Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

K
TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Kama wewe ni:-
1.bikira kataa vitu vyao kwa namna yeyote ile
2.Kama ushawahi kutombwa,kataa vitu vyao huku ukitafuta Bwege mmoja akuoe
3.Kama wewe hutaki kuolewa,pokea vitu vyao waendelee kukutomba
4.kama unapokea vitu vyao na hutaki kutombwa,subiri waje wakufire siku moja
 
namhurumia sana huyo atakaekuweka ndani km mama mjengo, kwasabab, hiyo KUMAliza kazi itakuwa imekwisha muda wake wa matumizi.
 
K

Kama wewe ni:-
1.bikira kataa vitu vyao kwa namna yeyote ile
2.Kama ushawahi kutombwa,kataa vitu vyao huku ukitafuta Bwege mmoja akuoe
3.Kama wewe hutaki kuolewa,pokea vitu vyao waendelee kukutomba
4.kama unapokea vitu vyao na hutaki kutombwa,subiri waje wakufire siku moja
Khee kazi kweli, okay me sio Bikra, mengine nitayafanyia kazi.. thank you
 
Pokea mamaaa kuna watu hawajai kupewa hata buku ya vocha,.
ILa ujue opposite ya kupokea ni kutoa
 
TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Yass unatoa?
 
Kwa majina wanayokuita ni ishara uko empty fanya hivi hama maeneo unayoishi Kisha uanze upya kujenga haiba Yako na usikubali kuitwa majina ya hovyo hayo.
 
TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Hakuna anaekupenda hapo wote wanakutamani na wanajaribu kukushawishi kwa hizo zawadi,,,,,ni ngumu sana kwa mwanaume ambae hana undugu wa damu na wewe kukupa zawadi za bure,,,, labda wawe ni wafanyakazi wenzako au mliosoma pamoja na watatoa zawadi hizo kwenye muda mahsusi kama pongezi kwa Siku yako ya kuzaliwa au jambo lingine linalofanana na hilo.

Kuhusu kama watakuchukulia hatua kwa zawadi zao ni swala la muda tu...wengi wa wanaume walio katika umri huo wana familia zao kwahiyo wana hofu ya kukuchukulia hatua..wanaweza pata aibu kwa sababu wengi wanakupa hizo zawadi kwa siri.

Cha kufanya usipokee hizo zawadi ila unesha utii na ustaarabu kwao anaweza mmoja wao akavutiwa na wewe na kukuoa.
 
Back
Top Bottom