Kumbe ndo maana this time mkastuka kumlinda mwarabu wenu mkaamua kuingia mkataba ambao hautapigwa chini aingie Rais gani au hata jina la nchi libadilike..Tena Mungu mkubwa sana, Kikwete tayari ile mikataba, SGR ilikuwa kishawapa China, Bwawa kishawapa Brazil, bandari ya bagamoyo alishawapa China na Oman, jamaaa alipoingia tu akaipiga chini yote.
Siku moja moja uwe unatumia muda kufikiri nje ya dini na utumie muda huo kufikiri juu ya uTanzania wako.Nauliza, kinachopingwa bandarini ni nini kama siyo dini?
Utahamia ACT kwasababu kuna muislamu mwenzio zito?Kafa Nyerere aliyoiuwa TANU kuu fsnya CCM.
CCM ife hata leo, tutahamia ACT. Si vyama vya kibinadam tu.
Kwa hiyo wa SgR ni sawa na huu wa milele?😂😂😂😂😂😂😂Yaani Dr Slaa angetembea uchi just to make sure kila mtu anaona alivyochukizwa.....Pengo angetoa waraka kama wote
ShostNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Usijali, siku dp world ikianza kazi utazaa!!Kila nikiona sura ya mama au kusikia sauti yake napata mchanganyiko wa hisia mbali mbali mbaya sana, hasira, ghadhabu, uchungu, kichefu chefu eti al!!
Upo kama mimi mzee: mi nipo hapa unguja kila sehemu wamebandika mapicha yake, natamani kuyachana yoteKila nikiona sura ya mama au kusikia sauti yake napata mchanganyiko wa hisia mbali mbali mbaya sana, hasira, ghadhabu, uchungu, kichefu chefu eti al!!
Kwani IGA kasaini Rais?
KIFUNGU CHA 28
UWEZO WA NCHI WANACHAMA NA WATIA SAINI WAO
Mkataba huu umesainiwa rasmi na mamlaka ya juu ya umma, inayo tawala kwa mujibu wa mamlaka zilizowekwa kisheria na kufuata taratibu zilizowekwa katika sheria zao za kitaifa za kuingia kwenye Mikataba ya kimataifa ya aina hiyo kwa niaba ya Nchi Mwanachama.
FaizaFoxy, ungejenga hoja kwa kutumia vifungu vya huo mkataba, mimi ningekuelewa na kuendeleza mjadala, lakini unaishia katika kulaumu tu.Kwani mama Samia kauza nini?
Hamjaona changa la Macho la Makinikia? Au huelewi kilichofanyika?
Wakati mwingine uzi wako unaweza kuivua nguo akili yako.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
We Bibi mmepata sehemu ya kujificha. Mwendazake haja scramble kuuza wanyama ama kuhamishia vilemba kwenye mbuga. Kufanya kazi na hii serikali no sawa kufanya na mwendawazimuNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Bwana yule alikuwa hasemi ukweliNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Nyani ona kund*lo please liko hapo nyuma hebu pindisha shingo hapo kidogo.Mkiambiwa
kwamba nyinyi akili ni ndogo zaidi mnaongozwa na udini mnakasirika!
SGR, Alipewa mturuki ni Mwislamu
JKNHSP, walipewa Wamisiri Ni Islamic
Uliona tatizo lolote kwa wakristo?
Yeye kwakuwa anamtetea Samia kwakuwa ni muislamu mwenzake, anataka kupotosha kuwa ni vita vya wakristo dhidi ya rais muislamu. Lakini kiukweli dhalimu ndio tulimpa vitasa vya hatari kuliko Samia.Namshangaa faiza leo kaja na hoja ya udini, mim na ugalatia wangu nimemkosoa jiwe mwanzo mwisho na mpaka naingia kaburini sitokubaliana na aina ya utawala wa jiwe