NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
Una uhakika hivyo vyama vingine vilivyobaki wenyeviti wake walishafanya makosa ambayo mbatia kayafanya na hawakuchukuliwa hatua?.Toa mifano dhahiri na adhabu zake ndani ya hivyo vyama ili tuone Nccr wamekomaa kidemokrasia.
 
Kamguse Samia uone, muulize Ndugai atakueleza.
Ndugai hakumgusa mwenyekiti wa chama bali alimgusa raisi, amiri jeshi mkuu na mkuu wa nchi. Kwahiyo hapo aliigusa taasisi ya uraisi na serikali kwa ujumla. Angezungumzia mikopo inayohusu CCM au mambo yanayohusu uongozi wa chama, hapo ndo angekuwa amemzunguzia mwenyekiti wa chama.
 
Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.

Kumfukuza Mwenyekiti ndio demokrsia?.
 
Huyu mbatia sikuhizi kawa nusu nusu kama Mbowe, akitakiwa Ikulu na kwenye shughuli za ccm huwa hachelewi kufika, tayari ameanza unafiki wa undumila kuwili mwache aitwe akajieleze

Lini Mbowe ameenda kwenye shughuli za CCM ? Mbowe kuonana na Rais imekuwa nongwa. Juzi hapa mlimuita gaidi leo mmebadilika Tena.
 
Aliyemsimamisha ni nani?
Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
 
Ndugai hakumgusa mwenyekiti wa chama bali alimgusa raisi, amiri jeshi mkuu na mkuu wa nchi. Kwahiyo hapo aliigusa taasisi ya uraisi na serikali kwa ujumla. Angezungumzia mikopo inayohusu CCM au mambo yanayohusu uongozi wa chama, hapo ndo angekuwa amemzunguzia mwenyekiti wa chama.
A = B huwezi kumtenganisha Samia wa CCM na Samia wa Ikulu.
 
Back
Top Bottom