NBC: Yanga SC 1-0 Ihefu FC: Uwanja Benjamin Mkapa

Uto kwa nini mmewadharau Ihefu leo? Au mmefanya hivyo ili mpate sababu kwa nini wamewapiga tena na leo?
 
Wananchi wanasimama, 🤣🤣nakumpigia makofo matatu Feitotooo😂, ishara ya kumpokea Tena,
Huu ni upendo mkubwa sana yapasa kuigwa, na vilabu vngine
Kwako mpenjaa🤣🤣
 
Yanga inaonekana kama haina upepo; yaani mpaka sasa hivi bado wanapigishwa mchakamachaka na Ihefu? Inawezekana wakatoka droo au wakafungwa. Pengo la kukosekana kwa Fei Toto, Azizi Ki na Morrison linakuwa dhahiri sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…