Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Magufuli ametufundisha vingi sana, kwamba dola ni ccm na ccm ni dola, Rais anaweza kufanya chochote kile na hakuna wa kumzuia, ametufundisha kwamba neno la Rais ndiyo Demokrasia na wote lazima tutii na kufuata maono, matamanio na maelekezo yake,
Alituaminisha kwamba maendeleo yako ccm na ccm ndiyo maendeleo,

Na kubwa sana , ametufundisha kwamba ,Rais anaweza kufariki akiwa madarakani. Hii ni funzo kubwa sana ambalo hatukuwah kulipata hapo kabla.
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru wa kutoa maoni
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuwazimia mic wapinzani au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari viliweka mambo wazi bila hofu, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya

JPM hakuacha mdororo wa kulipa wakandarasi na suppliers.
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru wa kutoa maoni
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuwazimia mic wapinzani au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari viliweka mambo wazi bila hofu, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Kutenguliwa kwa ubunge wa wabunge wa CCM mahakamani!! na upinzani kushinda!

Yaani huyu MKWERE apewe maua yake mapema!!
 
Hakuna kiongozi atakuja aweke mazingira bora ya kisiasa bila ya kupigana, kuuwana, na kuzikana.
Ww ndio umeongea ukweli ninaosema humu kila siku. Kutegemea maridhiano uchwara ya kitapeli kupata mabadiliko ni kujidanganya. Inatakiwa watu walazimke kuingia kwenye maridhiano baada ya wanaccm wengi nao kuuliwa na kuachwa na vilema vya maisha hasa viongozi wao.
 
Lakini mlisema Kikwete ni dhaifu 🐼
1000015179.jpg
 
Ni kweli Kikwete aliwapa uhuru vyama vya upinzani.

Ila wapinzani nao waliabuse huo uhuru.

Tatizo la upinzani tulionao ni aina ya siasa wanayofanya.

Imepitwa na wakati. Huwezi kufanya siasa za kiuanaharakati katika karne hii ukaeleweka. Aina ya siasa hiyo imekaa kishari na inaaashiria vurugu. Aina hiyo ya siasa haikubaliki kwa jamii iliyostaarabika. Angalia hata mwitikio wa maandamano kuhusiana na utekaji. Hakuna aliyekwenda.

Vyama vya kisiasa hapa nchini vinapaswa kubadilika na kuwa vyama na sio taasisi za kiuanaharakati.

Lowasa alijaribu sana kuwabadilisha Chadema lakini alishindwa.

Wananchi wanachotaka kusikia ni sera na namna ya kuzitekeleza na sio kuwajengea hofu na kuwapotosha watu.

Wapinzani kamwe hawataishika dola kwa aina hii ya siasa wanayoifanya. Haitatokea.
 
Magufuli alikuwa shetani. Ameacha laana ambayo itaitafuna Tanzania kwa muda mrefu labda Mungu atuonee tena huruma. Unalaumu wapinzani kwani ndiyo wanaongooza nchi? Kama raia wanaishi maisha ya magumu na hawajitambui wapinzani ndiyo wafanye nini? Kama hao wapinzani hawafai kwa nini raia wasihakikishe wanasimama kidete kuhakikisha CCM inajisafisha?
Wewe ni mjinga mmoja hivi!

Ujinga wa viongozi wenu kula kisirisiri na maccm, halafu unataka upinzani ushamiri nchini??

Jinga kabisa wewe
 
Wewe ni mjinga mmoja hivi!

Ujinga wa viongozi wenu kula kisirisiri na maccm, halafu unataka upinzani ushamiri nchini??

Jinga kabisa wewe
Viongozi wangu kina nani? Au hujui CCM ndiyo inaongoza nchi? Unaona ulivyo mpumbavu! Kumbe hujui hata nchi inaongozwa nani. Chochote kinachoharibika lawama ni kwa CCM. Bila saka nyie ndiyo wale wajinga wanaoning'iniza magololi kwenye sofa wakisubiri viongozi wa upinzani wawaletee mabadiliko. Wanapoona hakuna mabadiliko wanaanza kutupa lawama kwa wapinzani. Kwa taarifa yako hata huko upinzani kuna matapeli wengi tu. Bila wananchi wajinga kama wewe kujitambua hakuna litakalobadilika.
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru wa kutoa maoni
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuwazimia mic wapinzani au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari viliweka mambo wazi bila hofu, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Hata kwenye mfumo wa Vyama vingi Wananchi walilazimishwa.

Machadema kuporomoka Kwa sababu za njaa ni Bora na Afya Kwa Watanzania na fursa Kwa Vyama vingine vya Upinzani makini vyenye hoja kuibuka.

