The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Lisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!
Ndilo Jimbo tajiri ni lipi?Leo kashambulia kwahiyo kalipa jisasi cha kupigwa.
Namsikia Msigwa anamsaidia point.
Sijui jimboni kwake alifanya nini, kama alifuta ushuru jimboni mbona watu wake maskini wa kutupa.
Kwani hayo anayosema atayafuta Kama alivyofanya singida Mashariki umesikia anasema atayafanya kwenye nchi gani mkuu? Au wewe ndo wale wa ndege ni maendeleoHaikua hotuba bali ni TUHUMA na mtuhumiwa yoyote hana jinai hadi atakapo patikana na kosa ..
Nasubiri wakati atakaposema ataifanyiavnini Tanzania ambacho Jpm hawezi kufanya ili sisi wapiga kura tuamue..
But ni kwambie ukweli kama hotuba zake ndio zitakua hivi hatapata asilimia 10 ya kura zote.
Leo kashambulia kwahiyo kalipa jisasi cha kupigwa.
Namsikia Msigwa anamsaidia point.
Sijui jimboni kwake alifanya nini, kama alifuta ushuru jimboni mbona watu wake maskini wa kutupa.
Lisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!
Wewe usimpangie namna ya kuongea kila mgombea anakuja kivyake na watanzania wameamka hawapo kama wewe watampa kura usifikiri wengine wanaendelea kukariri zidumu fikra za zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCMHaikua hotuba bali ni TUHUMA na mtuhumiwa yoyote hana jinai hadi atakapo patikana na kosa ..
Nasubiri wakati atakaposema ataifanyiavnini Tanzania ambacho Jpm hawezi kufanya ili sisi wapiga kura tuamue..
But ni kwambie ukweli kama hotuba zake ndio zitakua hivi hatapata asilimia 10 ya kura zote.