Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Wewe ungefanyaje? Unakuta miradi ya matrilioni haijakamilika na hela hakuna? Je, aendeleze utaratibu wa mtangulizi wake kukusanya hela kibabe kupitia task force? Arudishe tozo zilivyokuwa awali? MAMA SAMIA kama kuna ulazima wa kukopa nakuunga mkono kopa kwa maslahi ya watanzania.
Ww unaamimi pesa za hiyo mirad hazikuwepo .Mbona kuna Miradi ilikuwa kwemye ajili 80 mingine 42 mingime 98 mwaka miaka mawili sasa lakini ipo vile vile unakopa pesa unashjndwa kuzisimamia wajanja wanakuzunguka wanazitafuna unhitaji miujiza gani
 
Kwa hiyo kadanganya sio? Mama yenu akipihwa kwenye mshono mnapiga kelele wote! Hiyo hajui hata afanyalo anakopa kama mwendawazimu!
Walisema sana kuwa JPM anakopa sasa Samia hamtakiaambiwe ukweli! Anakopa huku hakuna la maana analofanya ulishajiuliza kwa mini mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu imekuwa adimu kama nyeti za kuku!
Mkuu wewe sema hakuna analofanya ukiwa unaishi jijini upo ndani ya nyumba na mbele yako ipo laptop.

Zunguka huko bara uone ukarabati wa bandari unaoendelea, tazama ujenzi wa shule nyingi unavyoendelea. Ukarabati wa viwanja vya ndege unaoendelea.

Ukiwa umejifungia nyumbani kwako huwezi kuyaona yanayotumia hizo pesa zinazotafutwa huko nje.
 
Why do you hesitate to take the opportunity if you have somewhere worth investing? Invest today to reap the profit now them later. Kukopa sii tatizo tatizo ni kama kipato chetu hakitahimili kulipa madeni yenyewe. I hope our economists are controlling everything.
 
Mmmhh hizi data za kweli? Mbona hakuna breakdown, yaani miezi 18 tukope tshs 20.2 trillions? Sio kweli aisee, labda nione breakdown au tucheki deni la Taifa sasa hivi ni kiasi gani na JPM aliacha kiasi gani..!!

Ila kukopa sio issue, issue huo mkopo tume invest kisawa sawa? Kama itasimamiwa vizuri miradi ya SGR, JNHPP, Irrigation farming schemes kubwa, kudhibiti rushwa, kuwapa elimu bora wanachi, kuacha mikataba mibovu kwa nchi yetu, hakika tunatoka kiuchumi
 
Ukiona Taifa lenye kila resources halafu linakopa hivyo ujue kuna serious problems kwenye maeneo mawili makubwa. 1.Taifa halina maono (Strategic planning) 2.Viongozi wake ni maskini wa fikra au vipofu.
"Aliye na kitu atapewa na kuongezewa Tele, ila asiye na kitu atanyang'anywa hata kile anachodhaniwa kuwa nacho".
Unapoipa siasa kipaumbele na hadhi kubwa kuliko taaluma haya lazima yatokee
 
Haiondoi ukweli kwamba wewe Ni huyo unaemtetea na waliowazaa Ni wapumbavu
Ngoja tufanye mfano wa mkuki kwa nguruwe

Mama yako ni malayah anayefirwah kule sinza makaburini, na baba yako ni LGBT rainbow follower mzuri sana huko nyuma kwakekuna nuka sana kwa sasa..
 
Unaweza mlipa mtu ambae hakudai? Kama ndivyo mbona Mpina asilete hoja Bungeni ijadiliwe badala yake anaongea maneno ya kijinga jinga tuu Kama Yale ya Upuuzi wa makinikia?
Mpina ni ccm mwenzako, na tena yeye anafahamika kuwa yeye ni mbunge wa ccm, wewe ndo hufahamiki ccm ispokuwa Kwa jina la chawa wa mama
 
Swala la kukopa ilikujenga madarasa sio kweli raw materials zote ziko bongo kuanzia mchanga matofali hadi mabati tunayo labda kama tunajenga magorofa
 
vipofu huwa hawaoni ,mnataka muone maendeleo gani ?miradi mikubwa inajengwa nchi nzima .hakuna halmashauri ambayo miradi ya maendeleo haijengwi katika awamu hii, naona mmekazania umeme na maji ,ni awamu ya tano na hii ya sita ndio imejitahidi kusambaza miundombinu ya umeme kila kijiji tangu tupate uhuru. hata maji awesu anapambana sana shida yenu hamuelewi hata takwimu zinasemanini ,maendeleo ni vitu mtambuka sio umeme na maji tu !umeme na maji ni dharula ya kimazingira na sio uzembe !
 
vipofu huwa hawaoni ,mnataka muone maendeleo gani ?miradi mikubwa inajengwa nchi nzima .hakuna halmashauri ambayo miradi ya maendeleo haijengwi katika awamu hii, naona mmekazania umeme na maji ,ni awamu ya tano na hii ya sita ndio imejitahidi kusambaza miundombinu ya umeme kila kijiji tangu tupate uhuru. hata maji awesu anapambana sana shida yenu hamuelewi hata takwimu zinasemanini ,maendeleo ni vitu mtambuka sio umeme na maji tu !umeme na maji ni dharula ya kimazingira na sio uzembe !
Tupe mfano wa hiyo miradi
 
Back
Top Bottom