Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Kwa bimdashi tumelazwa darini na viatu wallah. Ngoja waneemeke walio karibu yake, ndivyo nchi masikini zilivyo.
 
Hizi zako ulizoweka zina evidence gani? Zinatoka BOT? Mbona hatuoni webpage ya bot hapa?

We nae una unyafuzi sana
Hizi hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221117-123433.png
    Screenshot_20221117-123433.png
    126.9 KB · Views: 3
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Noma sana !
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Pesa zinajenga petrol stations, singida big stars, zanzibar nk. Nyingine zinategemea urefu wa kamba za walaji
 
Bandali ya bagamoyo peke yake itazaa ideni tilion 25 mpaka 2030 mama atakuwa na den 50 tilion
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Anamalizia Miradi ya jpm kwa variation ya 30% .halafu Honey burger wanakuja huku kusema mama anaupigia mwingi
 
Siyo wewe ulikuwa unabinuka binuka humu kwamba Magufuli ameifilisi nchi kwa mikopo na mama anaupiga mwingi?

Na bado hadi 2025 mtachanganyikiwa kabisa mavi nyie
Mama anakopo kama ana akili nzuri hivi wanaomsifia Hawaoni aibu .wakishaakopa wanagawana kihunihuni na kuja kujenga petrol station kila sehemu
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Kazi iko safari. Lucas mwashamba anajua hili?
 
Usiwe taahira!

Umembiwa mama yako huyu kwa mwaka 1 na miezi 6 kakopa til. 20 huku mwenzie hela kama hiyo alikopa ndani ya miaka 6 bila kuweka matozo na makodi ya ajabu,

Bila mafuta kupanda wala bidhaa muhimu kupanda.
Alikopea vitu vya maana sasa raisi gani anakopa kwa ajili ya kujenga madarasa
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Hehehee wacha wakope pess z kampbeni 2025 ni patashika
 
Inatakiwa tufikie deni la kiasi against GDP ndio tuwe katika katika line??
Pole Sana Hadi sasa Tanzania Ina mikopo ya Til.80 Kama ulikuwa hujui..

Mkopo unapimwa against GDP so kwa Kipimo hicho tuna GDP ya Dola Bil.72 sawa na Til.144 hivi so bado Yuko nyuma ya redline.
 
Tukope pesa kwa maendeleo ya Taifa, tusiogope madeni watanzania, usipodaiwa basi ujue una matatizo.
CCM oyeeee.
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Watumishi kupandishwa mishahara na madaraja,kumalizia miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na mwendazake,mikopo Kwa wanafunzi wa elimu ya juu na shughuli zote za kiserikali pia tukumbuke tozo tunalalama pesa za maendeleo tunatoa wapi?
Na kama huna uwezo wa kulipa huwezi kukopesheka ukiona tunakopeshwa jua tunaweza kulipa.(Tusisahau China imetusamehe madeni pia mwaka huu)
 
Back
Top Bottom