizuriIfike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.
Kwa taarifa zaidi soma hapa >> Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.
Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.
Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?
Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.
Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.
Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Mbona Bandari ya Dar kila mwaka inapata faida mabilioni ya fedha ?Naunga hoja mkuu serikali yetu kwenye mashirika Haina uwezo wa kuyaendesha wabinafsishe wabaki kukusanya Kodi tu huko naona kidogo wanajiweza lakini usimamizi ni mbovu kwakweli
Na Wafanyakazi wa Bandari waliopata kazi Kwa connection, hapo wamejaaa Watoto wa vigogoIligeuzwa shamba la bibi na nani?
Secta nyingine ifutate inazie pale yule bibi pale ikulu maana hataki kutumia hata 1/64 ya akila yake solution ni kubinafsisha tuanza na yeye kwanzaHii Bandari iligeuzwa shamba la bibi la watu wachache kuchuma harafu wengine tunabakia kuwa Wapenzi watazamaji..
Naipongeza Serikali kuweka investor Cha msingi wakubaliane pesa Kwa mwaka Ili awatimue wale wezi na waliokuwa wanaleta inefficiency..
Iende Hadi kwenye sekta zingine mfano tuna Kampuni ya Ranchi ya Taifa hakuna wanachofanya ni upuuzi tuu.
Maktaba wa US.A na hapa kwa bibi unaweza kulinganisha reputation yaoMleta mada uko sahihi. DP World ni kampuni yenye weledi usiotia shaka. Kwa wasioijua ni kuwa wao pia ndo wana mikataba kwenye bandari sita za USA. Je, USA wao ni wajinga? Hakuna namna tunaweza piga hatua kwa kuendekeza watanzania wenzetu wanaotupiga daily.
Kwani tunaweza kujitawala?Kuwaachia kila kitu wawekezaji maana yake tunakiri hatuwezi kujitawala, ni bora sasa tumrudishe mkoloni arudi kwasababu naamini kabisa, jinsi mambo yanavyoendelea serikalini kwa sasa, pia tunahitaji kuibinafsisha serikali yetu.
Hivyo sioni sababu kwanini tuendelee kuwaza kubinafsisha vitu vidogo dogo, wakati kule juu penye tatizo la msingi tunaendelea kupaacha kama palivyo, alaah, kumbe inawezekana hata vichwa vyetu pia vinatakiwa kubinafsishwa, kwasababu fikra zetu nazo ni mgando.
Bandari ni tofauti na TRA, TRA hawafanyi biasharaHapo serekali ndio inatakiwa kubadilika ukishindwa kuendeshe bandari Kuna siku utabinafsisha TRA
KabisaNaunga hoja mkuu serikali yetu kwenye mashirika Haina uwezo wa kuyaendesha wabinafsishe wabaki kukusanya Kodi tu huko naona kidogo wanajiweza lakini usimamizi ni mbovu kwakweli
Yataje then tuingie googleUK siyo nchi ya kijamaa ila inaongoza kwa kuwa na mashirika ya umma
Hakuna nchi ambayo imebinafsisha kila kitu mzee bandari ni sehemu nyeti sana huwezi kumpa mtu binafsi aendeshe kuna mambo mengi ya kiusalama kwetu na nchi jirani ni sawa na kuzi privatelize airports haiwezekani zitakuwa ni highways za kupitishia magendo na silaha haramu .Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.
Kwa taarifa zaidi soma hapa >> Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.
Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.
Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?
Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.
Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.
Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Wanao nufaika ni wachache sana jamii kubwa inabakia masikini mileleNaungana na wewe serikali kufanya biashara ni kunufaisha watu wachache tu maana wizi ni asili ya watanzania ziwekwe terms nzuri kimkataba ambazo zitaipa pesa za uhakika serikali wawaachie wawekezaji.hata ufanisi utakuwepo sana na malalamiko yatapungua sana
Wala hakuna shida hata yeye atabinafsishwa ,kikubwa Ufanisi ujeSecta nyingine ifutate inazie pale yule bibi pale ikulu maana hataki kutumia hata 1/64 ya akila yake solution ni kubinafsisha tuanza na yeye kwanza