Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Kupinga ndo nini jinga wewe yaan mnakaririshwa na jiwe na nyie mnaropoka tu sio kwamba wanapinga Ni kwamba wanakosoa njia zinazotumika Sasa nyie mkikosolewa mnasema kupinga jiwe mpenda sifa anavyowaburuza ccm anataka na bunge aliburuze ,embu taja kitu kimoja walichopinga wapinzani na hata wakipinga ndo maana ya upinzani Sasa Kama wote wakiwa na wazo moja Hilo bunge au maiti nini maana ya discussion,uvccm vilaza sanaHahaha Hadi Raha
kutwa Kupinga kupinga Dawa yao ndiyo Hiyo
Jiwe anaenda kuwa rais wa maishaNi jambo jema.
Maigizo yataisha bungeni.
Wacha weeeUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,mambo ya kibunge huwezi kitasemwa kwa sababu ni mazito mno kwako,acha wanaume wayajadili
Rais wako jiwe alikua anasema anashindwa leta maendelea kwasababu anachanganyiwa magunzi, now wote ni ccm, tunataka kuiona Tz kama Ulaya, sawa dogo?Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
Hahaaaa tuliwaaambia mkipata ata mbunge mmoja shukuruMagufuli "anapendwa" Sana na watanzania. Wanaumiza vichwa wamfanye nini jiwe huyu. Mungu na wewe mpende zaidi jiwe huyu
Wapinzani walikuwa wanaigiza kama Kaole!
Nadhani tumeyaona mabavu yenu ktk uchaguzi huu.Hahaaaa tuliwaaambia mkipata ata mbunge mmoja shukuru
Magufuli for lifeMagufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Walivyo wajinga watarudisha bunge live ili wajiue wenyewe!Sasa watawarudishia na Bunge live
2025 nadhani tutaambiwa Maendeleo yamecheleweshwa na Mbowe.CCM wamebugi kujipitisha wote Ni kosa la kiufundiThis is too much. Hata sisi wana-CCM hatujafurahia. Level ya ubunge ngoma ingeachwa fair at least tukawapata wabunge cream kutoka na upinzani. Ambao kwa ukweli wamekuwa na mchango mkubwa sana sana toka 1992. Leo hii tunaingia kwenye bunge ambalo wabunge wote ni CCM 100%kutoka bara. Labda wa ACT kutoka Pemba kuingia bunge wa JMT, ila napo it depends na kama watakubali au itakuwa kama last time.
Kwa hakika ni uzuni. na wananchi tusishangilie hili. Nchi imeingia katika majaribio makubwa sana. kwa wale slow learners mtaanza kuona madhara yake not even far just 2022.
Nidiriki kusema haijawa njia sahihi na sio afya kwa demokrasia. Mapungufu na wizi ulikuwepo wa kiwango cha juu sana sana. Anyway, tumerudi nyuma hatua 30 katika demokrasia aliyotuachia Baba wa Taifa na Mzee Kikwete.
Hata Mwalimu Nyerere alikuwa anarusu fairness na amekuwa na wabunge wa upinzani before Chama kimoja. Mwinyi naye. Mkapa naye na Kikwete naye. Ila hii ya wabunge wote kutoka bara kuwa CCM... Duuuuh!. kweli tunatofautiana fikra
Kufwa fala sanaIm deeply saddened with all these ... Deeply saddened.