Maco marco
Senior Member
- Jun 10, 2023
- 108
- 86
Hivi tumia akili hata ya kuvukia barabara, ndio wakizitaka wanazipata, kwanini sasa wazitake siku chache kabla na mpaka siku ya shambulio? Tukisema wanahusika tunakosea?Mkuu kwani hizo taarifa ndizo zilizompiga risasi? Hivi hujui na siyo siri kuwa taarifa zako serikali inazo au wakizitaka watazipata- kwenye simu zenu hizo hakuna siri; ndiyo maana wenye akili wote wala hawazitumii
Nilikuita mjinga lakini ndhani sasa umefika wigo wa upumbavu
Hivi unajua kusoma au mpaka Lissu akusomeeWapi wamesema walidukua private information uvccm? Irrelevant! Nenda kwa ras simba kwanza ukutafsirie. Unaonekana kijana mdogo mwenye ufahamu mdogo sana, na unafikiri ukijitoa ufahamu na uvccm upo salama. Alikuwepo nape, makamba na kinana na wote walidukuliwa kinyume na sheria, jipendekeze tu siku wanakuwasha tu na picha zako za ngono ulijaza kwnye kimeo chako.
Uvunjifu wa sheria unatakiwa kupingwa kwa nguvu zote bila kujali we uvccm wala bavicha
Nenda kaiambie hayo mahakama ya uingekeza inayosikikiza kesi kwamba hayo unayodai yamo ndani ya katiba yetu, ni ruksa kwa Serikali kufuatilia mawasiliano ya raia.Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Hivi Tanzania ina kesi huko UINGEREZA?Nenda kaiambie hayo mahakama ya uingekeza inayosikikiza kesi kwamba hayo unayodai yamo ndani ya katiba yetu, ni ruksa kwa Serikali kufuatilia mawasiliano ya raia.
Soon tutajua mauchafu yote chini ya godoro.
Wapi wamesema walidukua private information uvccm? Irrelevant! Nenda kwa ras simba kwanza ukutafsirie. Unaonekana kijana mdogo mwenye ufahamu mdogo sana, na unafikiri ukijitoa ufahamu na uvccm upo salama. Alikuwepo nape, makamba na kinana na wote walidukuliwa kinyume na sheria, jipendekeze tu siku wanakuwasha tu na picha zako za ngono ulijaza kwnye kimeo chako.
Uvunjifu wa sheria unatakiwa kupingwa kwa nguvu zote bila kujali we uvccm wala bavicha
The Washington Post has started running an investigative series, called the Pegasus Project, that describes the expanded use of digital surveillance by governments worldwide. The reports expose how powerful software provided by the Israeli firm NSO Group has been used by states to hack into citizens’ smartphones, track their communications, and acquire incriminating information, sometimes as a prelude to assassination. unajua kusoma au mpaka Lissu akusomee
Governments Are Using Spyware on Citizens. Can They Be Stopped?
An Israeli company has sold military-grade surveillance spyware to governments that are using it to spy on private citizens. What can the United States do about the explosion of such snooping?carnegieendowment.org
uko sahihi ili kuwe na mlingano kati mazunguzo ya lisu hadi kupigwa lisasiGazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Hakuna haja ya kujbiiwa wewe juha. Sijawahi kuwa CCM. Google Edgar Hoover and malcom X, Kennedy, Martin Luther King. Watch documentary zao wenyewe wewe mpuuzi, angalia document USA government walizozitoa kuhusu hizu issues.Lete reference uvccm
Hakuna haja ya kujbiiwa wewe juha. Sijawahi kuwa CCM. Google Edgar Hoover and malcom X, Kennedy, Martin Luther King. Watch documentary zao wenyewe wewe mpuuzi, angalia document USA government walizozitoa kuhusu hizu issues.
Kipi kinaliangamiza Taifa kati ya kuficha mikataba mibovu inayoingiwa na serikali au wakili ambaye anatafuta data ya mikataba hiyo kwenye Kampuni ambayo imefanywa na wahalifu na maamuma wa sharia ndani ya serikali ?Uko tayari kupokea exact evidence ? Hutakwepa na kubadili maneno ? Una kifua cha kisiasa ? Unatuzuga ? Una technology kuharibu recorded pictures videos ? Unaipenda nchi yako ? Ikiumbuliwa unafaidika au inaaibika ?
..mambo hayo yalifanyika KINYUME NA SHERIA.
..Rais Richard Nixon alilazimika kujiuzulu kwasababu alidukua makao makuu ya timu ya kampeni ya mpinzani wake.
..Ni bahati mbaya kwamba kuna baadhi yetu mnaamini kwamba serikali ina ruhusa ya kudukua wananchi.
"While the data purchased from data brokers does not involve the content of Americans’ communications, Nakasone wrote, the data is “related to wholly domestic internet communications and internet communications where one side of the communication” is located inside the United States and the other side is located abroad.
Nakasone added that the NSA does not purchase cellphone location data of Americans or location data generated by automotive infotainment systems in the United States.
In a statement to CNN, the NSA affirmed that it buys the data from private vendors.
“NSA purchases commercially available Netflow data for its cybersecurity mission, to include but not limited to inform the Agency’s collection, analysis, and dissemination of cyber threat intelligence,” an NSA official said. “At all stages, NSA takes steps to minimize the collection of U.S. person information, to include application of technical filters.”
The NSA uses the commercially purchased data to support its cybersecurity and foreign intelligence missions, according to Nakasone’s letter and the NSA official. The NSA’s mission includes defending US military networks from foreign hacking."
Umeelewa??? Wapi wamesema wana haki ya kudukua?
Mpaka kina mzee Makamba waliduliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikiwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Mpaka kina mzee Makamba walidukuliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikuwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.