ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Hamas haina anti tank zenye nguvu kuasi hicho mkuu.Hio picha ni ya hamas kuaribu vifaru . Sio Hezbollah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas haina anti tank zenye nguvu kuasi hicho mkuu.Hio picha ni ya hamas kuaribu vifaru . Sio Hezbollah
Hamas hawana anti tank missiles .Hio picha ni ya hamas kuaribu vifaru . Sio Hezbollah
Hezbollah kweli wanaume ILA mbona wanakimbia hadi silaha zinaokotwa na IDF kwenye bunker???🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Hesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️
𝟰𝟬 𝗠𝗲𝗿𝗸𝗮𝘃𝗮 𝗧𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗗𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝗛𝗲𝘇𝗯𝗼𝗹𝗹𝗮𝗵…
Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.
𝗯𝗿𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝘁𝗼𝘁𝗮𝗹 𝘁𝗼 𝟰𝟬 𝘁𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗱𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗶𝗻 𝗷𝘂𝘀𝘁 𝟭 𝗺𝗼𝗻𝘁𝗵.
Wanatengeneza wenyewe hapo hapo Israel.𝗠𝗲𝗿𝗸𝗮𝘃𝗮 𝗧𝗮𝗻𝗸𝘀
Usiwe unalopoko tuu mkuu.Hamas haina anti tank zenye nguvu kuasi hicho mkuu.
Hamas haina anti tank zenye nguvu kuasi hicho mkuu.
Hawa ni wakipiga kama ngomaHawa magaidi wa Israel,madhali walimuua Yesu,na wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,watapata tabu sana,duniani na mbinguni.Yesu alikuja kuwakomboa,wakamuua.
Wanavyo hivyo vichwa vyakuchujia mambo bora hata chujio laweza chuja majamboLebanon haitoshi kuwa na kambi 150,ni nchi ndogo sana, tanzania nchi kubwa na sidhani kama ina kambi 150,muwe mnachuja mambo na kujua facts kidogo
Na hao magaidi waliokuwemo hapo ndani wanatengenezwa hapo hapo teli avivu au nyuu yokiWanatengeneza wenyewe hapo hapo Israel.
Uhai wa Mwanadamu ukishatoka haurudi ila so far hii Vita inakula kwa Mwarabu.43000+ na Lebanon ni karibia 4000.Na hao magaidi waliokuwemo hapo ndani wanatengenezwa hapo hapo teli avivu au nyuu yoki
Sasa hata hao waarabu uhai wao hautarudi wanaendeleza kutoa dozi kwa mzayuni mwiziUhai wa Mwanadamu ukishatoka haurudi ila so far hii Vita inakula kwa Mwarabu.43000+ na Lebanon ni karibia 4000.
Hi ndio stahiki yakoWanafyekwa tu na pampers zao
HakikaHi ndio stahiki yako
Hii Vita inakula kwa Mwarabu tokea leo Asubuhi Waarabu 200 wameuwawa.Sasa hata hao waarabu uhai wao hautarudi wanaendeleza kutoa dozi kwa mzayuni mwizi
Photo: Courtesy of Photoshop.🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Hesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️
𝟰𝟬 𝗠𝗲𝗿𝗸𝗮𝘃𝗮 𝗧𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗗𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝗛𝗲𝘇𝗯𝗼𝗹𝗹𝗮𝗵…
Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.
𝗯𝗿𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝘁𝗼𝘁𝗮𝗹 𝘁𝗼 𝟰𝟬 𝘁𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗱𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗶𝗻 𝗷𝘂𝘀𝘁 𝟭 𝗺𝗼𝗻𝘁𝗵.
hivi mpk watu wanafikia hivi vifaru na kuviangamiza washaua wayahudi wangapina ndani ya mwez mmoja viongozi 25(hezbolaa) ,kambi 150,wanamgambo 1500,kishney huko lebanon