Niliona kinaeleaAnza wewe hukukiona kitanda ulikiona kinini sasa?
Me mpole mkuu πππ we kabinti ni comedian sana
Mwambie siku azimue uone itakuaje au mpe πͺπͺπͺπͺ alafu subiri mrejeshoMie kuvuta bangi hapana
Mwamba Yuko gado haitaji booster!
Huyo mpuuzi anatupiga dislikes ndio mleta mada mwenyewe side B
nipo hapa mvuta bangi. mm sigara situmii kabisa. nilianza na bangi na ninaitumia mara kwa maraNaomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!π
Moto ulioupata siku hio hutokuja usahau,Niliona kinaelea
Kila nikikifata kinakimbia na chenyewe
Hivo ni vinini??Mwambie siku azimue uone itakuaje au mpe πͺπͺπͺπͺ alafu subiri mrejesho
Katest kwanzaKwahio Hata mwenye kiba100 akivuta bhange ni nomaa??π€!.
Nauliza tuπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈ
Subiri muda wako ufike wala usilazimishe iwe hivyoHivo ni vinini??
Nasikia sikia sana kuwa wanaume wanaovuta bangi wako vyedi kunako sasa wangu havuti na ako vyedi siku akivuta si itakua hatari.
Najaribu kuwaza tu!
Muda upi ifike??Subiri muda wako ufike wala usilazimishe iwe hivyo
Nihangaike mwisho nizoe magonjwa tu hapana asee!Katest kwanza
Cookies π₯πͺπ₯πͺπ₯πͺπ₯πͺMuda upi ifike??
Hujanijibu ni vinini hivo kwamba nimpe?? Sijavielewa
dislikes zake zinaonyesha huenda ana wivu na mtoto DepalHuyo mpuuzi anatupiga dislikes ndio mleta mada mwenyewe side B
AhaaaCookies π₯πͺπ₯πͺπ₯πͺπ₯πͺ
huo mzigo OG?nipo hapa mvuta bangi. mm sigara situmii kabisa. nilianza na bangi na ninaitumia mara kwa mara
TOM BANENI ni dogo flani tu anaforce maishadislikes zake zinaonyesha huenda ana wivu na mtoto Depal