mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hao wote wanapigania matumbo yao tuHuyu mbatia sikuhizi kawa nusu nusu kama Mbowe, akitakiwa Ikulu na kwenye shughuli za ccm huwa hachelewi kufika, tayari ameanza unafiki wa undumila kuwili mwache aitwe akajieleze
Ova