Nickson francis
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 700
- 1,306
ardhi ya Lebanon inakaliwa na Israel au hujui?Lakin ardhi yao hawajainajisi na hawawezi kuikalia bila ground offensive. Hivyo basi wao waendee kurushia mbali ila ardhi hawatachukua
Ardhi ipi kila siku zinarudi maiti wajenge sasa makaziMbona mpaka sasa
ardhi ya Lebanon inakaliwa na Israel au hujui?
Wewe ulokua kismayo ndani ndani kule umeona morali ipi ilioshuka ambayo balozi wa marekani wa pale Beirut hajaiona kiasi kwamba anawaambia wa Lebanon waandamane kuwaondoa hizbullah sababu idf haitaweza wachafuzi uchwara wa jf mnajiona mnachambuuuaHuwezi kuona athari kwa sababu upo mbagala rangi tatu unapigwa na jua la utosini.
Hasara za kuuliwa makamanda wa juu.
1. Kupunguza Ufanisi wa Kiutendaji,
2. Kuathiri Ari na Morali ya Wanachama,
Faida kwa Wazayuni
1. Kupunguza Tishio la Kiusalama,
2. Wanapata Intelijensia Muhimu,
๐คฃ Wateule wa munguHilo sio jipya kwenye vita labda uje na lingine
Uzuri ni kwamba ni wanajeshi wa Israel ndio wanakufa, askari wa Hezbollah wao hawafi ni marobotiArdhi ipi kila siku zinarudi maiti wajenge sasa makazi
Ndio nini sasa, yaani unakuwa kama mtoto, Urusi wanajeshi wake zaidi ya laki tano wapo kuzimu sasa cha ajabu nini?๐คฃ Wateule wa mungu
mwezi mzima vifaru 40 tu na uko vitani wajemeni? wako serious kweli hao?๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จHesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..โ ๏ธ ๐๐ซ๐๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฐ๐ฌ โ ๏ธ
๐ฐ๐ฌ ๐ ๐ฒ๐ฟ๐ธ๐ฎ๐๐ฎ ๐ง๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ฏ๐ ๐๐ฒ๐๐ฏ๐ผ๐น๐น๐ฎ๐ตโฆ
Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.
๐ฏ๐ฟ๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ด ๐๐ต๐ฒ ๐๐ผ๐๐ฎ๐น ๐๐ผ ๐ฐ๐ฌ ๐๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐ฑ๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ถ๐ป ๐ท๐๐๐ ๐ญ ๐บ๐ผ๐ป๐๐ต.
Unajua kifaru kimoja ndani kinakaa wanajeshi wangapi mkuu!?mwezi mzima vifaru 40 tu na uko vitani wajemeni? wako serious kweli hao?
sasa hapo ni wanapigwa au wanapiga? Halafu vita inapigwanwa wapi?๐
Muelimishe huyo mwanamgamboUnajua kifaru kimoja ndani kinakaa wanajeshi wangapi mkuu!?
Pia unajua gharama ya kifaru kimoja mkuu!?
Hapo ndani ya mwezi wamepotea askari wengi sana maana hivyo vifaru 90% vimepigwa anti tank missiles.
Na kifaru hakikosi chini ya askari wanne.
Hio picha ni ya hamas kuaribu vifaru . Sio Hezbollah๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จHesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..โ ๏ธ ๐๐ซ๐๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฐ๐ฌ โ ๏ธ
๐ฐ๐ฌ ๐ ๐ฒ๐ฟ๐ธ๐ฎ๐๐ฎ ๐ง๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ฏ๐ ๐๐ฒ๐๐ฏ๐ผ๐น๐น๐ฎ๐ตโฆ
Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.
๐ฏ๐ฟ๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ด ๐๐ต๐ฒ ๐๐ผ๐๐ฎ๐น ๐๐ผ ๐ฐ๐ฌ ๐๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐ฑ๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ถ๐ป ๐ท๐๐๐ ๐ญ ๐บ๐ผ๐ป๐๐ต.
