Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Kwani ubaya wa hiyo mikataba ni ipi?

Ni uchereweshaji tu? Maana pia kwenye kipengele cha mkandarasi kuchelewesha mradi, atapigwa faini

Juzi juzi Mbunge Mpina alilijulisha bunge hasa waziri January kwamba, mkandarasi anafaini ya bilioni of mone, anatakiwa kudaiwa, Rais Samia na waziri hawadai hizo faini,

Shida ni Magufuli au Waziri na Rais?
 
Waislamu udini unaonyesha kabisa akili zao hamna kitu kabisa yani khaa serikali inatakiwa ipambane kufuta dini zote za kigeni Tanzania. Dini ni chazo cha ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuoneshe wewe usiye na dini akili zako ziko wapi?

Au umezisahau kuzimu?
 
 
Kafa Nyerere aliyoiuwa TANU kuu fsnya CCM.

CCM ife hata leo, tutahamia ACT. Si vyama vya kibinadam tu.
 
Ule utapeli wa dhalimu tulikuwa tunamkosoa humu humu jukwaani kuwa ni mpika data mkubwa, na ushahidi tulikuwa tunaweka. Sio kila mtu alimtetea kwa ukristo wake. Na uzuri ukosoaji wetu kwa dhalimu upo humu jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…