Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Habari za ufisadi zilivuma, kulikuwa na uhuru wa kukosoa
  • Mikataba mibovu iliwekwa wazi
  • Uhuru mkubwa kwenye vyombo vya habari
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini vitu kama rpoti za cag na skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuzima mic, kufukuza wabuaji kama ilivyo kwa sasa kina Mpina au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari navyo vilileta chachu ya kufukua zaidi na kutufungua macho.

Tulitegemea kiongozi ajae atadumisha utamaduni huu na kurekebisha mapungufu ya awamu ya Kikwete lakini kilichotokea ni opposite,

Then came a man known as Magufuli, Ni kweli kuna mapungufu ya awamu ya Kikwete aliyapunguza mfano kupunguza ajira za connection (Licha ya kwamba awamu yake ajira zilipungua) lakini alivuruga kabisa utamaduni ulioanzishwa wa kuimarisha uwanja huru wa siasa, uhuru wa maoni, n.k.

Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL", hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, kimbunga cha watu wasiojulikana, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato kulijengwa vitu vilvyoacha maswali mengi, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
 
Unadhan kikwete akigombea kwa sasa anaweza kushinda kihalali?
Ishu ni kwamba alileta mwanga kwenye siasa za nchi hii tangu tupate uhuru, ilibidi wanaomfuata waendeleze alipoishia sio kurudi tulipotoka

Kwa mara ya kwanza kabisa wabunge kibao wa upinzani bungeni na ilisaidia sana vitu kama kuibua madudu ya Escrow, Richmond, n.k. Sio bunge linajaa chama kimoja kila kitu Ndioo
 
Ishu ni kwamba alileta mwanga kwenye siasa za nchi hii tangu tupate uhuru, ilibidi wanaomfuata waendeleze alipoishia sio kurudi tulipotoka

Kwa mara ya kwanza kabisa wabunge kibao wa upinzani bungeni na ilisaidia sana vitu kama kuibua madudu ya Escrow, Richmond, n.k. Sio bunge linajaa chama kimoja kila kitu Ndioo
me nadhani kwa tanzania tatizo lipo kwa upinzani wenyewe na aina ya upinzani walio nao. Ni vema wafanye mabadiliko ya kwao kwanza ndipo wafanye mabadiliko ya utawala kushikwa na upinzani. Kikwete aliwawekea mazingira ya kushina ila kwa tamaa ya pesa wakauza nafas ya kuongoza nchi.
Magufuli alitawala kwa kutumia sera za upinzan. Wakakosa cha kukosoa wakawa wanapinga miradi yenye tija kwa taifa. Ki ufupi hawaeleweki.

Magufuli alipitia ukosoaji mkubwa ila alijitahid kuchapa kazi na kuifanya nchi ipige hatua. Samia anauza rasilimali zetu na kufukuza wamasai but wanakosoa kwa uoga na wengine ndo wapo kimya kabisa. Naomba uniambie tofauti na chadema na act vyama vingine vya upinzani vinafanya nini..? Kuna faida gani kuwa navyo kama taifa,? Kwa hiyo hao wanaojiita wapinzan hawako sirias na wanachokifanya. Kama kweli malengo ni kulikomboa taifa basi waanze kufanya marekebisho wenyewe, kusiwe na utitiri w vyama dhidi ya chama kimoja na waonyeshe dhamira ya kweli ya mageuzi. Kama ndani ya chama kikuu cha upinzani hakuna demokasia ya kweli itakuwaje wakishika madaraka?
 
Haya ni mawazo ya watu wachovu na tayari mawazo yao hayo wanaanza kuyafanya sababu ya wao kukwepa uwajibikaji

Tunavyama vya upinzani vichovu na vinaongozwa na watu walafi wa madaraka na hawapo tayari kuwajibika

Ni wakweli katika mwonekano wa nje, ndani ya mioyo yao ni ccm tupu na wagonga glas na kina Mama Abdu huku wakiwang'onga wafuasi wao

Wakati wafuasi wakiamini wana viongozi imara katika kutetea mabadiriko, kumbe viongozi wao wanakula pamoja na viongozi wa chama tawala

Mleta uzi kwani wewe ni nani katika hivi vyma vya upinzani?

