Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

Mdogo wangu hapo hupendwi, unatamsniwa tu, nikupe Siri, sie wanaume huwa tuna "fantasys" Kwamba kile kitoto,(wewe hapo) nikikipata,nikakibinua, nikakipa mikito ndsni nje! Daaaa", at 40,huyo ana mke, na watoto tayari,
Sasa wanataka vi gen Z, kwa vile bado vibichi, hsvijatumika Sana, no love there, it's just maniac sex,
Yeye anaona ni bahati kubwa sana. Kasema "nina bahati"
 
Ngoja kwanza Kuna Press Conference ya Lema Kesho akimaliza ntakuja kukwambia kitu!

Like attract like! ... Si kila mtu anakuja kwako na kuweza kukupa kila kitu kwa sababu wanataka mbususu.

Kuna watu wanajua aina ya girl wa kulala nao ili ubebe nyota zao kwa ajili mafanikio.

Anasema "Umekuwa Mfu wewe, Kwa sababu ya Mwanamke huyu uliyemtwaa"

Hiyo sio bahati!

Sheria ni hii; Ukipokea lazima utoe! Hata kama si Cha mwilini ila Rohoni utatoa tu!
 
Jamani naomba kuuliza swali Wakuu hivi hii kuchanganya lugha iliyokithiri ndo mnaitaje kwani siku hizi mana hadi ladha ya kusoma kitu huwa inapotea.
 
Jamani naomba kuuliza swali Wakuu hivi hii kuchanganya lugha iliyokithiri ndo mnaitaje kwani siku hizi mana hadi ladha ya kusoma kitu huwa inapotea.
We call it SWANGLISH dear, sorry kama hukupenda bt kuna maneno mengine kuandika direct kwa kiswahili inakuwa ngumu
 
Jamani naomba kuuliza swali Wakuu hivi hii kuchanganya lugha iliyokithiri ndo mnaitaje kwani siku hizi mana hadi ladha ya kusoma kitu huwa inapotea.
Mboa nyie yanga mmechanganya lugha hapo jangwani? Zimbabwe, ivory coast, bukinafaso,
 
Kwa majina wanayokuita ni ishara uko empty fanya hivi hama maeneo unayoishi Kisha uanze upya kujenga haiba Yako na usikubali kuitwa majina ya hovyo hayo.
Sioni yakiharibu utu wangu, naamini katika mikakati yangu so wao wanayafurahia pengine
 
Hakuna anaekupenda hapo wote wanakutamani na wanajaribu kukushawishi kwa hizo zawadi,,,,,ni ngumu sana kwa mwanaume ambae hana undugu wa damu na wewe kukupa zawadi za bure,,,, labda wawe ni wafanyakazi wenzako au mliosoma pamoja na watatoa zawadi hizo kwenye muda mahsusi kama pongezi kwa Siku yako ya kuzaliwa au jambo lingine linalofanana na hilo.

Kuhusu kama watakuchukulia hatua kwa zawadi zao ni swala la muda tu...wengi wa wanaume walio katika umri huo wana familia zao kwahiyo wana hofu ya kukuchukulia hatua..wanaweza pata aibu kwa sababu wengi wanakupa hizo zawadi kwa siri.

Cha kufanya usipokee hizo zawadi ila unesha utii na ustaarabu kwao anaweza mmoja wao akavutiwa na wewe na kukuoa.
Asante sana, hii nzuri✍🏼
 
TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Naona leo kuna wapika chai wengi sana humu!
 
Ngoja kwanza Kuna Press Conference ya Lema Kesho akimaliza ntakuja kukwambia kitu!

Like attract like! ... Si kila mtu anakuja kwako na kuweza kukupa kila kitu kwa sababu wanataka mbususu.

Kuna watu wanajua aina ya girl wa kulala nao ili ubebe nyota zao kwa ajili mafanikio.

Anasema "Umekuwa Mfu wewe, Kwa sababu ya Mwanamke huyu uliyemtwaa"

Hiyo sio bahati!

Sheria ni hii; Ukipokea lazima utoe! Hata kama si Cha mwilini ila Rohoni utatoa tu!
Umeandika kitu cha tofauti, nimewaza sana, Doh, anyways salimia LEMA
 
Back
Top Bottom