Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie kabisa una kibamia..asije akastuka mtoto wa watu 😅😅😅Mzabzab nantamaa ni pete na kidole wewe
Usiwaze sanaaa!Umeandika kitu cha tofauti, nimewaza sana, Doh, anyways salimia LEMA
Na wewe mwambie kabisa kuwa mzabzab ana hela japo ana kibamiaMwambie kabisa una kibamia..asije akastuka mtoto wa watu 😅😅😅
Mtumie kabisa aone wewe sio wa mchezo mchezo 😅😅Na wewe mwambie kabisa kuwa mzabzab ana hela japo ana kibamia
Sawa ndio umwambie alete nambaMtumie kabisa aone wewe sio wa mchezo mchezo 😅😅
Dogo @jannele leta lipa namba
Milioni 7 mkuu hadi 8Hivyo vya maji mwanawane. Ok.
Sa kama humutaki mtu why uchukue vyake,hiyo ni tamaa tu ,utakuja kujaa angle theatre upigwe ,Fort some ,#Sio three some.TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾
Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
uchakavu wa maeneo muhimu ya via vya uzazi kwa mabinti wa umri huo ulionao ni wa kutisha, na inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana.TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾
Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Sikumaanisha kuwabagua wakaka, ila nimemaanisha mara nyingi usumbufu unatoka kwa rika hilo tajwa, labda mwili tuwapuuze, hivyo vitu utapokea hadi lini?
utu wako usiupe thamani ya mali
haiwezekani upendwe na wababa tu, wababa na wakaka wana macho yale yale
wakaka unawadharau kwasababu hawana vizawadi vingi
Bt sichukui kwa makubaliano ya kulala nao NO, ni kama wewe uamue kumpeleleke mtu vitu then ndio uanze ku approach is it necessary akukubalie?Sa kama humutaki mtu why uchukue vyake,hiyo ni tamaa tu ,utakuja kujaa angle theatre upigwe ,Fort some ,#Sio three some.