Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Asomaye na afahamu!

Hongera mleta mada kwa uzi mzuri, ni vema tukarudi kwenye uasiri wetu wa kibantu ambao hata kiafya unakubalika zaidi.

Tusikubali kutekwa na mambo ya utandawazi.

Kuna mambo ya msingi yanapaswa kubaki yalivyo bila kujali mabadiliko au maendeleo ya kiteknologia.
Uasili wetu tulikuwa hatuvai nguo kama hivi ilikuwa ni lubega tu wanawake wanajifunga nguo kifuani tu kwahiyo unaposema uasili sikuelewi kabisa
 
Wakwangu avae tu japo sijawahi kumuona akivaa ila anayo anasemaga mpka itokee emergency ndio atavaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Kama kitu hakikupunguzii kitu na sio dhambi hakikupi shida, sasa ungekuwa ulisha mwambia siyataki hayo makitu ungeona anavyosononeka!
 
Ngoja nikufafanulie, mtu anayekuchulia wewe kama sex toy hashindwi hata kukufunga kamba shingoni na kukuvuta kama mbwa barabarani huku ukimlamba miguu, hiyo inaweza ikampa mshawasha zaidi wa kingono, its simply and pirely for sexual gratification, lakini kamwa hawezi kumfanyia hivyo mtu anaemheshu katika level ya mke, sijui unanielewa lakini? Hence anakataza nyumbani ila nje kama kawa
Hivi unazani wanao olewa ni wale wasio vaa mawingi? Au wewe upo kijijini sana au Ndiyo umeingia mjini! Hivi hujawahi ona mtu anaolewa au anaoa mpaka watu wanashangaa unachukua huyo mtawezana, na wanashangaa wanazeeka wote, kwa taarifa yako habari za kuolewa kwa mwanamke ni bahati kuna wanawake anaweza olewa hata mara 3 anaachika lakini waliotulia hata wakumwambia njoo hata unifulie nguo hakuna, kama unamawazo hayo pole sana!
 
Hii umeijibu vizuri sikutarajia kama ungejibu kiasi hicho!

Isipokuwa kama ni kweli uyasemayo kwa niaba ya wenzio mimi nawashauri muache kabisa kuchepuka na kuwashadadia hao michepuko wavaa mawigi na kushonea na wapaka mekaps

Unajua ukisimamia unachokiamini na kukipenda kwa vitendo itapendeza!

Siyo ndani kwa Mkeo unapenda awe kwenye uasiri lakini kwa mchepuko unakubaliana na mawigi huoni kunakuwa na mkanganyiko ?

Tafakari!

Actually wanawake wengi huambiana usikubali mumeo anakwambia sababu kule nje wanavutiwa na hayo hayo mawigi [emoji108][emoji108]

Mimi nazani mngeacha kwenda nje hata wake zetu wangewatii ktk kutovaa mawigi kushonea mawigi , kujikanda mekaps n.k
Hao wavaa mawigi ndiyo wanao wafirisi kila siku, wake zao kazi kunuka vikwapa tu ila huko nje wanahudumia tu
 
Uasili wetu tulikuwa hatuvai nguo kama hivi ilikuwa ni lubega tu wanawake wanajifunga nguo kifuani tu kwahiyo unaposema uasili sikuelewi kabisa


Ni majumuisho ya mwanamke kuvaa mavazi ya kike yenye staha na nadhifu.

Kuchana nywele vizuri na kawaida
Kusuka nywele au kubana bila kuzibleach.

Kuepuka kutumia mafuta yenye kuchubua ngazi au kuwa na kemikali kali ambazo ni hatari kiafya.

N.k
 
Hivi nikija kwako from nowhere nikakwambia, “wewe sio mwarabu“, wakati wala hujasema kwamba wewe ni mwarabu, utajibu nini zaidi ya kuuliza na wewe “kwani nimesema mimi ni mwarabu?” ?
Nikusaidie kumjibu, wanavaa kwa ajili ya wanawake na hata kujichubua huwa wanajibua wapendwe na wanawake.
 
Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
Wewe huna nywele zako za asili mpaka uvae hayo madude.
Jiamini....hakuna mtu mbaya duniani.
 
Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.

Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.
mkuu mi mmoja wapo siyapendi mawigi, lakini nilikuja pata sababu kwa mpenzi wangu aliniambia kua na nywele natural tena ziwe nyingi inakua ngumu kuzihandle dawa, kuchana kila ahsubuhi, kufunga zikae vizuri kila mda, hvyo basi inampelekea kuvaa wigi ili iwe ni kupaka mafuta na kuondoka.
 
Hivi unazani wanao olewa ni wale wasio vaa mawingi? Au wewe upo kijijini sana au Ndiyo umeingia mjini! Hivi hujawahi ona mtu anaolewa au anaoa mpaka watu wanashangaa unachukua huyo mtawezana, na wanashangaa wanazeeka wote, kwa taarifa yako habari za kuolewa kwa mwanamke na bahati kuna wanawake anaweza olewa hata mara 3 anaachika lakini waliotulia hata wakumwambia njoo hata unifulie nguo hakuna, kama unamawazo hayo pole sana!
Wanaume washamba huhangaika na Mambo ya wanawake Sana Mara wigi vile Mara kile mpaka kero, na hao wasiovaa mawigi na wahuni wengi ndio wameolewa kuliko wanaojiacha rafu
 
Wanaume washamba huhangaika na Mambo ya wanawake Sana Mara wigi vile Mara kile mpaka kero, na hao wasiovaa mawigi na wahuni wengi ndio wameolewa kuliko wanaojiacha rafu
Hapo ndipo pakujiuliza, na wale wanao ongea sana huko majumbani kwao uwiiiii huwa ni aibu

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
....afu Wavaa mawigi wengi ni wachafu hawaoshi vichwa vyao..Akilivua kama upo karibu na miharufu ile ya mijasho plus mavipodozi wanayopaka utatamani ukimbie..
 
Back
Top Bottom