Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

kushindwa kuhuishwa au kuongezwa hii sentence unaielewaje?
Maneno hayo yanaitaka Serikali kuhuisha (renew) au kuongezewa muda (extend) vibali ambavyo vitakuwa vimekwisha kutolewa kwa mradi wowote. Hii ina maana ya mkataba usio na kikomo.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Samia ameuza nchi , mwendazake hakuuza nchi kwa ahadi ya tende na haruwa
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Acha ujinga unamjua jiwe unamsikia kile chuma mzigo lazima ufike kwa wakati hata punda akifa . Magu hajawai kucheza na deadline yule alikuwa machine acheki na kima
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Duuu, hili nalo neno... Pamoja na kwamba tunahitaji uwekezaji na pamoja na kwamba panahitajika maboresho ktk makubaliano MOU ya DP world,, ukweli ni kwamba Rais Samia apewe maua yake kwa kuruhusu mjadala wa wazi na pia freedom of speech... KINACHOENDELEA NI UBAGUZI NA MFUMO DUME DHIDI YA MAMLAKA.. NA BILA KUPEPESA MACHO KUNA TATIZO KUBWA SANA KWA MAAFSA HABARI WA SERIKALI HALAFU PIA KUNA UDHAIFU MKUBWA SANA PALE BUNGENI. RAIS SAMIA HANA KOSA MAANA ALIFANYA UWAZI NA KUPELEKA AZIMIO BUNGENI, KILICHOFANYIKA BUNGENI NI UCHAWA WA HALI YA JUU BADALA YA KUSHAURI NA KUTOA MAONI KWA NIABA YA WANANCHI.



Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Hv hamuoni tofauti Kati ya hiyo mikataba uliyotaja na mkataba wa bandari
Tayari anayo blind perception, already amygdala hijacked her logic brain thus now she's operating in our ancestors caveman brain era aka emotionally. She can't see where she's wrong
 
Safi sana, Mkataba una shida gani? Nahamisha hili swali langu kwenye uzi wenye mkataba ili unioneshe vifungu vyenye matatizo.
Kifungu cha 23(4)

 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Si mlimuua kabla hajafikia lengo
 
Mbona unachanganya machungwa na mananasi? Bi Kinyogoli Mkwere!

Zile ni tenda tunamchagua nani afanye kazi.

Bandari - Ni Funguo ya lango la nchi

wala hatukatai DPW wakabidhiwe, tusahihishe zile terms. Full stop


Nafikiri huyu sio wa kumjibu tena, ni either kapewa hela inaondoa busara yake, au hana busara kabisa.
 
Maneno hayo yanaitaka Serikali kuhuisha (renew) au kuongezewa muda (extend) vibali ambavyo vitakuwa vimekwisha kutolewa kwa mradi wowote. Hii ina maana ya mkataba usio na kikomo.
Hayo maneno mkataba usio na kikomo umeyatoa wapi hapo.?
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?

Madudu yameanza Leo nchi hii.

Mwinyi,Mkapa nk wote walifanya madudu.Madudu Yanachagua DINI?

Hiki Ni kizazi cha kuhoji. Tofauti tu Ni kwamba Magu alikuwa anakunyamazisha milele. si kwamba watu walikuwa hawaoni madudu ya she na nyerere HEP


Ufisadi hauna DINI Wala jinsia. Wewe unayajua yaliyo moyoni mwa SSH kuhusu huu mkataba mema au maovu.

DINI Ni kivuli Cha watu wasio na hoja. Wapuuzi Fulani hivi. DINI zenyewe tumeletewa tukazipokea kwa fimbo.

Mimi mtu anayejificha kwenye DINI namwona km hayawani tu. Hasa huu uislam na ukristo.
 
Nauliza, kinachopingwa bandarini ni nini kama siyo dini?
Ni Utaifa wala sio Udini.

Wakati hayati Magufuli akipingwa kuhusu Miradi yake mikubwa, tulikuwa tukisikia matamshi kama...'Uafrika wake' "Ushamba wake au 'Uburundi wake" yote yakiashiria Uafrika wake. Leo hii Mradi huu/Mkataba huu unapingwa hamtaki kusema Uzanzibari wake au Uarabu wake mnasingizia Dini yake!

