Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

Jamani ata wewe mtani unaniita fisi🤣🤣🤣
Wee bwana mie mane o tuu hela yenyewe ya kuhonga naitoa wapi wakati nataka niingie neshno pale jmosi nione mwarabu anakufa
We Mzab Ndo umentolea mimacho hivyo. 😂😂
 
Aliyekuambia mwanaume miaka 40 ni mzee nani? Huna adabu,acha kutusimanga
 
Mi tubinti tukila ela yangu halafu kanitose huwa nakikomesha,labda kama sijazaliwa kwa msisi
 
Mi tubinti tukila ela yangu halafu kanitose huwa nakikomesha,labda kama sijazaliwa kwa msisi
Ina depend na makubalino kama unatongoza kwakugumia malighafi utaliwa ila kama mmekubaliana na anakula vyako bila response huyo deal nae
 
We liwa tuuu kilometers ziongezeke kwenye nyapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…