Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Hivi nikija kwako from nowhere nikakwambia, “wewe sio mwarabu“, wakati wala hujasema kwamba wewe ni mwarabu, utajibu nini zaidi ya kuuliza na wewe “kwani nimesema mimi ni mwarabu?” ?
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Hivi kwani mke anafanya nini ndani zaidi ya kusex jamani?

Hivi kuna tofauti gani na huyo unaowaza ni sex toy?
Kwani ndoa maana yake ni nini?

Mi huwa siwaelewagi kabisa kuona kama mke eti ndio anathamani sana na si sex toy?

Sasa mtu akununuliwa wigi la laki na zaidi akapendeza na mke akanyoa huko nyumbani ndio waona kaonewa huyu sex toy unayemwita?
 
Kila kitu kina nafasi yake. Na sio kwamba wewe hupendi wingi basi kila mtu hapendi.

Wengine wanavaa occasionally sio kila siku yupo hapo.

Pia kama hujui kuna mawigi ambayo huwezi jua ni wigi mzee... yaani kitu kama kimeotea hapo hapo.

Waavhe wanawanawake wajirembe wawe warembo bwana.

Wewe mwenyewe unaweza kuta mapungufu yako ni kubaa boxer mwezi mzima[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
😀😀😀 hallelujah nimependa hitimisho.
 
Najua umenielewa, usitafute faraja kwangu, achana na mawigi.
 
Utakosa kidume cha mbegu shauri yako.
 
Utakosa kidume cha mbegu shauri yako.
Nikose tu mwanaume anayeshindwa kufanya Mambo ya kiume na kuniambia nisifanye nitakacho hanifai huyo, lazima aelewe vitu ninavofanya ni kwa sababu ni mwanamke na hormones za kike ningekuwa wakiume navaa mawigi na kujipodoa ana haki ya kunikataza
 
me mwenyewe nimewaza kesho nikaliseti lanhu [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti naulizaa, amyevaa wigi ni tofauti na anayevaa kigodoro?
Kama ni tofauti please nisaidie kutofautisha kabla sijakubaliana na wazo la bagonza "penye wigi waweza weka kigodoro"
 

Soon utakuja kukubaliana na wazo lake la kuvaa kigodoro mkuu maana sababu zake nayo haiko mbali na hiyo aliyokupa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…