NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

Mbowe huwa anao msimamo ila pia huwa anajali sana maslahi yake kifedha.

Duh! Mbowe amewashika pabaya. Maslahi ya kifedha yepi, mtu alibomolewa Bilcanas yake, kaharibiwa shamba lake na pia kafunguliwa kesi ya ugaidi na kufungiwa akaunti zake zote na pesa kuchukuliwa. Usiongee uongo kufurahisha nafsi yako.
 
Duh! Mbowe amewashika pabaya. Maslahi ya kifedha yepi, mtu alibomolewa Bilcanas yake, kaharibiwa shamba lake na pia kafunguliwa kesi ya ugaidi na kufungiwa akaunti zake zote na pesa kuchukuliwa. Usiongee uongo kufurahisha nafsi yako.
Mbowe amefanya kazi nzuri sana kwa miaka mingi ila sasa anapoendelea kukaa madarakani kwa miaka mingi wengi tunamchoka.

Suala la maslahi yake kifedha yupo vizuri sana kupata ndani ya chama mkuu, hili linajulikana.

Chama sasa apewe kijana wa kazi John Heche ili ccm wapotezwe kabisa.
 
Mwenendo wake hivi karibuni umekuwa sio wa kuridhisha..

Mbowe kikao Cha kwanza aliitwa na Rais, kikao Cha pili kaitwa na Rais ili kupewa taarifa ya kiako Cha maridhiano Kati ya serikali/CCM na CHADEMA. Cha tatu ndio wamekutana kikundi chote kwaajili ya majadiliano.
 
Mbowe amefanya kazi nzuri sana kwa miaka mingi ila sasa anapoendelea kukaa madarakani kwa miaka mingi wengi tunamchoka.

Suala la maslahi yake kifedha yupo vizuri sana kupata ndani ya chama mkuu, hili linajulikana.

Chama sasa apewe kijana wa kazi John Heche ili ccm wapotezwe kabisa.

Nakubaliaana na wewe mkuu kwa mrengo huo. Tusubiri mwakani atakapostaafu.
 
Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
Naunga mkono. Ccm inabidi tuige huu uthubutu na mfano NCCR Mageuzi walkohuonyesha
 
Lini Mbowe ameenda kwenye shughuli za CCM ? Mbowe kuonana na Rais imekuwa nongwa. Juzi hapa mlimuita gaidi leo mmebadilika Tena.
Kwanini mpaka leo hamujawaeleza watanzania kisa cha mbowe kufutiwa mashtaka kule mahakamani na tayari alikuwa na kesi ya kujibu lakini alipotoka tu break ya mwanzo akatuwa ikulu bila hata kuonana na famili yake kwanza lakini toka siku ile mbowe tunamuona sasa kawa mtu wa Ikulu muda wote, kwanini hamujawaeleza watanzania nyuma ya pazia kuna nini.,

Tundu lissu aliulizwa akasema aulizwe Mbowe mwenyewe kwanini hadi leo mnataka kuwafanya watu wajinga kwa kiwango hichi?
 
NCCR Mageuzi ni miongoni na vyama vilivyoundwa mwanzo na Majasusi ilimegwa huko, sasa mnashangaa mazonge zonge yao? Wako kazini hao waacheni
 
Back
Top Bottom