uchakavu wa maeneo muhimu ya via vya uzazi kwa mabinti wa umri huo ulionao ni wa kutisha, na inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana.
ni muhimu mno kujihurumia wenyewe na kujifunza kutoka kwa madada wa over 40yrs, ambao walijirajisisha wakiwa na 18's wakachakazwa sana, leo hii hawatamaniki na hawaoleki, waume zao ni toys.
Usiringe sana,
usichague sana, kuna wakati utachujuka na utakosa ladha kama wengine ambao wana stress zisizoisha kwa maringo ya ujanani mwao.
Mungu akubariki, Mungu alouonyesha njia na kweli uolewe 🐒