Lecheminduroi2
Senior Member
- Jan 7, 2025
- 115
- 325
Sheria za shule zinasemaje kuhusu hilo suala? Kumbe mnavyowapa wazazi joining instructions form hata nyie hamsomi kilichoandikwa 😂Sasa chief unakuta mtoto anapigana denda na mwenzie hivi watoto kama utawaacha tu hivo hivo
Shule za manunda huko uswazi kawaida sana. Na litoto likitoka hapo bado lipo kamili gado. Sasa wewe mpeleke mtoto wa blubendi hapo kama hajazikwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3266333
Hii picha sio ya kuigiza. Ni picha halisi ilipigwa na camera ya simu ambayo haikuwa na spidi sana ndio maana unaona kuna sehemu za picha ziko out of focus, kuonyesha zilikuwa zina movement ya kasi zaidi spidi ya camera ya simu.
Na picha inajieleza. Hasira za mwalimu, maumivu ya mwanafunzi na shock usoni mwa wanafunzi wanaotazama tukio hili.
Sasa niambieni. Nipate picha au video clip kama hii na huyo hapo anaesulubiwa awe ni mwanangu, mnafikiri nitamfanya nini huyo mwalimu, kumpeleka kwa polisi wetu hawa ambao wengi ni wala rushwa? Ni kosa gani ambalo huyu mwanafunzi anaweza kuwa amefanya kiasi mwalimu amwadhibu kwa ghadhabu na ukatili namna hii - amembaka mama yake?
Walimu wenye tabia hii chukueni tahadhali. Mtaja kutana na watu ambao akili zao zitakuwa kama zenu, na hamtashinda.
Ndiyo maana wanachapwa halafu wanaitwa wazazi wao, na kufukuzwa shuleUkiwachapa ndiyo wataacha tabia hizo?
Mbona kuna watoto mnaadhibu karibu kila siku na bado wanaishia kuwa watukutu hadi wamefikia hatua hawawaogopi wala kuwaheshimu walimu mnapigana nao.
January Makamba hakusoma Feza? Alibuni kuwagawia wabunge mitungi ya gas ili wapitishe muswaada wa wizara ya nishati!!!Hao wana akili za darasani lakini hawana ubunifu wowote wa kushangaza.
Feza ina miaka mingi tangu ianzishwe..ni mtu gani amesoma pale amebuni chochote tunachojivunia kama Taifa?
Kwahiyo na huo ni ubunifu..?😏😏January Makamba hakusoma Feza? Alibuni kuwagawia wabunge mitungi ya gas ili wapitishe muswaada wa wizara ya nishati!!!
Hii kanuni hadi leo inatumika na CCM kutafuta kura!
Mkuu mbona watoto watukutu wanaongezeka kila uchwao licha ya hizo adhabu za kikoloni mnazotoa?Tafsiri ya ukatili kwa mtoto iko wazi kimazingira. Mtoto mtukutu ataadhibiwa kwa kwa uzito wa kosa lake. Hauliwi wala hajeruhiwi mpaka damu zimtoke. Atachapwa au kufinywa au kurudishwa nyumbani akamlete mzazi wake. Zipo adhabu kwa watoto watukutu, wenye malezi mabaya ya wazazi wake yaishie kwao. Mtoto wako akija shuleni na tabia zenu mbaya huko kwenu atanyooshwa tu
Matokeo yake hasira zinaishia kwa watoto.mikopo umiza imewaharibu akili
Una masikhara wewe, sema hujui ujuzwe. Ukiona mtoto anasoma Feza halafu mnakutana naye mtaani anazurula basi ndio hao hao ambao wazazi wao akili finyu. Wazazi wenye akili timamu anapeleka mtoto Feza huku ana connection za kutosha, tafuta wahitimu wa Feza halafu uulize wengi kati ya waliosoma nai wako wapi, jibu utalipataHao wana akili za darasani lakini hawana ubunifu wowote wa kushangaza.
Feza ina miaka mingi tangu ianzishwe..ni mtu gani amesoma pale amebuni chochote tunachojivunia kama Taifa?
🤔Hujanijibu mtoto kama Huyu ungemfanyaje?Sheria za shule zinasemaje kuhusu hilo suala? Kumbe mnavyowapa wazazi joining instructions form hata nyie hamsomi kilichoandikwa 😂
Sometimes dharau kwa walimu zinatengenezwa na wenyewe
Hawa ni fimbo 25 Kila mmoja na kufukuzwa shule basi 🤔huez acha watoto wanafokoana Vinyeo shuleni waje wafokoe na wengine🤔Kuna madogo waling'oa mabeseni ya kunawia mapya kabisa karibu 8 kwenye shule x ya sekondari , hawakuishia hapo wakapulizia spray ya rangi ukutani rangi iliyopakwa na fedha za walipa kodi tena wasio na kipato na kuandika matusi siku hiyo hiyo walikutwa wanalawitiana huko vyooni wewe kama mwalimu utawapa adhabu gani..?
Shule za manunda huko uswazi kawaida sana. Na litoto likitoka hapo bado lipo kamili gado. Sasa wewe mpeleke mtoto wa blubendi hapo kama hajazikwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nina asili hiyo toka nimezaliwa nilizaliwa ijumaa sambili uskuHivi unagomaje kulala?😀😀😀😀
Watetezi uchwara wa haki za watoto watasema umewaoneaHawa ni fimbo 25 Kila mmoja na kufukuzwa shule basi 🤔huez acha watoto wanafokoana Vinyeo shuleni waje wafokoe na wengine🤔
NaamDogo msumbufu anatakiwa kukanyangwa shingo kwanza
Nimfanye nini? Anahukumiwa kama sheria ya shule inavyotaka!🤔Hujanijibu mtoto kama Huyu ungemfanyaje?
Sasa kama ni asili yako kwa nini upigwe? Ni sawa na greenkwanja JKT kumpiga kilema wa mguu kwa sababu hatembei vizuriNina asili hiyo toka nimezaliwa nilizaliwa ijumaa sambili usku
Bahati mbaya mauaji ya wanafunzi 99.9% yanatokea kwenye hizo shule the so called za manundaShule za manunda huko uswazi kawaida sana. Na litoto likitoka hapo bado lipo kamili gado. Sasa wewe mpeleke mtoto wa blubendi hapo kama hajazikwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