Una uhakika hivyo vyama vingine vilivyobaki wenyeviti wake walishafanya makosa ambayo mbatia kayafanya na hawakuchukuliwa hatua?.Toa mifano dhahiri na adhabu zake ndani ya hivyo vyama ili tuone Nccr wamekomaa kidemokrasia.Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wake, James Mbatia kufanya shughuli zote kisiasa za chama hicho mpaka pale atakapoitwa kwenye mkutano mkuu kujieleza.
View attachment 2232853
Ni jambo jema
Akina Tundu Lisu nao wampige stop mangi Mbowe
Kwa makosa gani?.au unadhani nikufukuzana tu kiholela.Mbowe anapaswa kufukuzwa kabisa CHADEMA.
Ndugai hakumgusa mwenyekiti wa chama bali alimgusa raisi, amiri jeshi mkuu na mkuu wa nchi. Kwahiyo hapo aliigusa taasisi ya uraisi na serikali kwa ujumla. Angezungumzia mikopo inayohusu CCM au mambo yanayohusu uongozi wa chama, hapo ndo angekuwa amemzunguzia mwenyekiti wa chama.Kamguse Samia uone, muulize Ndugai atakueleza.
Hivi vichama vinavyoongozwa na mamangi Hakuna kitu.Ni jambo jema
Akina Tundu Lisu nao wampige stop mangi Mbowe
Nonsensical postUMOJA PARTY cha akina Sukuma gang hakina mvuto. Hiki chama kinaasisiwa na watu waloojaa tamaa ya kuwaua watanzania kwa halaiki..
Waanzilishi wa Umoja Party wakamatwe washtakiwe kwa uhaini.
Mbatia ni mtumishi wa umma wa ngazi ya juu kwa mda mrefu sana, mwana usalama mbobeziHalmashauri Kuu ya Chama cha NCCR Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wake, James Mbatia kufanya shughuli zote kisiasa za chama hicho mpaka pale atakapoitwa kwenye mkutano mkuu kujieleza.
View attachment 2232853
Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
Ndio wapo. Wanaitwa HALMASHAURI KUU NA MKUTANO MKUU!Hayavmapya kabisa. Kwa hiyo kuna mtu zaidi ya Mbatia kwenye chama chake?
Wajumbe wa mkutano mkuu chadema wana mpango wa kumuongezea Mbowe miaka mitano tena, hadi mjinyonge.Mbowe anapaswa kufukuzwa kabisa CHADEMA.
Kati yao hakuna hata mmoja asiependa kuishi, na ukizingatia bado wanayakumbuka ya Chacha Wangwe mkuu.Ni jambo jema
Akina Tundu Lisu nao wampige stop mangi Mbowe
Huyu mbatia sikuhizi kawa nusu nusu kama Mbowe, akitakiwa Ikulu na kwenye shughuli za ccm huwa hachelewi kufika, tayari ameanza unafiki wa undumila kuwili mwache aitwe akajieleze
Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
Ukorofi punguzaNi jambo jema
Akina Tundu Lisu nao wampige stop mangi Mbowe
A = B huwezi kumtenganisha Samia wa CCM na Samia wa Ikulu.Ndugai hakumgusa mwenyekiti wa chama bali alimgusa raisi, amiri jeshi mkuu na mkuu wa nchi. Kwahiyo hapo aliigusa taasisi ya uraisi na serikali kwa ujumla. Angezungumzia mikopo inayohusu CCM au mambo yanayohusu uongozi wa chama, hapo ndo angekuwa amemzunguzia mwenyekiti wa chama.
Mwenendo wake hivi karibuni umekuwa sio wa kuridhisha..Kwa makosa gani?.au unadhani nikufukuzana tu kiholela.