Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
"Oya mwanangu mbona unanipunja? Jaza msosi huo uwe wa kushiba kabisa" [emoji23][emoji23]Huku kwetu hakuna hizo habari kabisa... "" Chipsi niwekee kidogo """ alaaah [emoji23][emoji23][emoji23]
Muuzaji""Niweke kila kitu"""Oya mwanangu mbona unanipunja? Jaza msosi huo uwe wa kushiba kabisa" [emoji23][emoji23]
Noma sana!Mkate ninakutengenezea salad ya mahindi yaliyochemshwa, mayai yaliyochemshwa, mayonaise, mustard. Utajilamba.
Huko ndio pazuri, kuna chips tamu sana kikubwa wasinijazie sana nitashindwa kumalizaMuuzaji""Niweke kila kitu""
Mimi "" we weka kila kitu mpaka majivu"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea nini.... Wee na udactari wako huo huku kwetu utopaweza
Ukuje huku patakufaa sana...Huko ndio pazuri, kuna chips tamu sana kikubwa wasinijazie sana nitashindwa kumaliza
Boom linaisha pasipo julikana...B
Boom likiwa limekata sio,vipi RB bado ni buku?
Bongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Tena ni mlo rasmi kabisa
Ujuaji haukusaidiiMikate na Chapati zina tofauti gani? Mihogo na Magimbi nini tofauti?
Pale Dubai kuna mgahawa wanauza vyakula vya kiafrika unakuta vimepangwa buffet unajisevia tu.... kuna vyakula niliona watu wanakwepa nikaambiwa ni vya nchi za Afrika Magharibi.. yaani makabeji yamechanganywa mimaji kama yote.South Africa wanachakula chao wanakiita MPOKOTO.. ibaki kusema bongo kuna vyakula vingi na vizur sanaa exp mihogo ya koko
Huyo mtu atakayekula hii mixer lengo lake ni kuhara.Mkate ninakutengenezea salad ya mahindi yaliyochemshwa, mayai yaliyochemshwa, mayonaise, mustard. Utajilamba.
Niko PM yako mamaMkate ninakutengenezea salad ya mahindi yaliyochemshwa, mayai yaliyochemshwa, mayonaise, mustard. Utajilamba.
Deep fried food sio mchongo...tunakula tu sababu ya utamu.Niliwahi fika hospital ya Ikonda iliyopo Makete. Wao wanavipaza sauti kwa maana ya kutolea elimu ya Afya. Kilichoniduwaza ni pale walipokuwa wanashauri suala la lishe na kuhimiza vyakula vifuatavyo ni chakula taka. 1. Mandazi 2.chapati 3. Vitumbua. Na vinginivyo vya ngano vya kukaanga mnavyovijua. Kuanzia pale Huwa nakula kwa nadra sana hivyo vitu
Nakumbuka boom likikata nilikua naenda zangu kariakoo nachukua mkate huyo hall 5 kuchemsha chai TUONANE ASUBUHIB
Boom likiwa limekata sio,vipi RB bado ni buku?