Angalia kicocastic kilikua banned nenda kwenye uzi wa tuzo kule, mishangazi ilivokipigia kelele na kukipamba kama mwanamke mwezake hadi wengine wananamba yakeHapana,umetuonea siye mashangazi
Inategemeana dini gani huyo kunadini zinaruhusuMwingine huku jamaa mwenye miaka 50 kabaka mtoto wa miaka 7.
π€£π€£π€£ unayaogopa mashangaziMi simoπππ
π³π³π³Zinaruhusu kubaka?
πππ hayo ndo yanachochea ushoga,CC:antonia shangazi wa hovyoNimeona lakini Yale ni mambo Yaoπ€
Walaaniweee woteeeHakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina[emoji120][emoji120][emoji120]. ....Daaah
Ukweli unauma ila inabidi usemweπππMi simo aiseeπ€
Ukioa mtoto wa miaka kumi si kubaka huko anajua nini kwenye ndoa hata kupika tambi hajuiWamesema amebaka,siyo ameoa mkuu
Yes labda utengee maharage aendelee kuchocheaπππ Kupika tambi hajui?
Ile dini ni miaka 14 sio sabaInategemeana dini gani huyo kunadini zinaruhusu
Baba wa dini kapiga mtoto wa age7Ile dini ni miaka 14 sio saba