Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hata CCM, yule mwehu aliyekua akinajisi nchi mngemsimamisha uanachama tu badala ya kumpa sumu kisha mtudanganye eti ni matatizo ya moyoChadema kama chama kuna umuhimu wakujifunza mambo mengi kutoka NCCR.kuwa mwenyekiti haimaanishi ndio top wa kila kitu kwenye chama.
Si anasimamia Majanga?.Mbatia haeleweki anasimamia nini, huwa anasoma upepo Ili apate ulaji.
mnahaha sana. Mtasubiri sanaNi jambo jema
Akina Tundu Lisu nao wampige stop mangi Mbowe
ccm unamwachia nanikuanzia leo mimi ni NCCR‐Mageuzi, nilikuwa nakisubiri kwa hamu chama chenye ujasiri km huu. Ni mara ya kwanza katika nchi hii hiki kitu kinatokea. Kile chama kingine kazi ni kumtukana zitto tu basi na kupelekeshwa na mwenyekiti.
Mbowe ni mfanyabiashara na ni muhuni wa mjini anaekitumia Chadema kufanya biashara!!Mbowe huwa anao msimamo ila pia huwa anajali sana maslahi yake kifedha.
Ccm lilivyotaka kufanyika MANGULA alipewa sumu. Membe alifukuzwa chama. Hatimaye mungu ametenda maajabuPale chadema ukitaka kufanya jaribio kama hilo unaweza jikuta unafanana na Chacha Wangwe.
Well said mkuuu.Ni kawaida sana kwenye siasa, hakuna permanent friendships or permanent enemies, there is only a common interests and conveniences, convenience zikiisha, you pat ways!.
P
- Mwanzilishi wa CUF ni James Mapalala akamkaribisha Maalim Seif Sharif Hamad na Prof. Lipumba, wakampindua, wakamfukuza.
- Mwanzilishi wa NCCR Mageuzi ni Mabere Marando, Prince Bagenda na Dr. Masumbuko Lamwai, wakamkaribisha Mrema, akawatimua
- Mwanzilishi wa TLP ni Senator Leo Lekamwa, akamkaribisha Mrema, Mrema akampindua na kumtimua
- Hata Chadema ni Freeman Mbowe aliwaleta Zitto Kabwe na Prof. Kutoka, you know walitaka kumfanya nini Mbowe!.
- The brain behind ACT Wazalendo ni Prof. Kitila, JPM akamkaribisha CCM, baada ya kilichotokea, Mama kashikwa sikio, akaweka pembeni mapema kabisa now on his exit door, 2025 hasimamishwi na CCM, atahamia ACT kisha subirieni what will happen!
Lakini Mama NI MTU wa maridhiano!JUST IN:Mbatia amekuwa anamtukana Sana Rais Samia.Ili kumpunguza nguvu imeamuliwa itengenezwe figisu kumuondoa kwenye uenyekiti.Lakin mwishoni chama kitakufa .Ndio dhumuni kubwa.Ili kumpunguza watu wenye nguvu ya kumusema mama Samia.
Kapindua meza kibabe.Selasini n shida Sana
Selasini kasema Mbatia alikuwa anajitongozesha CCM/Kwa Rais ili apewe ubunge wa kuteuliwa.kisha mbatia aende ccm na kupewa viti maalum halafu uwaziri.
Weweccm unamwachia nani
Huyu huyu selasini aliyedukuliwa akipanga mipango mibovu dhidi ya chadema yeye na mwenzake kubenea, ndiye kapewa nafasi kubwa hivi huko nccr?
Once a traitor Always will beHuyu huyu selasini aliyedukuliwa akipanga mipango mibovu dhidi ya chadema yeye na mwenzake kubenea, ndiye kapewa nafasi kubwa hivi huko nccr?
Bado yale ya 1995 pale Tanga yanajirudiaHalmashauri Kuu ya Chama cha NCCR Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wake, James Mbatia kufanya shughuli zote kisiasa za chama hicho mpaka pale atakapoitwa kwenye mkutano mkuu kujieleza.
View attachment 2232853
=======
Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shuhhuli zozote za chama hadi mkutano Mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma inazowakubali.
Uwamuzi huo umefanyika leo Jumamosi Mei 21, 2022 kutokana na tuhuma mbalimbali ikiwemo kugombanisha viongozi na kulazimisha kujiuzulu.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Mwenyekiti wa azimio hilo, Joseph Selasini amesema pamoja na kusimamishwa kwa viongozi hao pia wamelivunja Baraza la Wadhamini la NCCR na kuteua wajumbe wapya ambao watasajiliwa kwa mujibu wa taratibu zitakazowekwa.
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza amesema walipokea barua kutoka NCCR-Mageuzi kuwa kuna mabadiliko ya wajumbe wa bodi ya wadhamini.
Amesema pamoja na mabadiliko hayo kulikuwa na ajenda nyingine ambayo ni kusimamishwa kwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Bara kutokana na maazimio hayo wanasubiri barua rasmi ili kutoa taarifa.
"Tuna orodha yetu tutaenda kuangalia kama mlivyoona wajumbe wapo na akidi imetimia hivyo tunangoja barua rasmi kisha tutaenda kupitia na katiba yao," amesema Nyahoza
Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wake, James Mbatia kufanya shughuli zote kisiasa za chama hicho mpaka pale atakapoitwa kwenye mkutano mkuu kujieleza.
View attachment 2232853
=======
Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shuhhuli zozote za chama hadi mkutano Mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma inazowakubali.
Uwamuzi huo umefanyika leo Jumamosi Mei 21, 2022 kutokana na tuhuma mbalimbali ikiwemo kugombanisha viongozi na kulazimisha kujiuzulu.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Mwenyekiti wa azimio hilo, Joseph Selasini amesema pamoja na kusimamishwa kwa viongozi hao pia wamelivunja Baraza la Wadhamini la NCCR na kuteua wajumbe wapya ambao watasajiliwa kwa mujibu wa taratibu zitakazowekwa.
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza amesema walipokea barua kutoka NCCR-Mageuzi kuwa kuna mabadiliko ya wajumbe wa bodi ya wadhamini.
Amesema pamoja na mabadiliko hayo kulikuwa na ajenda nyingine ambayo ni kusimamishwa kwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Bara kutokana na maazimio hayo wanasubiri barua rasmi ili kutoa taarifa.
"Tuna orodha yetu tutaenda kuangalia kama mlivyoona wajumbe wapo na akidi imetimia hivyo tunangoja barua rasmi kisha tutaenda kupitia na katiba yao," amesema Nyahoza
Chadema kama chama kuna umuhimu wakujifunza mambo mengi kutoka NCCR.kuwa mwenyekiti haimaanishi ndio top wa kila kitu kwenye chama.
Mbatia hayupo aggressive kabisa chama limepoa kama uji baridiMbatia haeleweki anasimamia nini, huwa anasoma upepo Ili apate ulaji.