Je ni kiongozi? Kama wewe ni kiongozi, tafafhari, acheni kutuona mazuzu sisi kuleeta hoja za kijinga huku ukijua mnakula luzuku za maccm

Kama wewe ni mfuasi, basi elewa wanaokuuzeni ni viongozi wenu, haladu unakuja kumlalamikia marehemu? Jinga kabisa
 
Kipindi cha Kikwete that man ndie alieleta Hope kwenye siasa za nchi yetu, Kulikuwa na nuru ya siasa za uhuru, freedom of speech and after speech, matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani, at least kulikuwa na jitihada ya mchakato wa katiba mpya hata kama ilikuwa zuga, n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa kuanzia kuheshimu upinzani, wabunge wapinzani kujaa bungeni, n.k. Ni vitu vilivyosaidia sana kupunguza zile ndiooooo bunge likijaa chama kimoja, Kuibua upigaji wa Escrow na Richmond, Uhuru wa vikao vya kisiasa, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtema kuni, hadi CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, kimbunga cha watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni,

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Kwanza huyo Kikwete ana mchango mkubwa sana wa kutunyima Watanzani Katiba yetu, pamoja na lile bunge lake lililojaa wanasiasa wa chama chake na ukawa.

Angekuwa siyo Mswahili, mpaka muda huu tungekuwa tunaongea mengine kwenye siasa za nchi yetu.
 
Kipindi cha Kikwete that man ndie alieleta Hope kwenye siasa za nchi yetu, Kulikuwa na nuru ya siasa za uhuru, freedom of speech and after speech, matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani, at least kulikuwa na jitihada ya mchakato wa katiba mpya hata kama ilikuwa zuga, n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa kuanzia kuheshimu upinzani, wabunge wapinzani kujaa bungeni, n.k. Ni vitu vilivyosaidia sana kupunguza zile ndiooooo bunge likijaa chama kimoja, Kuibua upigaji wa Escrow na Richmond, Uhuru wa vikao vya kisiasa, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtema kuni, hadi CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, kimbunga cha watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni,

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Ndiyo maana tunasema Magufuli alikuwa shetani. Ameondoka na kucha madhara mabaya sana. Kikwete naye alikuwa kilaza tu. Mtu aliyekuwa na maono kuliko marais wote ni Nyerere.
 
Kipindi cha Kikwete that man ndie alieleta Hope kwenye siasa za nchi yetu, Kulikuwa na nuru ya siasa za uhuru, freedom of speech and after speech, matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani, at least kulikuwa na jitihada ya mchakato wa katiba mpya hata kama ilikuwa zuga, n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa kuanzia kuheshimu upinzani, wabunge wapinzani kujaa bungeni, n.k. Ni vitu vilivyosaidia sana kupunguza zile ndiooooo bunge likijaa chama kimoja, Kuibua upigaji wa Escrow na Richmond, Uhuru wa vikao vya kisiasa, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtema kuni, hadi CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, kimbunga cha watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni,

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Tusimlaumu Magufuli kwa uzembe wa wananchi kukubali uchafuzi wa uchaguzi
 
Kipindi cha Kikwete that man ndie alieleta Hope kwenye siasa za nchi yetu, Kulikuwa na nuru ya siasa za uhuru, freedom of speech and after speech, matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani, at least kulikuwa na jitihada ya mchakato wa katiba mpya hata kama ilikuwa zuga, n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa kuanzia kuheshimu upinzani, wabunge wapinzani kujaa bungeni, n.k. Ni vitu vilivyosaidia sana kupunguza zile ndiooooo bunge likijaa chama kimoja, Kuibua upigaji wa Escrow na Richmond, Uhuru wa vikao vya kisiasa, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtema kuni, hadi CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, kimbunga cha watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni,

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Ipo siku utashindwa kushika mimba ya mumeo na utamsingizia JPM
 
Kipindi cha Kikwete that man ndie alieleta Hope kwenye siasa za nchi yetu, Kulikuwa na nuru ya siasa za uhuru, freedom of speech and after speech, matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani, at least kulikuwa na jitihada ya mchakato wa katiba mpya hata kama ilikuwa zuga, n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa kuanzia kuheshimu upinzani, wabunge wapinzani kujaa bungeni, n.k. Ni vitu vilivyosaidia sana kupunguza zile ndiooooo bunge likijaa chama kimoja, Kuibua upigaji wa Escrow na Richmond, Uhuru wa vikao vya kisiasa, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtema kuni, hadi CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, kimbunga cha watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni,

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Siyo Magufuli, ni ccm inatawala kwa njia hizo
 
Kipindi cha Kikwete that man ndie alieleta Hope kwenye siasa za nchi yetu, Kulikuwa na nuru ya siasa za uhuru, freedom of speech and after speech, matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani, at least kulikuwa na jitihada ya mchakato wa katiba mpya hata kama ilikuwa zuga, n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa kuanzia kuheshimu upinzani, wabunge wapinzani kujaa bungeni, n.k. Ni vitu vilivyosaidia sana kupunguza zile ndiooooo bunge likijaa chama kimoja, Kuibua upigaji wa Escrow na Richmond, Uhuru wa vikao vya kisiasa, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtema kuni, hadi CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, kimbunga cha watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni,

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Je huyo Kikwete kasema nini kuhusu hali hii?
 
Back
Top Bottom