Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

"Tutembeze bakuli ndio heshima, tukishakopa tunapiga makofi, sisi wa kukopa kila siku. Tukasema pitisha tozo anayetaka asiye taka pitisha tozo, lazima tuanze kujenga wenyewe, nani atatufanyia, yuko wapi huyo mjomba, tukapitisha"
Taja Nchi isiyokopa ili nifunge account humu jf
 
Mlikotoa hizo taarifa ndiko katoeni na za riba ,acha ufala kima jike wewe.
Utapanic sana na bado!

Leta takwimu hapa tuone kama kweli hilo deni la mamko ni pamoja na riba za Magufuli!

Vinginevyo endelea kuwaramba mat. Akle hao vi9ngzoi wako wabovu
 
"Tutembeze bakuli ndio heshima, tukishakopa tunapiga makofi, sisi wa kukopa kila siku. Tukasema pitisha tozo anayetaka asiye taka pitisha tozo, lazima tuanze kujenga wenyewe, nani atatufanyia, yuko wapi huyo mjomba, tukapitisha"
Alafu tunakopa na huku tunaongeza matozo!

Hawa watu hovyo kabisa
 
Utapanic sana na bado!

Leta takwimu hapa tuone kama kweli hilo deni la mamko ni pamoja na riba za Magufuli!

Vinginevyo endelea kuwaramba mat. Akle hao vi9ngzoi wako wabovu
Wewe fala nipanic kwa ajili ya Nini hasa? Naongea kitu ambacho Nina ushahidi nacho..

Soma haya maelezo ya serikali hapa chini kuhusu kuongezeka kwa Deni ujione ulivyo dishi👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221117-123433.png
    Screenshot_20221117-123433.png
    126.9 KB · Views: 2
Wewe fala nipanic kwa ajili ya Nini hasa? Naongea kitu ambacho Nina ushahidi nacho..

Soma haya maelezo ya serikali hapa chini kuhusu kuongezeka kwa Deni ujione ulivyo dishi[emoji116]
Wewe ni pumbavu!

Tunaongelea habari ya nani kakopa nini na kwa wakati gani,

Kwa hiyo hii ngonjera yako uliyoweka hapa inafanya Samia awe hajakopa til 20?

Kwa mtazamo wako basi Magufuli nae hilo deni lake ni pamoja na la mkapa pamoja na Kikwete?

Mbirikimo wa akili we!
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Siziamini hizi hesabu.

Deni la zaidi ya Trln 70 limetoka wapi sasa kama hesabu ndo hizo?
 
Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 “Mama Yuko Kazini Modern Taarab” mmekopa mifweza kupeleka wapi?"

View attachment 2419276

Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!

Aisee!
Nchi inaingizwa utumwani kinguvu,na hatuchmoi kwenye hayo madeni
 
Wewe ni pumbavu!

Tunaongelea habari ya nani kakopa nini na kwa wakati gani,

Kwa hiyo hii ngonjera yako uliyoweka hapa inafanya Samia awe hajakopa til 20?

Kwa mtazamo wako basi Magufuli nae hilo deni lake ni pamoja na la mkapa pamoja na Kikwete?

Mbirikimo wa akili we!
Ndio ynakwambia wewe msukule uliondolewa akili kwa kuehikishwa ukuta na Mwendazake..

Narudia kukuambia swala la ukubwa wa Deni halitokani na mikopo mipya tuu Bali riba zikizoiva za mikopo ya zamani hasa ya yule taahira Mwendazake aliyekopa mikopo minginya kibiashara yenye riba kubwa ndio imekuza Sana Deni..

Swala la Nani kakopa kiasi gani kwa kipindi gani hakuna mchanganuo kutoka vyanzo rasmi.
 
Sasa nikuulize anakopa nafanya nini cha maana! Anakopa akina na Makamba na Team msoga wanazila na kuzigawana kwa walamba asali!
Kukopa ukope na ufanyeambo ya kuonekana sio blahbhal za madarasa feki ya UVICO!
Na saizi ukienda kuyatazama hayo madarasa feki yana mashimo ya kutosha na kuta zake zimechururuka hazina hadhi!

