Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Karuka vizuri sanaHapo mdaka mishale umenifurahisha
Bila bila half timeMnaona Spirit Ya Wachezaji Wote Wa Young Africans.
Ni Ushindi Naona Goal La Mapema Kabisa Kabla Ya DK 30
Vitu Vichache Mnaweza Kuchukua BossHapo mdaka mishale umenifurahisha
SawaYes hiyo ni kwasababu hamshiriki CAF Federation
Tukivichukua tutavipeleke simba B vikaendelee kukua, maana kule kuna uhitaji sana wa viwango vya aina hiiVitu Vichache Mnaweza Kuchukua Boss
Panya wengi wasio chimba shimoHata Goal Litapatika Hivyo.
Aucho - Feisal - Nkane/Farid - Mayele/Ntiba
Mkuu Mpelekee Yule Wenu Maana shoot Za Mbali Zilikuwa Zote Imo Watu Wakadai Haoni MbaliTukivichukua tutavipeleke simba B vikaendelee kukua, maana kule kuna uhitaji sana wa viwango vya aina hii
Mbona simuoni kevin sabato "kiduku" au amehamia kwingine ?
Na mi nashangaa sijui yanga wana kwama wapi na pitch wameikuta imetuliaMpira haujachangamka kabisaaa