Uasili wetu tulikuwa hatuvai nguo kama hivi ilikuwa ni lubega tu wanawake wanajifunga nguo kifuani tu kwahiyo unaposema uasili sikuelewi kabisaAsomaye na afahamu!
Hongera mleta mada kwa uzi mzuri, ni vema tukarudi kwenye uasiri wetu wa kibantu ambao hata kiafya unakubalika zaidi.
Tusikubali kutekwa na mambo ya utandawazi.
Kuna mambo ya msingi yanapaswa kubaki yalivyo bila kujali mabadiliko au maendeleo ya kiteknologia.
Kama kitu hakikupunguzii kitu na sio dhambi hakikupi shida, sasa ungekuwa ulisha mwambia siyataki hayo makitu ungeona anavyosononeka!Wakwangu avae tu japo sijawahi kumuona akivaa ila anayo anasemaga mpka itokee emergency ndio atavaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Hivi unazani wanao olewa ni wale wasio vaa mawingi? Au wewe upo kijijini sana au Ndiyo umeingia mjini! Hivi hujawahi ona mtu anaolewa au anaoa mpaka watu wanashangaa unachukua huyo mtawezana, na wanashangaa wanazeeka wote, kwa taarifa yako habari za kuolewa kwa mwanamke ni bahati kuna wanawake anaweza olewa hata mara 3 anaachika lakini waliotulia hata wakumwambia njoo hata unifulie nguo hakuna, kama unamawazo hayo pole sana!Ngoja nikufafanulie, mtu anayekuchulia wewe kama sex toy hashindwi hata kukufunga kamba shingoni na kukuvuta kama mbwa barabarani huku ukimlamba miguu, hiyo inaweza ikampa mshawasha zaidi wa kingono, its simply and pirely for sexual gratification, lakini kamwa hawezi kumfanyia hivyo mtu anaemheshu katika level ya mke, sijui unanielewa lakini? Hence anakataza nyumbani ila nje kama kawa
Hao wavaa mawigi ndiyo wanao wafirisi kila siku, wake zao kazi kunuka vikwapa tu ila huko nje wanahudumia tuHii umeijibu vizuri sikutarajia kama ungejibu kiasi hicho!
Isipokuwa kama ni kweli uyasemayo kwa niaba ya wenzio mimi nawashauri muache kabisa kuchepuka na kuwashadadia hao michepuko wavaa mawigi na kushonea na wapaka mekaps
Unajua ukisimamia unachokiamini na kukipenda kwa vitendo itapendeza!
Siyo ndani kwa Mkeo unapenda awe kwenye uasiri lakini kwa mchepuko unakubaliana na mawigi huoni kunakuwa na mkanganyiko ?
Tafakari!
Actually wanawake wengi huambiana usikubali mumeo anakwambia sababu kule nje wanavutiwa na hayo hayo mawigi [emoji108][emoji108]
Mimi nazani mngeacha kwenda nje hata wake zetu wangewatii ktk kutovaa mawigi kushonea mawigi , kujikanda mekaps n.k
Uasili wetu tulikuwa hatuvai nguo kama hivi ilikuwa ni lubega tu wanawake wanajifunga nguo kifuani tu kwahiyo unaposema uasili sikuelewi kabisa
me mwenyewe nimewaza kesho nikaliseti lanhu πππHehehehehe...eti takataka.. tena mleta mada umenikumbusha kuvaa wig langu ππ
πππππmpashe aelewe asifananishe steelwire na mawigiInategemea kuna mawigi na mawigi Bro.
Sio yale ya ef15 kariakoo..
Nikusaidie kumjibu, wanavaa kwa ajili ya wanawake na hata kujichubua huwa wanajibua wapendwe na wanawake.Hivi nikija kwako from nowhere nikakwambia, βwewe sio mwarabuβ, wakati wala hujasema kwamba wewe ni mwarabu, utajibu nini zaidi ya kuuliza na wewe βkwani nimesema mimi ni mwarabu?β ?
Wewe huna nywele zako za asili mpaka uvae hayo madude.Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
mkuu mi mmoja wapo siyapendi mawigi, lakini nilikuja pata sababu kwa mpenzi wangu aliniambia kua na nywele natural tena ziwe nyingi inakua ngumu kuzihandle dawa, kuchana kila ahsubuhi, kufunga zikae vizuri kila mda, hvyo basi inampelekea kuvaa wigi ili iwe ni kupaka mafuta na kuondoka.Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.
Ninazo zangu nzuri najiamini wigi navaa, hata Rasta nasuka so ku change my look haihusiani na kujiamini basi tu kipendacho rohoWewe huna nywele zako za asili mpaka uvae hayo madude.
Jiamini....hakuna mtu mbaya duniani.
Wanaume washamba huhangaika na Mambo ya wanawake Sana Mara wigi vile Mara kile mpaka kero, na hao wasiovaa mawigi na wahuni wengi ndio wameolewa kuliko wanaojiacha rafuHivi unazani wanao olewa ni wale wasio vaa mawingi? Au wewe upo kijijini sana au Ndiyo umeingia mjini! Hivi hujawahi ona mtu anaolewa au anaoa mpaka watu wanashangaa unachukua huyo mtawezana, na wanashangaa wanazeeka wote, kwa taarifa yako habari za kuolewa kwa mwanamke na bahati kuna wanawake anaweza olewa hata mara 3 anaachika lakini waliotulia hata wakumwambia njoo hata unifulie nguo hakuna, kama unamawazo hayo pole sana!
Hapo ndipo pakujiuliza, na wale wanao ongea sana huko majumbani kwao uwiiiii huwa ni aibuWanaume washamba huhangaika na Mambo ya wanawake Sana Mara wigi vile Mara kile mpaka kero, na hao wasiovaa mawigi na wahuni wengi ndio wameolewa kuliko wanaojiacha rafu
Mimi janaume linalohangaika na Mambo ya wanawake huwa namuona Hana akili, na Hana Mambo ya msingi ya kuwaza wallah, tena ana gubuHapo ndipo pakujiuliza, na wale wanao ongea sana huko majumbani kwao uwiiiii huwa ni aibu
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Sasa kama nilakuvaa ataacha vipi kuosha kichwa? Au unakutanaga nao ndiyo wapo hivyo?....afu Wavaa mawigi wengi ni wachafu hawaoshi vichwa vyao..Akilivua kama upo karibu na miharufu ile ya mijasho plus mavipodozi wanayopaka utatamani ukimbie..
Badala ya kutafuta pesa wana fuatilia mwigi ya wanawake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi janaume linalohangaika na Mambo ya wanawake huwa namuona Hana akili, na Hana Mambo ya msingi ya kuwaza wallah, tena ana gubu