Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna kiongozi atakuja aweke mazingira bora ya kisiasa bila ya kupigana, kuuwana, na kuzikana.
Tunaweza kuikataa hali hiyo bila kuthuriana kwa kufanya maandamano ya amani yasiyo na kikomo hadi hali ibadilike. Hayo maandamano yaasisiwe na wananchi wenyewe na si vyama vya siasa.
 
Zamani nilikuwa najua wewe me, nimekuja kushituka baada ya kuwa naona comment zako nyingi zinahushisha wewe kushika au kupewa mimba. Je unachangamoto ya kushika ujauzito au basi tu ni mapenzi yako
Hata Mm nilijua ww n me, ila baada ya kupata taarifa kuwa upo leba umejifungua mapacha wanne kwa mpigo ndipo nakakufahamu vyema, inaonyesha jamaa alikushughulika vzr mpaka umeleta mapacha wanne
 
Hata Mm nilijua ww n me, ila baada ya kupata taarifa kuwa upo leba umejifungua mapacha wanne kwa mpigo ndipo nakakufahamu vyema, inaonyesha jamaa alikushughulika vzr mpaka umeleta mapacha wanne
Sasa huu ni uongo wa wazi kabisa, nimekuuliza swali dogo tu, je una changamoto yoyote ya kupata mimba? Maana comment zako nyingi lazima ujihusishe na ishu ya kushika mimba. Sema upate msaada kuliko kuleta jeuri
 
Sasa huu ni uongo wa wazi kabisa, nimekuuliza swali dogo tu, je una changamoto yoyote ya kupata mimba? Maana comment zako nyingi lazima ujihusishe na ishu ya kushika mimba. Sema upate msaada kuliko kuleta jeuri
Em njoo nikutobwe ili upate uhakika nna uwezo wa kukupa mimba au sina
 
me nadhani kwa tanzania tatizo lipo kwa upinzani wenyewe na aina ya upinzani walio nao. Ni vema wafanye mabadiliko ya kwao kwanza ndipo wafanye mabadiliko ya utawala kushikwa na upinzani. Kikwete aliwawekea mazingira ya kushina ila kwa tamaa ya pesa wakauza nafas ya kuongoza nchi.
Magufuli alitawala kwa kutumia sera za upinzan. Wakakosa cha kukosoa wakawa wanapinga miradi yenye tija kwa taifa. Ki ufupi hawaeleweki.

Magufuli alipitia ukosoaji mkubwa ila alijitahid kuchapa kazi na kuifanya nchi ipige hatua. Samia anauza rasilimali zetu na kufukuza wamasai but wanakosoa kwa uoga na wengine ndo wapo kimya kabisa. Naomba uniambie tofauti na chadema na act vyama vingine vya upinzani vinafanya nini..? Kuna faida gani kuwa navyo kama taifa,? Kwa hiyo hao wanaojiita wapinzan hawako sirias na wanachokifanya. Kama kweli malengo ni kulikomboa taifa basi waanze kufanya marekebisho wenyewe, kusiwe na utitiri w vyama dhidi ya chama kimoja na waonyeshe dhamira ya kweli ya mageuzi. Kama ndani ya chama kikuu cha upinzani hakuna demokasia ya kweli itakuwaje wakishika madaraka?
Maelezo marefu yamejaa pumba nanupo nje mada.
 
Em njoo nikutobwe ili upate uhakika nna uwezo wa kukupa mimba au sina
Duh aisee sasa wewe ni ke then unaandika ujinga kama huu. Kuwa na busara hata kidogo. Mambo kama haya ndjyo maana hushiki mimba unabaki kulalamika humu
 
Duh aisee sasa wewe ni ke then unaandika ujinga kama huu. Kuwa na busara hata kidogo. Mambo kama haya ndjyo maana hushiki mimba unabaki kulalamika humu
Na tabia zako hizi sidhani kama utapata mume, utakuwa unazalishwa na kuachwa tuu
 
Kuleta ufisadi wa kiwango cha juu kwako ni kuleta mwanga? Hakuna Rais anayeweza kuvunja rekodi ya ufisadi wa mkwere
Sio kwamba Kikwete kaleta ufisadi ila kwa kuachia uhuru kumetuwezesha wananchi kufahamu mengi na tukapiga kelele hadi Waziri mkuu akajiuzulu. Kuanzia hapo wasingeruhusu tena uhuru huo ili waweze kuficha mambo.
 
Hao walioitwa wapinzani enzi za mkwere walikuwa ni mapandikizi yake wenye njaa yao mjini...

Hapakuwa na wapinzani halisi na ndio maana alipikuja JPM aliwafunua utupu hao 'wapinzani' kwa kuwanunua na kuwapa ubunge kwa tiketi ya CCM.

JPM ni rais aliyetuthibitushia kuwa hakuna wapinzani TZ.
Alitumia dola kuwashughulikia. Hakuna rais aliyeendesha nchi kwa propaganda kama Magufuli.
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru mkubwa kwenye vyombo vya habari
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini vitu kama rpoti za cag na skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuzima mic, kufukuza wabuaji kama ilivyo kwa sasa kina Mpina au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari navyo vilileta chachu ya kufukua zaidi na kutufungua macho.

Tulitegemea kiongozi ajae atadumisha utamaduni huu na kurekebisha mapungufu ya awamu ya Kikwete lakini kilichotokea ni opposite,

Then came a man known as Magufuli, Ni kweli kuna mapungufu ya awamu ya Kikwete aliyapunguza mfano kupunguza ajira za connection (Licha ya kwamba awamu yake ajira zilipungua) lakini alivuruga kabisa utamaduni ulioanzishwa wa kuimarisha uwanja huru wa siasa, uhuru wa maoni, n.k.

Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL", hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, kimbunga cha watu wasiojulikana, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato kulijengwa vitu vilvyoacha maswali mengi, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
kwa hiyo miaka 20 yote ijayo wewe na Magufuli tu
Aisee kumbe jamaa ni mwamba kweli kweli
 
kufanya maandamano ya amani yasiyo na kikomo
Huwa hayahesgimiwi na kuogopwa na madikteta kwasabb hayatishii nafasi zao.

Fanta jambo ambako dikteta analiona linatishia uhai wa nafasi yake, hapo mtaongea haraka sana
 
Alitumia dola kuwashughulikia. Hakuna rais aliyeendesha nchi kwa propaganda kama Magufuli.
Wangelikuwa ni wapinzani wasingekubaliana na propaganda hizo.

Alichofanya Magufuli ni kuwataka waache ujinga wa kujiita wapinzani ilhali ni wakwamishaji tu wa juhudi zake.

Walimwelewa Magufuli kisha wakachukua hatua ya kuunga mkono juhudi za Magufuli.

Leo hii Magufuli hayupo lakini kina Nasary na kina Waitara hawajahama ccm..

Nikuulize swali... "wewe unaamini kuwa kuna wapinzani wa ukweli hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom