Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wangelikuwa ni wapinzani wasingekubaliana na propaganda hizo.

Alichofanya Magufuli ni kuwataka waache ujinga wa kujiita wapinzani ilhali ni wakwamishaji tu wa juhudi zake.

Walimwelewa Magufuli kisha wakachukua hatua ya kuunga mkono juhudi za Magufuli.

Leo hii Magufuli hayupo lakini kina Nasary na kina Waitara hawajahama ccm..

Nikuulize swali... "wewe unaamini kuwa kuna wapinzani wa ukweli hapa Tanzania?
Akikujibu nitag
 
Pia kila kukiwa na mgomo Kikwete alikuwa na kawaida ya kwenda nje ya nchi.
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru mkubwa kwenye vyombo vya habari
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini vitu kama rpoti za cag na skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuzima mic, kufukuza wabuaji kama ilivyo kwa sasa kina Mpina au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari navyo vilileta chachu ya kufukua zaidi na kutufungua macho.

Tulitegemea kiongozi ajae atadumisha utamaduni huu na kurekebisha mapungufu ya awamu ya Kikwete lakini kilichotokea ni opposite,

Then came a man known as Magufuli, Ni kweli kuna mapungufu ya awamu ya Kikwete aliyapunguza mfano kupunguza ajira za connection (Licha ya kwamba awamu yake ajira zilipungua) lakini alivuruga kabisa utamaduni ulioanzishwa wa kuimarisha uwanja huru wa siasa, uhuru wa maoni, n.k.

Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL", hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, kimbunga cha watu wasiojulikana, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato kulijengwa vitu vilvyoacha maswali mengi, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
iwa
 
Pia kila kukiwa na mgomo Kikwete alikuwa na kawaida ya kwenda nje ya nchi.

iwa
Huyu hajitambui kipindi cha Kikwete migomo ilikuwa kama yote, mgao wa umeme, ufisadi ulikuwa ni jambo la kawaida, mikataba mibovu mf kufaidika na 3% kwenye madini yetu ya Tanzania huku mgeni akipata 97%
 
Huyu hajitambui kipindi cha Kikwete migomo ilikuwa kama yote, mgao wa umeme, ufisadi ulikuwa ni jambo la kawaida, mikataba mibovu mf kufaidika na 3% kwenye madini yetu ya Tanzania huku mgeni akipata 97%
Maghorofa kuanguka hovyo ilikuwa kawaida.
 
Huyu hajitambui kipindi cha Kikwete migomo ilikuwa kama yote, mgao wa umeme, ufisadi ulikuwa ni jambo la kawaida, mikataba mibovu mf kufaidika na 3% kwenye madini yetu ya Tanzania huku mgeni akipata 97%
habari za ufisadi na mikataba mibovu zilivuma kwasababu kulikuwa na uhuru wa maoni
 
Kumbe kumpata kama Kikwete........bora tu isije ikajirudia zama kama ya huyo mkwere
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Habari za ufisadi zilivuma, kulikuwa na uhuru wa kukosoa
  • Mikataba mibovu iliwekwa wazi
  • Uhuru mkubwa kwenye vyombo vya habari
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini vitu kama rpoti za cag na skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuzima mic, kufukuza wabuaji kama ilivyo kwa sasa kina Mpina au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari navyo vilileta chachu ya kufukua zaidi na kutufungua macho.

Tulitegemea kiongozi ajae atadumisha utamaduni huu na kurekebisha mapungufu ya awamu ya Kikwete lakini kilichotokea ni opposite,

Then came a man known as Magufuli, Ni kweli kuna mapungufu ya awamu ya Kikwete aliyapunguza mfano kupunguza ajira za connection (Licha ya kwamba awamu yake ajira zilipungua) lakini alivuruga kabisa utamaduni ulioanzishwa wa kuimarisha uwanja huru wa siasa, uhuru wa maoni, n.k.

Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL", hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, kimbunga cha watu wasiojulikana, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato kulijengwa vitu vilvyoacha maswali mengi, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
100% agreed! Tumerudi nyuma saaaana kwenye demokrasia na kweli tunaongozwa na chura kiziwi!
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi


  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
kweli mkuu
Enzi zake kale kabomu pale Arusha kaliwatimulia vumbi tu watu wakajipukuta wakaondoka wale maaskofu walifanya drama tu kuzika migomba.
Mwangosi pale Iringa alipapaswapapaswa tu Kamhanda ndo maana Kikwete akampandisha cheo, hadi leo Mwangozi anadunda!
Yule kijana muuza magazeti pale Morogoro alipulizwa tu na kaupepo ka risasi ya plastiki hadi leo yupo anauza magazeti yake
Dr Ulimboka alipelekwa kula chips mayai Mabwepande.

....Itatuchukua miaka 20 kumpata kama Kikwete.
 
Back
Top Bottom