Nickson francis
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 700
- 1,306
Mbona mpaka sasa
ardhi ya Lebanon inakaliwa na Israel au hujui?Lakin ardhi yao hawajainajisi na hawawezi kuikalia bila ground offensive. Hivyo basi wao waendee kurushia mbali ila ardhi hawatachukua
