Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Wivu tu wa kike unakusumbua. Na wewe leta bakuli lako tukuchangieKwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu wa kike unakusumbua. Na wewe leta bakuli lako tukuchangieKwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
La nini? Mimi sihitajin ubunge wala urais.Wivu tu wa kike unakusumbua. Na wewe leta bakuli lako tukuchangie
Hapo ndio mziki mzuri hawa maskini kwa kushiriki kampeni kunawaunganisha namgombeahakika chadema dakika moja mbeleMnasema hatupo kwenye uchumi wa Kati.
Wananchi ni maskini,
Halafu mnatembeza bakuli kwa maskini.
Unampenda sema basi tu unazizuia hisiaMbowe hata tukichanga yee anakura ela tu. Ndo maana mimi niriachaga kuchanga
Basi piga kimya wanaume tukichangia bakuli la LisuLa nini? Mimi sihitajin ubunge wala urais.
niriachaga = xMbowe hata tukichanga yee anakura ela tu. Ndo maana mimi niriachaga kuchanga
Wabunge wa upinzani Walikuw wangapi vile!.Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Kimya wakati mnatulazimisha tuchange,wakati mnajua tuna hali ngumu?Basi piga kimya wanaume tukichangia bakuli la Lisu
URIACHA kwa sababu wanaKURA.Mbowe hata tukichanga yee anakura ela tu. Ndo maana mimi niriachaga kuchanga
Wewe nani kakuchangisha? Tangu lini wewe ukawa Chadema. Pambana na NCCR yakoKimya wakati mnatulazimisha tuchange,wakati mnajua tuna hali ngumu?
kuna hesabu gani hapo sio halisi,mwaka huu gharama ndio zitashuka kidogo kuliko chaguzi tatu zilizo pita,na hata hivyo sheria ya uchaguzi haiwezi kufuatwa na CCM HILO LINAJURIKANA,hata hivyo wanapaswa kuwasilisha mchanganuo wa matumizi yote baada ya uchaguzi lakini hakuna kiwango cha mwisho cha matumizi halali kilichowekwa na sheria.Unajua sheria ya uchaguzi inataka kiwango cha mwisho cha gharama za uchaguzi iwe sh ngapi? Unaropoka kama unaharisha.
Uriachaga? [emoji848][emoji848][emoji848]Mbowe hata tukichanga yee anakura ela tu. Ndo maana mimi niriachaga kuchanga
Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Mkuu VUTA-NKUVUTE unasahau kwamba:
1) Kampeni siyo za Urais tu, kuna Wabunge na Madiwani. Wote hao wanahitaji fedha kumudu kampeni. Je, chama kilijipangaje mapema, maana muda wa Uchaguzi Mkuu hujulikana?
2) Viongozi wa CHADEMA, na kwenye kampeni zinazoendelea, Lissu mgombea Urais amesikika akidai CCM imeharibu uchumi watu wamekuwa masikini kuliko awamu zilizopita. Hao wanaombwa kuchangia CHADEMA wana uwezo gani au ndio mpango wa kuwafanya masikini ili hayo madai yawe kweli?
3) CHADEMA, kama chama kikuu, kilikuwa kinapata mabilioni ya ruzuku. Isitoshe wabunge nao wamechangia kila mwezi na kufikisha mabilioni. Je, hii fedha imetumikaje maana hata ofisi, japo moja ya chama, haijajengwa.
Hiki ndio chama cha kuomba kuchangiwa gharama za kampeni?
Nani kakwambia wananchi wanna hali mbaya? Tupo uchumi wa kati halafu unatwambia tuna hali mbaya
Sawa, vipi kuhusu ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi ipo wapi?
Kwani chadema baada ya makusanyo imepungua ngapi ili tuchangie?Unajua gharama za uchaguzi au unajiropokea tu?
ngoja nikupe mfano mdogo tu:.
kampein za CCM
MGARI yasiyopongua 60 kwenye msafara wa mgombea urais, makamu 50 na waziri mkuu 40 jumla ya magari 150 yanatumika kila siku kwa siku 60.
wastani wa chini mafuta kwa kila gari lita 80 kila siku unapata nini 150 x 80ltr x 1800 bei ya lita moja x siku 60 za kampeini 1,296,000,000/= kadirio la karibu 1.296B HIYO NI GHARAMA YA MAFUTA, ukiweka gharama za chakula na kulala kwa walioko kwenye hiyo misafara fanya watu wasiopungua 400 kwa siku wanalipwa posho ya sh 30,000 x 400 x 60 = 720,000,000 fanya 1B Kwa wastan wa chini kampeini za CCM hazitapungua B20 CHADEMA wanazo hizo hela je CCM nayo ina biashara gani ya kumiliki hizo hela, majibu unayo mwenyewe.
Kwa nini msijikite kupata madiwani na wabunge?Wewe nani kakuchangisha? Tangu lini wewe ukawa Chadema. Pambana na NCCR yako
Kwani chadema baada ya makusanyo imepungua ngapi ili tuchangie?
Namaanisha pesa ya ruzuku ukijumlisha na makato ya wabunge ya Kila mwezi jumla zipo ngapi?
Na makadirio ya gharama ya uchaguzi ilikuwa ni kiasi gani? Na imepungua ngapi?
Sio wanakuja na lugha za jumla jumla eti tuchangie. Hii imekuwa ni kawaida ya chadema kuomba michango kwa wananchi af mrejesho wa matumizi hatuambiwi.
Kwanza wananchi hatuna hela wao wenyewe Kila siku wanakiri hilo.
kuchanga ni hiari sio lazima,pili chadema ni chama kilichoenea nchi nzima kina watumishi waajiriwa wa cha ukiacha gharama za uchaguzi pia kuna gharama za kukiendesha hiki chama kilicho fanyika ni kuwadhibiti watu wote na njia zingine zote ili vife kifo cha kawaida,UKATA, lakini cha ajabu watu wanajitolea kwa kila namna vyama vya upinzani visife,ole wetu tukubari CCM aviuwe vyama hivi tumekwisha Tanzania kama sasa ni hivi je CCM akibaki peke yake atatutenda yapi!Kwani chadema baada ya makusanyo imepungua ngapi ili tuchangie?
Namaanisha pesa ya ruzuku ukijumlisha na makato ya wabunge ya Kila mwezi jumla zipo ngapi?
Na makadirio ya gharama ya uchaguzi ilikuwa ni kiasi gani? Na imepungua ngapi?
Sio wanakuja na lugha za jumla jumla eti tuchangie. Hii imekuwa ni kawaida ya chadema kuomba michango kwa wananchi af mrejesho wa matumizi hatuambiwi.
Kwanza wananchi hatuna hela wao wenyewe Kila siku wanakiri hilo.