Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

Nimeshanga huyu besty tunapigaga story leo hii umenibadilikia tena.
Inabidi niikutumbulie macho hamna namna
Sikuwa serious Mzab. Pole ka ulikwazika.

Kesho tutafutane hebu Pale kwa Mkapa 🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Sikuwa serious Mzab. Pole ka ulikwazika.

Kesho tutafutane hebu Pale kwa Mkapa 🤸‍♀️🤸‍♀️
Usijali mie wala sijakwazika sii unajau mwenzio jf naja kjtoa stress za maisha. So be at peace.

Ah kesho nesho muhimu, mwarabu lazima atemw nyongo tena saa kumi jua kaliiii.
Uje mapema basi tule ubwabwa wa mama ntilie kabla hatuna zama ndani ya karai la big Ben😜
 
Usijali mie wala sijakwazika sii unajau mwenzio jf naja kjtoa stress za maisha. So be at peace.
Usijali Mzab 🤝
Ah kesho nesho muhimu, mwarabu lazima atemw nyongo tena saa kumi jua kaliiii.
Uje mapema basi tule ubwabwa wa mama ntilie kabla hatuna zama ndani ya karai la big Ben😜
Hahahaaa. Hofu mantashaa Mzab. 🤪
 
Weeh utaliwa na wangapi sasa
Acha kuchukua vya watu bure bure.
Sijaelewa lengo lako ni nini hasa mpaka kuandika huu uzi.

Elewa kwamba bora kutoa kuliko kupokea na kwanini unapokea bila kutoa?
 
Wengine hatujui kiingereza
 
😹😹😹 Huyo chalamila anawajua vizuri vijana wa kigamboni michezo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…