Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unaamimi pesa za hiyo mirad hazikuwepo .Mbona kuna Miradi ilikuwa kwemye ajili 80 mingine 42 mingime 98 mwaka miaka mawili sasa lakini ipo vile vile unakopa pesa unashjndwa kuzisimamia wajanja wanakuzunguka wanazitafuna unhitaji miujiza ganiWewe ungefanyaje? Unakuta miradi ya matrilioni haijakamilika na hela hakuna? Je, aendeleze utaratibu wa mtangulizi wake kukusanya hela kibabe kupitia task force? Arudishe tozo zilivyokuwa awali? MAMA SAMIA kama kuna ulazima wa kukopa nakuunga mkono kopa kwa maslahi ya watanzania.
Mother is beating a lot.
Mkuu wewe sema hakuna analofanya ukiwa unaishi jijini upo ndani ya nyumba na mbele yako ipo laptop.Kwa hiyo kadanganya sio? Mama yenu akipihwa kwenye mshono mnapiga kelele wote! Hiyo hajui hata afanyalo anakopa kama mwendawazimu!
Walisema sana kuwa JPM anakopa sasa Samia hamtakiaambiwe ukweli! Anakopa huku hakuna la maana analofanya ulishajiuliza kwa mini mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu imekuwa adimu kama nyeti za kuku!
Unapoipa siasa kipaumbele na hadhi kubwa kuliko taaluma haya lazima yatokeeUkiona Taifa lenye kila resources halafu linakopa hivyo ujue kuna serious problems kwenye maeneo mawili makubwa. 1.Taifa halina maono (Strategic planning) 2.Viongozi wake ni maskini wa fikra au vipofu.
"Aliye na kitu atapewa na kuongezewa Tele, ila asiye na kitu atanyang'anywa hata kile anachodhaniwa kuwa nacho".
Imagine. 1 Trillion kwa mwezi.Kama ni kweli basi tuko mahali pabaya sana sana!
Unatukana wazazi kisa ccm , hongera sanaMpumbavu mama yako na huyo nikiyekuwa na mjibu..
So Til.70 vs til.145 Ni Nini hiyo economically?
Mzazi wake unayemtukana amefanya nini, wewe ulikua unabishana na yeye kisa siasa uchwara, unamtukania mzaz wake sababu gani, na una uhakika gani kwamba mzaz wake ni hilo tusi ulilotukanaMzazi mpumbavu anakusaidia Nini wewe?
Ngoja tufanye mfano wa mkuki kwa nguruweMzazi mpumbavu anakusaidia Nini wewe?
300b zimelipwa kinyemela kampuni ya kufua umeme iliyomaliza muda wake, 1.5t, zimepotelea kwenye kampuni ya warabu pale JKHPTuoneshe zilipoliwa kabla sijakujibu zinakoenda.
Ngoja tufanye mfano wa mkuki kwa nguruweHaiondoi ukweli kwamba wewe Ni huyo unaemtetea na waliowazaa Ni wapumbavu
Unaweza mlipa mtu ambae hakudai? Kama ndivyo mbona Mpina asilete hoja Bungeni ijadiliwe badala yake anaongea maneno ya kijinga jinga tuu Kama Yale ya Upuuzi wa makinikia?300b zimelipwa kinyemela kampuni ya kufua umeme iliyomaliza muda wake
Mpina ni ccm mwenzako, na tena yeye anafahamika kuwa yeye ni mbunge wa ccm, wewe ndo hufahamiki ccm ispokuwa Kwa jina la chawa wa mamaUnaweza mlipa mtu ambae hakudai? Kama ndivyo mbona Mpina asilete hoja Bungeni ijadiliwe badala yake anaongea maneno ya kijinga jinga tuu Kama Yale ya Upuuzi wa makinikia?
Uwe basi unasikiliza hata bunge uone uozo!Uzushi mtupu!
Juu ni tabra rasa upstairs ukishukwa kwa maderu ndo empty kabisa upstairs hamna kitu. Siku walijianika eti wanakopa kulipa madeni . Bagosha.Mwigulu unamuonea tu!
Shida iko pale juu
Tupe mfano wa hiyo miradivipofu huwa hawaoni ,mnataka muone maendeleo gani ?miradi mikubwa inajengwa nchi nzima .hakuna halmashauri ambayo miradi ya maendeleo haijengwi katika awamu hii, naona mmekazania umeme na maji ,ni awamu ya tano na hii ya sita ndio imejitahidi kusambaza miundombinu ya umeme kila kijiji tangu tupate uhuru. hata maji awesu anapambana sana shida yenu hamuelewi hata takwimu zinasemanini ,maendeleo ni vitu mtambuka sio umeme na maji tu !umeme na maji ni dharula ya kimazingira na sio uzembe !