Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Magufuli ametufundisha vingi sana, kwamba dola ni ccm na ccm ni dola, Rais anaweza kufanya chochote kile na hakuna wa kumzuia, ametufundisha kwamba neno la Rais ndiyo Demokrasia na wote lazima tutii na kufuata maono, matamanio na maelekezo yake,
Alituaminisha kwamba maendeleo yako ccm na ccm ndiyo maendeleo,

Na kubwa sana , ametufundisha kwamba ,Rais anaweza kufariki akiwa madarakani. Hii ni funzo kubwa sana ambalo hatukuwah kulipata hapo kabla.
 

JPM hakuacha mdororo wa kulipa wakandarasi na suppliers.
 
Kutenguliwa kwa ubunge wa wabunge wa CCM mahakamani!! na upinzani kushinda!

Yaani huyu MKWERE apewe maua yake mapema!!
 
Hakuna kiongozi atakuja aweke mazingira bora ya kisiasa bila ya kupigana, kuuwana, na kuzikana.
Ww ndio umeongea ukweli ninaosema humu kila siku. Kutegemea maridhiano uchwara ya kitapeli kupata mabadiliko ni kujidanganya. Inatakiwa watu walazimke kuingia kwenye maridhiano baada ya wanaccm wengi nao kuuliwa na kuachwa na vilema vya maisha hasa viongozi wao.
 
Ni kweli Kikwete aliwapa uhuru vyama vya upinzani.

Ila wapinzani nao waliabuse huo uhuru.

Tatizo la upinzani tulionao ni aina ya siasa wanayofanya.

Imepitwa na wakati. Huwezi kufanya siasa za kiuanaharakati katika karne hii ukaeleweka. Aina ya siasa hiyo imekaa kishari na inaaashiria vurugu. Aina hiyo ya siasa haikubaliki kwa jamii iliyostaarabika. Angalia hata mwitikio wa maandamano kuhusiana na utekaji. Hakuna aliyekwenda.

Vyama vya kisiasa hapa nchini vinapaswa kubadilika na kuwa vyama na sio taasisi za kiuanaharakati.

Lowasa alijaribu sana kuwabadilisha Chadema lakini alishindwa.

Wananchi wanachotaka kusikia ni sera na namna ya kuzitekeleza na sio kuwajengea hofu na kuwapotosha watu.

Wapinzani kamwe hawataishika dola kwa aina hii ya siasa wanayoifanya. Haitatokea.
 
Wewe ni mjinga mmoja hivi!

Ujinga wa viongozi wenu kula kisirisiri na maccm, halafu unataka upinzani ushamiri nchini??

Jinga kabisa wewe
 
Wewe ni mjinga mmoja hivi!

Ujinga wa viongozi wenu kula kisirisiri na maccm, halafu unataka upinzani ushamiri nchini??

Jinga kabisa wewe
Viongozi wangu kina nani? Au hujui CCM ndiyo inaongoza nchi? Unaona ulivyo mpumbavu! Kumbe hujui hata nchi inaongozwa nani. Chochote kinachoharibika lawama ni kwa CCM. Bila saka nyie ndiyo wale wajinga wanaoning'iniza magololi kwenye sofa wakisubiri viongozi wa upinzani wawaletee mabadiliko. Wanapoona hakuna mabadiliko wanaanza kutupa lawama kwa wapinzani. Kwa taarifa yako hata huko upinzani kuna matapeli wengi tu. Bila wananchi wajinga kama wewe kujitambua hakuna litakalobadilika.
 
Hata kwenye mfumo wa Vyama vingi Wananchi walilazimishwa.

Machadema kuporomoka Kwa sababu za njaa ni Bora na Afya Kwa Watanzania na fursa Kwa Vyama vingine vya Upinzani makini vyenye hoja kuibuka.

Mwisho hakuna hasara yeyote Nchi itapata
 
Mimi Nakupinga,Magufuli ndo kaja kutuonesha kua sisi hatuna siasa na wanasiasa wa kueleweka…Hakuna tofauti kati ya siasa za chadema na ccm …kwahyo sis kama wananchi tujitahd tuje na solution ili siasa zetu ziwe za manufaa kwetu sisi na nchi yetu….Tofauti na Sasa.
 
Jiwe alikuwa hovyo sana na mshamba sana PhD yake ya kufoji!
 
Uasisi wa hizi faulu za Uchaguzi ulianza kwa kuchafuana ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa 2005. Hadi sasa wanufaika wa Siasa hizo za janja janja wapo ndani ya CCM na ndio deep state au master mind wa mambo Nchi. Watanzania wakiendelea kulala watashituka Nchi imeuzwa kama alivyosema Ndugai. Watanzania wote bila kujali vyama vya siasa waamke kuinasua Nchi yao mikononi mwa watu wachache wasioitakia mema bali wanaweka mazingira ya kuifaidi Nchi wao na familia zao na marafiki zao.
 
Wewe ndio shetani mkubwa na hujitambui. Unamlalamikia marehemu wakati hayupo duniani. Umefanyanini cha maana toka aondoke 2021? Umebaki na majungu tu kama mwanamke malaya. Shithole mkubwa!
 
Wewe ndio shetani mkubwa na hujitambui. Unamlalamikia marehemu wakati hayupo duniani. Umefanyanini cha maana toka aondoke 2021? Umebaki na majungu tu kama mwanamke malaya. Shithole mkubwa!
Umewahi kumwona shetani wewe? Hayupo lakini dini zinasema ni mbaya na bado analaaniwa. Hitler naye bado analaaniwa. Kwa kifupi ubaya haufutiki mtu anapofariki. Na aliyefanya mazuri naye atakumbukwa. Unauliza nimefanya nini tangu aondoke... umejuaje sijafanya kitu? Magufuli alikuwa shetani. Alise-set precedent mbaya sana kwa nchi yetu ambayo itachukuwa muda kuisha.
 
Your browser is not able to display this video.

Nafikiri clip hii itakufaa sana wewe!
 
Shithole comment!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…