Yani uku mtaani kulikuwa na maneno ya chini chini kuwa bora raisi dictator na mwizi ila maendeleoya bla bla hamna

Kila mtu alikuw anaona tukiambiwa kituo cha mabasi tutajenga tumekiona

Tukiambiwa daraja la Ubungo tutajenga
Tumeona

Wakazi wa Dar kama kuna hadha ya foleni basi ubungo.

Thanks kwa muenda zake anakupa ela alafu anazifatilia

Leo wakui wamikoa na wabunge kazi kuna nadi tu wamepew pesa.
 
Ndio ynakwambia wewe msukule uliondolewa akili kwa kuehikishwa ukuta na Mwendazake..

Narudia kukuambia swala la ukubwa wa Deni halitokani na mikopo mipya tuu Bali riba zikizoiva za mikopo ya zamani hasa ya yule taahira Mwendazake aliyekopa mikopo minginya kibiashara yenye riba kubwa ndio imekuza Sana Deni..

Swala la Nani kakopa kiasi gani kwa kipindi gani hakuna mchanganuo kutoka vyanzo rasmi.
Huyu mamako hamna kitu kabisa!

Yeye akisikia tu kuna hela huku huyooo kiguu na njia kuzifuata.

Bora wenzake walikopa bila kuongeza matozo na makodi ya hovyo ambayo yameongeza mzigo kwa mwannachi..

Misukule yake mko humu mnashnagilia tu. Endelea tu mtaolewa wote wajinga nyie si mnapenda hela?
 
Huyu mamako hamna kitu kabisa!

Yeye akisikia tu kuna hela huku huyooo kiguu na njia kuzifuata.

Bora wenzake walikopa bila kuongeza matozo na makodi ya hovyo ambayo yameongeza mzigo kwa mwannachi..

Misukule yake mko humu mnashnagilia tu. Endelea tu mtaolewa wote wajinga nyie si mnapenda hela?
😆😆😆😆😆😆😆😆😆.

Huyu mamako hamna kitu baada ya Kukosa hoja..

Baba yako wa propaganda yalimshinda haya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221115-145046.png
    Screenshot_20221115-145046.png
    178.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221112-102208.png
    Screenshot_20221112-102208.png
    185.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221109-080306.png
    Screenshot_20221109-080306.png
    264.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221109-080136.png
    Screenshot_20221109-080136.png
    126.4 KB · Views: 3
Ukiona Taifa lenye kila resources halafu linakopa hivyo ujue kuna serious problems kwenye maeneo mawili makubwa. 1.Taifa halina maono (Strategic planning) 2.Viongozi wake ni maskini wa fikra au vipofu.
"Aliye na kitu atapewa na kuongezewa Tele, ila asiye na kitu atanyang'anywa hata kile anachodhaniwa kuwa nacho".
 
Ivi haya masharti nafuu ni yapi?
Hayo hatuambuwagii na mwandishi alimuuliza Mwigulu hilo swalii akajibu kwa mifano ilokuwa inatoa nje ya mada (sijui wazee zamani walipanda mbegu kwa kurusharusha tuu ila siku hizi kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yakupasa kuandaa shamba.......)
Ila alivyosema yeye pesa imetoka baada ya majadiliano na makubaliano

TUOMBE UZIMA
 
Takwimu zake kazitoa wapi au anafanya uzushi usio na msingi?

Aweke takwimu kutoka BoT na Wizara sio kutunga ujinga ujinga..

Pili kwani kukopa Kuna shida ipi ikiwa zinakopwa na kurudishwa? Huko Mtaani kwenu hakuna taasisi za kukopesha?

Mwisho takwimu sahihi Hadi awamu ya 5 ni hizi hapa [emoji116]

Hizi zako ulizoweka zina evidence gani? Zinatoka BOT? Mbona hatuoni webpage ya bot hapa?

We nae una unyafuzi sana
 
Back
Top Bottom