Uchaguzi 2020 Nawashauri CHADEMA wamtulize kwa sasa Tundu Lissu aache kufanya mashambulizi makali kwa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Nawashauri CHADEMA wamtulize kwa sasa Tundu Lissu aache kufanya mashambulizi makali kwa Rais Magufuli

Kwa Mara ya kwanza kuona wapinzani wakipinga maendeleo hadharani yani mtu anaeitwa wakili msomi anasema eti ukisema umejenga bwawa na kidatu je mh yani hizi ndo sera za wapinzani ni mpuuzi pekee atakaewapigia kura kwa sera za namna hii

Nikimuangalia Lissu sasa hv si Lissu yule mwenye kujenga hoja si lissu yule wa Richmond si Lissu yule aliekuwa tunamfahamu Lissu huyu hana tofauti na Don Nalimison

Endeleeni kulialia, subiri tuwatembezee kipondo cha bila huruma.
 
Lisu ajikite kutuambia atakayoyafanya, kila mtu anajua strength na weakness za Magufuli hivyo tumechoka kuzisikia.

Ni wakati muafaka sasa upinzani hasa Lisu kuanza kutumegea mikakati waliyo nayo katika kutuvusha kutoka hapa tulipo kwenda pazuri zaidi.

Tumechoka kila siku kusimuliwa blunder za Magufuli
 
Hii ni leo tarehe 8/8/2020 mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT...

Ni hotuba iliyojaa ukweli lakini nyuma yake ikimjaza upepo mpinzani wake mkuu Bwana Magufuli. Ni hotuba inayoamusha hisia za maudhi. Lakini afanyeje sasa maana hayo ndiyo katenda kweli...?

Huu ni mwanzo tu...

Kampeni za mwaka huu ni za piga nikupige. Ni za kufa na kupona. Lakini mwisho wa siku lazima opponent mmoja apigwe kwa KO...

Nimemtazama na kumsikiliza hadi mwisho huyu ndugu. Nikagundua haya yafuatayo;

å Lissu anajua kucheza na kulitawala jukwaa la kampeni....

å Anajua kuisoma hadhira yake na kuipa jambo analotaka liwaingie kwa lugha rahisi sana kueleweka....

å Lissu anajua kumuudhi mshindani wake....

å Lissu anajua kujitetea mwenyewe....

å Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa mambo mengi ya kimataifa na ya ndani ya nchi....

MAGUFULI wa CCM ni tatizo. Hafai na hana hata hadhi wala sifa ya kuitwa "Dr........."

Huyu hafai kuwa Rais wa nchi hii tena. Uwezo wake mdogo sana....

Tutaambiwa Ghadaffi alikuwa Rais wa Kuwait...
View attachment 1531552
Hizo tirioni tulizokopa watanzania wanatakiwa waambiwe zinazidi kipato chetu kwa ukubwa gani,lakini pia waambie kuwa hiyo pesa ni zaidi ya budget yetu ya mwaka mzima,kwamba Kama nchi ingekuwa ni familia basi baba ameamua kutofanya kazi za kuingiza kipato amekalia tu kukopa,watanzania waangalie asije akawauza
 
Chuja chuja ya ubunge isiyo ya kibinadamu inayekwenda kufanywa na CCM huko Dodoma unayo manufaa makubwa kwa chadema hususani kwa wale walioshinda kisha wakakatwa kwa report za uonevu zilizosukwa na wabaya wao
 
Lisu ajikite kutuambia atakayoyafanya, kila mtu anajua strength na weakness za Magufuli hivyo tumechoka kuzisikia.

Ni wakati muafaka sasa upinzani hasa Lisu kuanza kutumegea mikakati waliyo nayo katika kutuvusha kutoka hapa tulipo kwenda pazuri zaidi.

Tumechoka kila siku kusimuliwa blunder za Magufuli

Muda wa kampeni bado, unataka aanze kuinad ilani ya chadema ili mkaweke pingamizi kuwa ameanza kampeni kabla ya wakati.
 
Lisu ajikite kutuambia atakayoyafanya, kila mtu anajua strength na weakness za Magufuli hivyo tumechoka kuzisikia.