Mwisho hakuna hasara yeyote Nchi itapata
 
Mimi Nakupinga,Magufuli ndo kaja kutuonesha kua sisi hatuna siasa na wanasiasa wa kueleweka…Hakuna tofauti kati ya siasa za chadema na ccm …kwahyo sis kama wananchi tujitahd tuje na solution ili siasa zetu ziwe za manufaa kwetu sisi na nchi yetu….Tofauti na Sasa.
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru wa kutoa maoni
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuwazimia mic wapinzani au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari viliweka mambo wazi bila hofu, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Jiwe alikuwa hovyo sana na mshamba sana PhD yake ya kufoji!
 
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.

Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye kuleta siasa huru lakini alijitahidi

  • Kwa mara ya kwanza wagombea wapinzani walijaa bungeni
  • matumizi madogo sana ya nguvu ya polisi kuzuia upinzani
  • Aliruhusu yeye na serikali yake kukosolewa
  • Uhuru wa kutoa maoni
  • jitihada ya mchakato wa katiba mpya
  • n.k.

Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tulipiga hatua kubwa sana kwenye mazingira ya kisiasa, huwez amini skendo za ufisadi kama escrow na Richmond zilichambuliwa bungeni bila spika kuwazimia mic wapinzani au kukataa hoja izungumziwe, Vyombo vya habari viliweka mambo wazi bila hofu, n.k.

Tulitegemea utamaduni huu utadumishwa but kilichotokea ni opposite

Then came a man known as Magufuli, Siku za mwanzo tu aliwaonya wanaomkosoa "BE CAREFUL" hakuvumilia serikali yake kukosolewa waliodiriki walikiona cha mtemakuni, CAG alitimuliwa kwa kuweka wazi serikali inafuja pesa, Chato alikozalowa ilibustiwa sana, watu wasiojulikana, n.k.

Kinachoendelea ni kile kile part 2, ni utamaduni wa mfumo wa chama kmoja ulodumu miaka mingi na kuongezewa baadhi ya vitu hasa kwenye kuzimisha upinzani.

Itachukua miaka mingi sana kumpata kiongozi kama Kikwete kuleta siasa zenye afya
Uasisi wa hizi faulu za Uchaguzi ulianza kwa kuchafuana ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa 2005. Hadi sasa wanufaika wa Siasa hizo za janja janja wapo ndani ya CCM na ndio deep state au master mind wa mambo Nchi. Watanzania wakiendelea kulala watashituka Nchi imeuzwa kama alivyosema Ndugai. Watanzania wote bila kujali vyama vya siasa waamke kuinasua Nchi yao mikononi mwa watu wachache wasioitakia mema bali wanaweka mazingira ya kuifaidi Nchi wao na familia zao na marafiki zao.
 
Magufuli alikuwa shetani. Ameacha laana ambayo itaitafuna Tanzania kwa muda mrefu labda Mungu atuonee tena huruma. Unalaumu wapinzani kwani ndiyo wanaongooza nchi? Kama raia wanaishi maisha ya magumu na hawajitambui wapinzani ndiyo wafanye nini? Kama hao wapinzani hawafai kwa nini raia wasihakikishe wanasimama kidete kuhakikisha CCM inajisafisha?
Wewe ndio shetani mkubwa na hujitambui. Unamlalamikia marehemu wakati hayupo duniani. Umefanyanini cha maana toka aondoke 2021? Umebaki na majungu tu kama mwanamke malaya. Shithole mkubwa!
 
Wewe ndio shetani mkubwa na hujitambui. Unamlalamikia marehemu wakati hayupo duniani. Umefanyanini cha maana toka aondoke 2021? Umebaki na majungu tu kama mwanamke malaya. Shithole mkubwa!
Umewahi kumwona shetani wewe? Hayupo lakini dini zinasema ni mbaya na bado analaaniwa. Hitler naye bado analaaniwa. Kwa kifupi ubaya haufutiki mtu anapofariki. Na aliyefanya mazuri naye atakumbukwa. Unauliza nimefanya nini tangu aondoke... umejuaje sijafanya kitu? Magufuli alikuwa shetani. Alise-set precedent mbaya sana kwa nchi yetu ambayo itachukuwa muda kuisha.
 
Umewahi kumwona shetani wewe? Hayupo lakini dini zinasema ni mbaya na bado analaaniwa. Hitler naye bado analaaniwa. Kwa kifupi ubaya haufutiki mtu anapofariki. Na aliyefanya mazuri naye atakumbukwa. Unauliza nimefanya nini tangu aondoke... umejuaje sijafanya kitu? Magufuli alikuwa shetani. Alise-set precedent mbaya sana kwa nchi yetu ambayo itachukuwa muda kuisha.

Nafikiri clip hii itakufaa sana wewe!
 
The problem with you is that whenever someone criticizes the failed CCM top leadership, you immediately conclude that they are a CHADEMA party member. What a nonsensical way of arguing! Ubongo wako umejaa elememets za unyumbu, matokeo ya elimu ya kukariri.
Shithole comment!
 
Back
Top Bottom