Ndani ya mwezi mmoja Hezbollah imechakaza vifaru zaidi ya 40 vya Israel

Ndani ya mwezi mmoja Hezbollah imechakaza vifaru zaidi ya 40 vya Israel

🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Hesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️

𝟰𝟬 𝗠𝗲𝗿𝗸𝗮𝘃𝗮 𝗧𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗗𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝗛𝗲𝘇𝗯𝗼𝗹𝗹𝗮𝗵…

Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.

𝗯𝗿𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝘁𝗼𝘁𝗮𝗹 𝘁𝗼 𝟰𝟬 𝘁𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗱𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗶𝗻 𝗷𝘂𝘀𝘁 𝟭 𝗺𝗼𝗻𝘁𝗵.
Hezbollah kweli wanaume ILA mbona wanakimbia hadi silaha zinaokotwa na IDF kwenye bunker???
Naona IDF ndo wana nguvu ndio maana wamewafata hadi Lebanon.
 
Hamas haina anti tank zenye nguvu kuasi hicho mkuu.
Usiwe unalopoko tuu mkuu.
Hio picture ni tukio la October 7 mwaka Jana.
Screenshot_20241030-190710.png

Umeona eeeee
 
Na hao magaidi waliokuwemo hapo ndani wanatengenezwa hapo hapo teli avivu au nyuu yoki
Uhai wa Mwanadamu ukishatoka haurudi ila so far hii Vita inakula kwa Mwarabu.43000+ na Lebanon ni karibia 4000.
 
Uhai wa Mwanadamu ukishatoka haurudi ila so far hii Vita inakula kwa Mwarabu.43000+ na Lebanon ni karibia 4000.
Sasa hata hao waarabu uhai wao hautarudi wanaendeleza kutoa dozi kwa mzayuni mwizi
 
Sasa hata hao waarabu uhai wao hautarudi wanaendeleza kutoa dozi kwa mzayuni mwizi
Hii Vita inakula kwa Mwarabu tokea leo Asubuhi Waarabu 200 wameuwawa.

Na wakijifanya kushupaza shingo watakufa wengi kweli kweli.

Netanyahu kasema warudishe mateka wa Israel halafu waache vita waweke Silaha chini.
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Hesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️

𝟰𝟬 𝗠𝗲𝗿𝗸𝗮𝘃𝗮 𝗧𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗗𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝗛𝗲𝘇𝗯𝗼𝗹𝗹𝗮𝗵…

Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.

𝗯𝗿𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝘁𝗼𝘁𝗮𝗹 𝘁𝗼 𝟰𝟬 𝘁𝗮𝗻𝗸𝘀 𝗱𝗲𝘀𝘁𝗿𝗼𝘆𝗲𝗱 𝗶𝗻 𝗷𝘂𝘀𝘁 𝟭 𝗺𝗼𝗻𝘁𝗵.
Photo: Courtesy of Photoshop.
Ukiona mtu anatoa mada halafu tena yeye huyo huyo ndio mchangiaji ujue hiyo taarifa imetoka masjid ubwabwa na inasukumwa na hisia za kidini hivyo ni ya kupuuzwa tu.
 
Back
Top Bottom