Lebanon haitoshi kuwa na kambi 150,ni nchi ndogo sana, tanzania nchi kubwa na sidhani kama ina kambi 150,muwe mnachuja mambo na kujua facts kidogona ndani ya mwez mmoja viongozi 25(hezbolaa) ,kambi 150,wanamgambo 1500,kishney huko lebanon
Akatizame kwanini vita huwa inarudisha nyuma kiuchumi.Kuelimishwa huyo mwanamgambo
Hii picha waliuwawa na hamas sio Hezbollah, picha ya kabla hawajaingia Lebanon hio.๐คฃ Wateule wa mungu
Basi Hezbollah wanashinda. Washikilie hapohapo๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จHesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..โ ๏ธ ๐๐ซ๐๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฐ๐ฌ โ ๏ธ
๐ฐ๐ฌ ๐ ๐ฒ๐ฟ๐ธ๐ฎ๐๐ฎ ๐ง๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ฏ๐ ๐๐ฒ๐๐ฏ๐ผ๐น๐น๐ฎ๐ตโฆ
Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.
๐ฏ๐ฟ๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ด ๐๐ต๐ฒ ๐๐ผ๐๐ฎ๐น ๐๐ผ ๐ฐ๐ฌ ๐๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐ฑ๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ถ๐ป ๐ท๐๐๐ ๐ญ ๐บ๐ผ๐ป๐๐ต.
Hawa magaidi wa Israel,madhali walimuua Yesu,na wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,watapata tabu sana,duniani na mbinguni.Yesu alikuja kuwakomboa,wakamuua.๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จHesbollah wameonesha uwezo wao katika uwanja wa vita kwa kuviwinda vifaru vya adui na kuviangamiza pamoja na wanamgambo waliomo ndani ya kifaru.......tupate taarifa zaidi:-
..โ ๏ธ ๐๐ซ๐๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฐ๐ฌ โ ๏ธ
๐ฐ๐ฌ ๐ ๐ฒ๐ฟ๐ธ๐ฎ๐๐ฎ ๐ง๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ฏ๐ ๐๐ฒ๐๐ฏ๐ผ๐น๐น๐ฎ๐ตโฆ
Hezbollah has announced the destruction of two more Israeli Merkava tanks.
๐ฏ๐ฟ๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ด ๐๐ต๐ฒ ๐๐ผ๐๐ฎ๐น ๐๐ผ ๐ฐ๐ฌ ๐๐ฎ๐ป๐ธ๐ ๐ฑ๐ฒ๐๐๐ฟ๐ผ๐๐ฒ๐ฑ ๐ถ๐ป ๐ท๐๐๐ ๐ญ ๐บ๐ผ๐ป๐๐ต.
mbona hukuelezea kinagaubaga udadi ya watu waliokuako ndani kwenye hivyo vifaru vunavyobeba watu?Unajua kifaru kimoja ndani kinakaa wanajeshi wangapi mkuu!?
Pia unajua gharama ya kifaru kimoja mkuu!?
Hapo ndani ya mwezi wamepotea askari wengi sana maana hivyo vifaru 90% vimepigwa anti tank missiles.
Na kifaru hakikosi chini ya askari wanne.
Wao wameona vifaru walivyopiga kwasababu ndio vitu ambavyo tangible wameviona.mbona hukuelezea kinagaubaga udadi ya watu waliokuako ndani kwenye hivyo vifaru vunavyobeba watu?
no muhimu zaid ukaeleza gharama ya kifaru kimoja kwa anae kitegeneza na kukutumia ?
lakini hao Hezbollah mbona hawatoi idadi ya waliokufa badala yake wamatoa idadi ya vifaru walivyoharibu tu, wana uhakika kweli na hata na hivyo vifaru au wana buni buni tu