Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Kwa Mara ya kwanza kuona wapinzani wakipinga maendeleo hadharani yani mtu anaeitwa wakili msomi anasema eti ukisema umejenga bwawa na kidatu je mh yani hizi ndo sera za wapinzani ni mpuuzi pekee atakaewapigia kura kwa sera za namna hii
Nikimuangalia Lissu sasa hv si Lissu yule mwenye kujenga hoja si lissu yule wa Richmond si Lissu yule aliekuwa tunamfahamu Lissu huyu hana tofauti na Don Nalimison
Hizo tirioni tulizokopa watanzania wanatakiwa waambiwe zinazidi kipato chetu kwa ukubwa gani,lakini pia waambie kuwa hiyo pesa ni zaidi ya budget yetu ya mwaka mzima,kwamba Kama nchi ingekuwa ni familia basi baba ameamua kutofanya kazi za kuingiza kipato amekalia tu kukopa,watanzania waangalie asije akawauzaHii ni leo tarehe 8/8/2020 mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT...
Ni hotuba iliyojaa ukweli lakini nyuma yake ikimjaza upepo mpinzani wake mkuu Bwana Magufuli. Ni hotuba inayoamusha hisia za maudhi. Lakini afanyeje sasa maana hayo ndiyo katenda kweli...?
Huu ni mwanzo tu...
Kampeni za mwaka huu ni za piga nikupige. Ni za kufa na kupona. Lakini mwisho wa siku lazima opponent mmoja apigwe kwa KO...
Nimemtazama na kumsikiliza hadi mwisho huyu ndugu. Nikagundua haya yafuatayo;
å Lissu anajua kucheza na kulitawala jukwaa la kampeni....
å Anajua kuisoma hadhira yake na kuipa jambo analotaka liwaingie kwa lugha rahisi sana kueleweka....
å Lissu anajua kumuudhi mshindani wake....
å Lissu anajua kujitetea mwenyewe....
å Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa mambo mengi ya kimataifa na ya ndani ya nchi....
MAGUFULI wa CCM ni tatizo. Hafai na hana hata hadhi wala sifa ya kuitwa "Dr........."
Huyu hafai kuwa Rais wa nchi hii tena. Uwezo wake mdogo sana....
Tutaambiwa Ghadaffi alikuwa Rais wa Kuwait...
View attachment 1531552
Lisu ajikite kutuambia atakayoyafanya, kila mtu anajua strength na weakness za Magufuli hivyo tumechoka kuzisikia.
Ni wakati muafaka sasa upinzani hasa Lisu kuanza kutumegea mikakati waliyo nayo katika kutuvusha kutoka hapa tulipo kwenda pazuri zaidi.
Tumechoka kila siku kusimuliwa blunder za Magufuli
Usiwe na haraka subiria kampeni zianze utasikia vingi ambavyo vitakuduwaza kama siyo kukushangaza, ukumbuke mtukufu alizuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria kwa miaka 5 mengi mabaya madhambi yote vitaanikwa liveLisu ajikite kutuambia atakayoyafanya, kila mtu anajua strength na weakness za Magufuli hivyo tumechoka kuzisikia.
Ni wakati muafaka sasa upinzani hasa Lisu kuanza kutumegea mikakati waliyo nayo katika kutuvusha kutoka hapa tulipo kwenda pazuri zaidi.
Tumechoka kila siku kusimuliwa blunder za Magufuli
Hizi habari za kumsema sema rais kila mara majukwaani ni nini kama sio kampeni ?Muda wa kampeni bado, unataka aanze kuinad ilani ya chadema ili mkaweke pingamizi kuwa ameanza kampeni kabla ya wakati.
Yeye anatoa Rushwa kwa kununua kuku kupanua barabara akiwa anakula mahindi ya kuchoma, unataka amseme nani wakati huyo ndiye mpinzani wake namba mojaHizi habari za kumsema sema rais kila mara majukwaani ni nini kama sio kampeni ?
Kwa mtazamo naona inamfanya Lisu aonekane ana personal hatred na MagufuliYeye anatoa Rushwa kwa kununua kuku kupanua barabara akiwa anakula mahindi ya kuchoma, unataka amseme nani wakati huyo ndiye mpinzani wake namba moja
Kama ni kweli, basi angeacha lugha chafu katika kujenga kwake hoja. Lugha chafu na matusi si sehemu ya kujenga hoja!Lissu anajua kujenga hoja.
Ameanza kutekeleza ushauri wako haha safiiHahaha this is Lissu I know!
Safi sana, Piga spana, ondolea credibility Jiwe na pia nadi sera, hiyo ndo strategy iliyokaa sawa
Lissu ndiyo rais wakoHamna jipya hakuna cha.mashambulizi wala nini!!
Bado tunamuamini JPM
Hayati Kingunge alitoa angalizoHii ni leo tarehe 8/8/2020 mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT...
Ni hotuba iliyojaa ukweli lakini nyuma yake ikimjaza upepo mpinzani wake mkuu Bwana Magufuli. Ni hotuba inayoamusha hisia za maudhi. Lakini afanyeje sasa maana hayo ndiyo katenda kweli...?
Huu ni mwanzo tu...
Kampeni za mwaka huu ni za piga nikupige. Ni za kufa na kupona. Lakini mwisho wa siku lazima opponent mmoja apigwe kwa KO...
Nimemtazama na kumsikiliza hadi mwisho huyu ndugu. Nikagundua haya yafuatayo;
å Lissu anajua kucheza na kulitawala jukwaa la kampeni....
å Anajua kuisoma hadhira yake na kuipa jambo analotaka liwaingie kwa lugha rahisi sana kueleweka....
å Lissu anajua kumuudhi mshindani wake....
å Lissu anajua kujitetea mwenyewe....
å Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa mambo mengi ya kimataifa na ya ndani ya nchi....
MAGUFULI wa CCM ni tatizo. Hafai na hana hata hadhi wala sifa ya kuitwa "Dr........."
Huyu hafai kuwa Rais wa nchi hii tena. Uwezo wake mdogo sana....
Tutaambiwa Ghadaffi alikuwa Rais wa Kuwait...
View attachment 1531552
Kwani hiyo ndiyo ilani ya uchaguzi ya CHADEMA?? Hivi kwa akili yako unadhani watanzani ni wajinga kiasi gani kumchagua huyo mropokaji?
Kwani Magu ye anampenda Lissu?Kwa mtazamo naona inamfanya Lisu aonekane ana personal hatred na Magufuli
Kwani kura unaenda kupiga wewe peke yako na ukoo wako?Haikua hotuba bali ni TUHUMA na mtuhumiwa yoyote hana jinai hadi atakapo patikana na kosa ..
Nasubiri wakati atakaposema ataifanyiavnini Tanzania ambacho Jpm hawezi kufanya ili sisi wapiga kura tuamue..
But ni kwambie ukweli kama hotuba zake ndio zitakua hivi hatapata asilimia 10 ya kura zote.