atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
"Another single mama in waiting."Another single mama in waiting.
Wanawake huwa mna extra thoughts linapokuja suala la mahaba.
Zunguka bucha zoote, lakini gegedo ni lile lile[emoji1787]... bibie kafa kaoza anatafuta hoja za kumfariji humu ili asongembele na jamaa yake aliyebeba kifo chake mkononi
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]tena wewe unyamaze wewe ndio sababu ya yote haya au unataka nikukumbushe ukichokifanya, kaa mbali
Zinafanana bwana sema mapishi tofauti [emoji2][emoji2]Aah wapi hazifanani bwana huu ndio ukweli na unajua [emoji23][emoji23]
kufanana bado weee [emoji23][emoji125][emoji125] tofauti kabisaZinafanana bwana sema mapishi tofauti [emoji2][emoji2]
Daaah!Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]
Funguka tuu ili uchungu uishe vilevile utawasaidia na wengine wajue tabia za baadhi ya member wa humukisa kilikua cha kitoto sana sitaki kukisema hapa ambacho mimi nilihusika tu kuweka pic yake kama profile halaf kunae huyo mtu kimbelembele akatia fitna ni mwanaume ujue
Kwamba kwenye pfl pic uliweka picha ya huyo umpendae au ya huyo kidudu mtu aliecomments hapo juu?,hebu tufafanulie vizur huyo kidudu mtu alikuharibia vip?...sasa ndio huyo d et akanuna baba zima na ndevu zake kaa mbuzi maisha haya
Nakataaaaaaaaaaaaakufanana bado weee [emoji23][emoji125][emoji125] tofauti kabisa
Baki na ubishi wako [emoji75][emoji75]Nakataaaaaaaaaaaaa
π€£π€£ Hao ni vipangaAkina tushasema hawafai Hao ndugu
Akina D,G na J ni mafisi nimenukuu sehemu π
Woyooooooo!!!Nyie endeleeni na mtoa mada mimi nimuite The Boss aseme kwanini alitibua ndoa ya watu? Mnapotezea nakati hapa ndio uzi ulipo.
Eti miaka kumi halafu ana jirudisha dadekiii na block mpaka Ukoo wakeππMshenzi kampata fala wake,,πππkakiburi kangu kamenisaidia sana kunako mahusiano, yani mi ningemlamba block kila kona ya mawasiliano na angejitia kutumia namba nyingine ningemreport whatsup ili wamfungie akili imsogee
Yani akitokea live waweza mmwagia maji ya dagaa, pakashume hiloEti miaka kumi halafu ana jirudisha dadekiii na block mpaka Ukoo wakeππ
Upupu wa uongo kama huu ndiyo unapata ''likes'' nyingi na kuchangiwa sana. Ndiyo maana watu wanazidi kuanzisha thread kama hizi.nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Shikilia hii comment yangu ""Lazima WATOMBANE TENA NA TENA""Jichekeshe na wewe vunga ka nothing happened afu mpotezee mazima
Unyama unyamani πππ
Nimekuelewa sanaaa.Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote π