Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
CC: MOTOCHINI, jingalao, @Ruttashobolwa, Lizaboni, TataMadiba, Ritz, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, Stroke imhotep Magonjwa Mtambuka Mgambilwa ni mntu Musiba
 
Wajanja wanazila kwa urefu wa kamba zao, maana go ahead ilishatoka...
 
Rais hakopi Bali Nchi ndio inakopa so hakunaga kumuwajibisha yeye binafsi maana sio Pesa za kibinafsi hizo..

Mingi ya Mikopo iliyopokelewa awamu ya 6 process zake zilianza Miaka mingi kwa mfano mikopo ya Dom airport,sgr,miradi ya maji nk

Serikali inachofanya Ni Kutaka wallioahidi kuitoa na wao pia kutafuta mikopo mipya ndio maana utasikia wanasema mkopo fulani utatolewa kwa miezi 36 nk ..

Mfano mwaka huu Serikali ilipata mkopok wa Til.1 kutoka India kwa ajili ya maji miji 28 ,wahindi waliahidi toka 2017 so sio kila mkopo Basi Ni mkopo mpya..
Unasema Rais hakopi ila Nchi ndo inakopa,

Ok, mikopo ya nchi na Serikali hupitishwa na Bunge, Iweje Serikali ikope Trilioni 15 zaidi ya kiasi kilichopitishwa na bunge Trilioni 10?

Hapo Nchi imekopa vp!!!!

Viongozi wanatumia mamlaka vibaya.
 
Unasema Rais hakopi ila Nchi ndo inakopa,

Ok, mikopo ya nchi na Serikali hupitishwa na Bunge, Iweje Serikali ikope Trilioni 15 zaidi ya kiasi kilichopitishwa na bunge Trilioni 10?

Hapo Nchi imekopa vp!!!!

Viongozi wanatumia mamlaka vibaya.
Waziri wa fedha yupo aulizwe
 
Haiondoi ukweli kwamba wewe Nia huyo unaemtetea na waliowazaa wote Ni wapumbavu tuu.
Ngoja tufanye mfano wa mkuki kwa nguruwe

Mama yako ni malayah anayefirwah kule sinza makaburini, na baba yako ni LGBT rainbow follower mzuri sana huko nyuma kwakekuna nuka sana kwa sasa..
 
Yule Mgogo Alirudisha Akili Akaongea Kwa kuona Mbali sana. Mimi sipingi kukopa, lakini unakopa kuweka kwenye Mifuko iliyotoboka?

Unaenda kukopea Mijizi Ambayo inachukua hizo ela kwa kutengeneza Miradi hewa?

Mimi nadhani Mama Anaanza kumwelewa mtangulizi wake kwanini Alikua Mkali. Nchi hii inatakiwa iongozwe na Kichaa na sio MTU mpole Ukileta upole kwenye samba LA mahindi ngedere wanamaliza mahindi [emoji114]
Mlipo ambiwa inchi itapigwa mnada mlidhani yule mgogo kakosea. Mkashangilia alivyonyaang'anywa kitumbua. Na bado mtajua hamjui.

Mimi nina mpango wa kuhamia Burundi kama tulivyoshauriwa
 
Yule Mgogo Alirudisha Akili Akaongea Kwa kuona Mbali sana. Mimi sipingi kukopa, lakini unakopa kuweka kwenye Mifuko iliyotoboka?

Unaenda kukopea Mijizi Ambayo inachukua hizo ela kwa kutengeneza Miradi hewa?

Mimi nadhani Mama Anaanza kumwelewa mtangulizi wake kwanini Alikua Mkali. Nchi hii inatakiwa iongozwe na Kichaa na sio MTU mpole Ukileta upole kwenye samba LA mahindi ngedere wanamaliza mahindi [emoji114]
Mama anaelewa ila uwoga umemjaa. Anaogopa kupigwa chini, hivyo ameamua kuachia kima walinde Shamba la mahindi.

Ni kweli kama ulivyosema hatukatai kukopa; Cha muhimu pesa zionekane zinafanya Nini, jambo ambalo ni gumu awamu hii.

Chakusikitisha hata wapinzani wamewekwa mfukoni.
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Ndipo apo ila Watanzania wakielimishwa wanakaza mafuvu ooh anaupiga mwingi dadeki
 
Mama anaelewa ila uwoga umemjaa. Anaogopa kupigwa chini, hivyo ameamua kuachia kima walinde Shamba la mahindi.

Ni kweli kama ulivyosema hatukatai kukopa; Cha muhimu pesa zionekane zinafanya Nini, jambo ambalo ni gumu awamu hii.

Chakusikitisha hata wapinzani wamewekwa mfukoni.
Ela nyingi znapigwa na wahuni wa system
 
Muda si mrefu kitawaka huku mtaani hali imekuwa ngumu jua kali bidhaa ghali kiujumla maisha ni magumu mno.
 
Ela nyingi znapigwa na wahuni wa system
Sasa hivi kuna mpya kuwa wafanyabiashara walioporwa pesa zao awamu ya 5 wanatusiahiwa. Watanzania tuamke tukifa hata milioni lakini tuokoe hili taifa. Wahuni sasa hivi wanakuja na mbinu za kupiga pesa.
 
Sasa hivi kuna mpya kuwa wafanyabiashara walioporwa pesa zao awamu ya 5 wanatusiahiwa. Watanzania tuamke tukifa hata milioni lakini tuokoe hili taifa. Wahuni sasa hivi wanakuja na mbinu za kupiga pesa.
Ilo nalo litapita tu coz ata walioondolewa kwa vyeti fake wamelipwa Ela na wengine wamerudi kweny mifumo ,kwahy hao wafanyabiashar hewa lazma wapige pesa za wanyonge
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Halafu ninyi wanasiasa uchwara mnajifanya mmepungwe na mapepo ya kutoona hasara hizo mkisingizia kwamba ni bora sasa hivi hamtekwi wala kuhukumiwa kifo kumbe kwa sasa ndio utekaji na uuaji ndio umekithiri kwa kupoka rasilimali za nchi na wana wananchi wanatishwa kutohoji chochote lakini bado mnasifiwa ubatili
 
Kuna nyuzi zingine hata kutoa like naogopa.

Ila inahuzunisha sn.

RIP MAGUFULI,,,,sleep well baba.
 
Back
Top Bottom