Ni wakati muafaka sasa upinzani hasa Lisu kuanza kutumegea mikakati waliyo nayo katika kutuvusha kutoka hapa tulipo kwenda pazuri zaidi.

Tumechoka kila siku kusimuliwa blunder za Magufuli
Usiwe na haraka subiria kampeni zianze utasikia vingi ambavyo vitakuduwaza kama siyo kukushangaza, ukumbuke mtukufu alizuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria kwa miaka 5 mengi mabaya madhambi yote vitaanikwa live
 
Yeye anatoa Rushwa kwa kununua kuku kupanua barabara akiwa anakula mahindi ya kuchoma, unataka amseme nani wakati huyo ndiye mpinzani wake namba moja
Kwa mtazamo naona inamfanya Lisu aonekane ana personal hatred na Magufuli
 
Nanukuu: Eti umejenga mabwawa je kwani kulikuwa hakuna mabwawa yaliyoyowai kujengwa uko nyuma?
 
TL ni kama mwalimu, anaongea lugha rahisi sana hata wasio na elimu wanaelewa, kitu kizuri sana hiki kwasababu kuna umbumbumbu unatakiwa ufutwe vichwani mwa wananchi wa kawaida. Education and Information are crucial, go TL.
 
Hamna jipya hakuna cha.mashambulizi wala nini!!

Bado tunamuamini JPM
Lissu ndiyo rais wako
photo%20266%2012-18-0.jpg
 
Hii ni leo tarehe 8/8/2020 mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT...

Ni hotuba iliyojaa ukweli lakini nyuma yake ikimjaza upepo mpinzani wake mkuu Bwana Magufuli. Ni hotuba inayoamusha hisia za maudhi. Lakini afanyeje sasa maana hayo ndiyo katenda kweli...?

Huu ni mwanzo tu...

Kampeni za mwaka huu ni za piga nikupige. Ni za kufa na kupona. Lakini mwisho wa siku lazima opponent mmoja apigwe kwa KO...

Nimemtazama na kumsikiliza hadi mwisho huyu ndugu. Nikagundua haya yafuatayo;

å Lissu anajua kucheza na kulitawala jukwaa la kampeni....

å Anajua kuisoma hadhira yake na kuipa jambo analotaka liwaingie kwa lugha rahisi sana kueleweka....

å Lissu anajua kumuudhi mshindani wake....

å Lissu anajua kujitetea mwenyewe....

å Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa mambo mengi ya kimataifa na ya ndani ya nchi....

MAGUFULI wa CCM ni tatizo. Hafai na hana hata hadhi wala sifa ya kuitwa "Dr........."

Huyu hafai kuwa Rais wa nchi hii tena. Uwezo wake mdogo sana....

Tutaambiwa Ghadaffi alikuwa Rais wa Kuwait...
View attachment 1531552
Hayati Kingunge alitoa angalizo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwani hiyo ndiyo ilani ya uchaguzi ya CHADEMA?? Hivi kwa akili yako unadhani watanzani ni wajinga kiasi gani kumchagua huyo mropokaji?

Kwani kampeni zimeanza hadi aanze kunadi ilani ya uchaguzi tulia hiyo imetengewa siku 60
 
Tatizo la Magufuli ni kama ifuatavyo

1. Anaogopa mfumo wa utawala kupitia taasisi... anataka yeye ndio awe taasisi na aamua anavyo taka.. Ndio maana wengi wanasema mambo mengi anayo yafanya hayatadumu labda madaraja tuu.. lakini issue na madini na mikataba tayari zimemshinda kwa sababu kwanza bado ni siri..

2. Diplomasia ana ikwepa kitu ambacho atakwamba kwa sababu dunia ina wenyewe cha msingi cheza kwa akili.

3. Anaongelea zaidi vitu kuliko sera na utawala bora.
 
Haikua hotuba bali ni TUHUMA na mtuhumiwa yoyote hana jinai hadi atakapo patikana na kosa ..
Nasubiri wakati atakaposema ataifanyiavnini Tanzania ambacho Jpm hawezi kufanya ili sisi wapiga kura tuamue..

But ni kwambie ukweli kama hotuba zake ndio zitakua hivi hatapata asilimia 10 ya kura zote.
Kwani kura unaenda kupiga wewe peke yako na ukoo wako?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom