The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Lisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!
Uko nje ya mada Mkubwa....!
Hapo anazungumza akiwa Dodoma, Tanzania siyo Kenya wala Malawi....