Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

Screenshot_20221117-102606_Twitter.jpg


Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Takwimu zake kazitoa wapi au anafanya uzushi usio na msingi?

Aweke takwimu kutoka BoT na Wizara sio kutunga ujinga ujinga..

Pili kwani kukopa Kuna shida ipi ikiwa zinakopwa na kurudishwa? Huko Mtaani kwenu hakuna taasisi za kukopesha?

Mwisho takwimu sahihi Hadi awamu ya 5 ni hizi hapa 👇
 

Attachments

  • 2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
    2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
    28.2 KB · Views: 8
Takwimu zake kazitoa wapi au anafanya uzushi usio na msingi?

Aweke takwimu kutoka BoT na Wizara sio kutunga ujinga ujinga..

Pili kwani kukopa Kuna shida ipi ikiwa zinakopwa na kurudishwa? Huko Mtaani kwenu hakuna taasisi za kukopesha?

Mwisho takwimu sahihi Hadi awamu ya 5 ni hizi hapa 👇
Kwa hiyo kadanganya sio? Mama yenu akipihwa kwenye mshono mnapiga kelele wote! Hiyo hajui hata afanyalo anakopa kama mwendawazimu!
Walisema sana kuwa JPM anakopa sasa Samia hamtakiaambiwe ukweli! Anakopa huku hakuna la maana analofanya ulishajiuliza kwa mini mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu imekuwa adimu kama nyeti za kuku!
 
Kwa hiyo kadanganya sio? Mama yenu akipihwa kwenye mshono mnapiga kelele wote! Hiyo hajui hata afanyalo anakopa kama mwendawazimu!
Walisema sana kuwa JPM anakopa sasa Samia hamtakiaambiwe ukweli! Anakopa huku hakuna la maana analofanya ulishajiuliza kwa mini mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu imekuwa adimu kama nyeti za kuku!
Kadanganya ndio aweke takwimu rasmi sio uzushi..

Afu shida sio kukopa na Wala kukopa hakujawahi kuwa tatizo na Rais Mwenyewe alitangaza hadharani atakopa kukamilisha miradi so Hakuna hoja hapo.
 
Mpaka kufikia 2025 kutakuwa na mikopo ya trilioni 50.
Pole Sana Hadi sasa Tanzania Ina mikopo ya Til.80 Kama ulikuwa hujui..

Mkopo unapimwa against GDP so kwa Kipimo hicho tuna GDP ya Dola Bil.72 sawa na Til.144 hivi so bado Yuko nyuma ya redline.
 
Kadanganya ndio aweke takwimu rasmi sio uzushi..

Afu shida sio kukopa na Wala kukopa hakujawahi kuwa tatizo na Rais Mwenyewe alitangaza hadharani atakopa kukamilisha miradi so Hakuna hoja hapo.
Sasa nikuulize anakopa nafanya nini cha maana! Anakopa akina na Makamba na Team msoga wanazila na kuzigawana kwa walamba asali!
Kukopa ukope na ufanyeambo ya kuonekana sio blahbhal za madarasa feki ya UVICO!
Na saizi ukienda kuyatazama hayo madarasa feki yana mashimo ya kutosha na kuta zake zimechururuka hazina hadhi!
 
Back
Top Bottom