Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Pendaneni, Mpende jirani yako kama NAFSI YAKO...

Kule ukifa ukiwa unaipambania dini wewe ni PEPO MOJA KWA MOJA..

Wapi na lini ulisikia Aliyejitoa Mhanga ni Mkristo??

Kule ukijitoa Mhanga unapata Swawabu
Majinga
 
Somalia kuna mafuta? Hamas walipomuuwa Joshua huku wakimtaja Allah walikuwa wanapigania mafuta?
 
Mauwaji au vita vinaweza kutokea popote na kwa sababu mbali mbali. Ukiona mahali Kuna ugaidi au chokochoko zinashamiri basi marekani yuko nyuma ya pazia.
Hebu piga tochi yako Congo, Sudani kusini, Rwanda walivyo nyongana, Burundi, Uganda na lord resistance army, Ireland ilivyokua kati ya wakatoliki na waprotestant, Huko Amerika ya kusini ambako wengi katoliki ni mauwaji ya ajabu kwa magurupu na serikali , Angalia Haiti ni kama laana n.k
 

Achana na hizo data za ku justify uvamizi wa kina Obama nchini Libya. Jali ya Libya ni mbaya. Nchi ambayo ilikuwa mfano wa kuigwa MENA, sasa limekuwa pango la wanyang'anyi. Kila mtaa una serikali yake. Umekuwa ushiroba wa kwenda ulaya kwa wahamiaji haramu kutoka duniani kote.
 
Tusaidie kwa nn Finland na Norway na Denmark na Sweden hakuna ujinga kama wa middle east watu kifanya upumbavu huku wanamtaja Allah ( "Allahu akbar")
 

Shida hawajui methodology na kpi zilizotumika kuchambua hizo takwimu
 
Umejibu nini sasa!? Kama una uelewa mpana zaidi ya mleta mada ungeandika hapa ila kwa ulichoandika ni kama umetuonesha kiwango chako cha ujinga.
Wewe na wapuuzi wenzio mmeanza kuchangia bila hata kumkosoa mleta mada kwa utumbo aliouandika coz ukiitoa vatican hizo zote sio nchi za kikristo.
 

Kwa hiyo kwa mtazamo wako gdp ni mbingu na nchi na par capita income!?
 
Kwahiyo wewe Dunia nzima umeiona somalia na Comoro 😂😂. Huoni aibubona hizo nyingine umekwepa kuzitaja?
 
Ili nchi iwe ya kikristo inabidi iwe inatumia bibilia kama muongozo wa kila kitu.

Kwa mfano mtu akiua au akiiba au akibaka hukumu inatolewa kutoka kwenye bibilia na hakimu aoakuwa askofu je ukienda uingereza au denmark ukifanya kosa utahukumiwa kwa kutumia bibilia?
 
Hizo nchi za ulaya si za kikristo lkn Zina wafuasi wachache wakristo, na wengi wasiamini uwepo wa Mungu(ATHEIST), kiuhalisia ni nchi ambazo zinazoongoza kwa watu wasiofuata wala kuamini dini yoyote,

Nchi nyingi za ulaya hazina dini, kilichowafanya muamini ni watu wa dini fulan sababu kuu ni effects za utawala wa roma na hilo kanisa la Roma ambalo nalo liligawika na kuunda vijikanisa vidogo kama ulutheri, usabato na TAKATAKA zingine.

pia sababu nyingine ni kuwa ktk Sheria zao dini ya ukristo haipigwi vita sababu haina itikadi za hovyo za kulazimishana kuamini mambo fulan kama ilivyo dini ya uislam ambayo waumini wake Wana mihemko ya kuwahukumu wasiofuata taratibu za dini,

Sababu kuu ya kufanikiwa kucontrol itikadi Kali za kidini imesababishwa na elimu+Sheria za utu na uhuru wa mtu kuamini anachokipenda, tofauti na nchi ambazo mpaka Leo hii zinatumia Sheria za kitabu kilichoandikwa na wajinga wa mamia ya miaka iliyopita huku suala la UTU+UHURU wa mtu ukipigwa vita, kwa namna hii mifarakano, kusalitiana na kupigana kisa tofauti za misimamo ya kidini hakuwezi kuisha.
 
Hahahah, Sasa hivi huwasikii wakisema wanakufa wanawake na watoto kwa sababu GAIDI anaua GAIDI, ni Shia na Suni.
Israel na Marekani wanalipua maghala ya silaha tu wala hawaui watu Syria.

Kwa Mtoro Kimya, Mtambani Kimya, Bakwata kimya , Shura ya Maimamu kimyaaaa. Sasa hivi wwaomba Marekani na Europe waingilia kuleta AMANI nchini SYRIA.

Hakuna cha UAE, walala Muslim anaweza kuwasaidia wa Syria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…