Joo basi kwangu..na mimi nimeanza kuvuta hivyo vyote kuanzia leoNaomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!π
Wow!! Afadhali wewe umeongea ukweli, kuna wenzako hata hawajui wakitakacho kwetu!Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!π
Kakutolea siri yako eeh.crazy, you're crazy
Eeh[emoji849]Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma![emoji23]
Atakuwa weee sele weeWe utakuwa mvuta bangi? Daa! Sasa Mtoto mtakayezaa si atakuwa mla bangi kibisaa
uache utakosa mchumbaKishada[emoji8]
uache utakosa mchumba
ukivuta bangi si utakua unampiga mchumba wakoKwamba utaniacha au, maan najua wew ndo mchumba wangu jmn[emoji3]
ukivuta bangi si utakua unampiga mchumba wako
Ukisikia watu wanasema kijana sio riziki, kijana mwenyewe ndio huyu kma mlikuwa hamumjui.[emoji115][emoji115][emoji119][emoji119]Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma![emoji23]
kila mtu na starehe yakeNaanzaje kwa mfano, nikivuta nakua high nakupa mahaba tele tele sema nni smoker wengi wapo real sana
kila mtu na starehe yake
ππSasa tutafute hela au bangi?
Maana mnatuchanganya.
Mara mnataka hela mara bangi.
atakuja kuwa pushaWe utakuwa mvuta bangi? Daa! Sasa Mtoto mtakayezaa si atakuwa mla bangi kibisaa