Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi hapa 👇Hizi zako ulizoweka zina evidence gani? Zinatoka BOT? Mbona hatuoni webpage ya bot hapa?
We nae una unyafuzi sana
Noma sana !Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Baki na ujinga wakoUzushi mtupu!
Pesa zinajenga petrol stations, singida big stars, zanzibar nk. Nyingine zinategemea urefu wa kamba za walajiMartin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Anamalizia Miradi ya jpm kwa variation ya 30% .halafu Honey burger wanakuja huku kusema mama anaupigia mwingiMartin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Mama anakopo kama ana akili nzuri hivi wanaomsifia Hawaoni aibu .wakishaakopa wanagawana kihunihuni na kuja kujenga petrol station kila sehemuSiyo wewe ulikuwa unabinuka binuka humu kwamba Magufuli ameifilisi nchi kwa mikopo na mama anaupiga mwingi?
Na bado hadi 2025 mtachanganyikiwa kabisa mavi nyie
Kazi iko safari. Lucas mwashamba anajua hili?Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Alikopea vitu vya maana sasa raisi gani anakopa kwa ajili ya kujenga madarasaUsiwe taahira!
Umembiwa mama yako huyu kwa mwaka 1 na miezi 6 kakopa til. 20 huku mwenzie hela kama hiyo alikopa ndani ya miaka 6 bila kuweka matozo na makodi ya ajabu,
Bila mafuta kupanda wala bidhaa muhimu kupanda.
Umekopa halafu Mbona hela hazionekani au mnagawana huko ikuluKukopa Kama kichwa Cha Mwendawazimu ndio kukopaje huko?
Inakopa bila kulipa? Kama hukopesheki Nani atakukopesha? Kuna shida kukopa?
Zionekane kwani zinagawiwa kwa watu? Ziko kwenye miradiUmekopa halafu Mbona hela hazionekani au mnagawana huko ikulu
Hehehee wacha wakope pess z kampbeni 2025 ni patashikaMartin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Wanakopa huku wakiwa wanadaiwa.Umekopa halafu Mbona hela hazionekani au mnagawana huko ikulu
Speed ya lightKama ni kweli hii speed ni ya mwendokasi wa hatari
Pole Sana Hadi sasa Tanzania Ina mikopo ya Til.80 Kama ulikuwa hujui..
Mkopo unapimwa against GDP so kwa Kipimo hicho tuna GDP ya Dola Bil.72 sawa na Til.144 hivi so bado Yuko nyuma ya redline.
Til.100Inatakiwa tufikie deni la kiasi against GDP ndio tuwe katika katika line??
Watumishi kupandishwa mishahara na madaraja,kumalizia miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na mwendazake,mikopo Kwa wanafunzi wa elimu ya juu na shughuli zote za kiserikali pia tukumbuke tozo tunalalama pesa za maendeleo tunatoa wapi?Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!