Mkataba huu umefungua kidonda cha Karne nyingi za Ubaguzi, Unyanyasaji, Ubakaji na Ukandamizaji ulioletwa na kutumiwa na Mwarabu kwa mwamvuli wa Kuwasilimisha Waafrika. Kiufupi Udini na Udhalilishaji.

Bila kushahau, nguvu zilezile zinazotumiwa katika kupinga Uwekezaji au upendeleo wa watu wenye asili ya Ulaya na utumiaji wao wa Dini kama mwamvuli na uhalalishaji wa Ubaguzi, Unyanyasaji, Ubakaji na Ukandamizaji isitoshe Udhalilishaji!

A spade is a spade.

Utaifa uliotukumba Watanzania ni wa kupongezwa.

niache na yale ya Mwalimu Nyerere.....
"The forces of Nationalism cannot be defeated in the long run, and men will never willingly accept deliberate and organized humiliation as the price of existence"

Kwa tafsiri ya kiswahili...
"Nguvu za Utaifa haziwezi kushindwa kwa muda mrefu, na wanadamu/watanzania hawatakubali kwa hiari aibu ya makusudi na iliyopangwa kama bei ya kuwepo/uwepo wao."

Kilichotokea ni mpango unaonekana ni wa makusudi a deliberate, organized and a humiliation of the Tanzanian peoples.
....kupangwa na kudhalilishwa kwa watu wa Tanzania

Shame shame shame on you. Mliotumika.

Utaifa mbele. Udini ziiiii!
 
Ni Utaifa wala sio Udini.

Wakati hayati Magufuli akipingwa kuhusu Miradi yake mikubwa, tulikuwa tukisikia matamshi kama...'Uafrika wake' "Ushamba wake au 'Uburundi wake" yote yakiashiria Uafrika wake. Leo hii Mradi huu/Mkataba huu unapingwa hamtaki kusema Uzanzibari wake au Uarabu wake mnasingizia Dini yake!

Mkataba huu umefungua kidonda cha Karne nyingi za Ubaguzi, Unyanyasaji, Ubakaji na Ukandamizaji ulioletwa na kutumiwa na Mwarabu kwa mwamvuli wa Kuwasilimisha Waafrika. Kiufupi Udini na Udhalilishaji.

Bila kushahau, nguvu zilezile zinazotumiwa katika kupinga Uwekezaji au upendeleo wa watu wenye asili ya Ulaya na utumiaji wao wa Dini kama mwamvuli na uhalalishaji wa Ubaguzi, Unyanyasaji, Ubakaji na Ukandamizaji isitoshe Udhalilishaji!

A spade is a spade.

Utaifa uliotukumba Watanzania ni wa kupongezwa.

niache na yale ya Mwalimu Nyerere.....
"The forces of Nationalism cannot be defeated in the long run, and men will never willingly accept deliberate and organized humiliation as the price of existence"

Kwa tafsiri ya kiswahili...
"Nguvu za Utaifa haziwezi kushindwa kwa muda mrefu, na wanadamu/watanzania hawatakubali kwa hiari aibu ya makusudi na iliyopangwa kama bei ya kuwepo/uwepo wao."

Kilichotokea ni mpango unaonekana ni wa makusudi a deliberate, organized and a humiliation of the Tanzanian peoples.
....kupangwa na kudhalilishwa kwa watu wa Tanzania

Shame shame shame on you. Mliotumika.

Utaifa mbele. Udini ziiiii!
Jifundishe kupunguza maandiko, unafikiri nani ana muda wa kukusoma jiandiko refu namna hiyo wakati hauna utam wa kuandika. Kwani unaandika historia hapa? Nenda kwa Mohamed Said ukajifundishe kuandika historia.

Hapa unasukuma ujumbe wako mistari miwili mitatu mifupi fupi,tosha. Ni current events.

Nini kilichokuudhi kuhusu mkataba wa bandari? Ni mama Samia, au Uislam wake au Uzanzibari wake au Vifungu vya mkataba? Au Waaeabu wa Dubai, Au Uislam wao au Kampuni yao ya DP World?Maana hamueleweki.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Maskhara ya ukwel si mazur Wallah
 
Back
Top Bottom