Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Unataka abadilishe sheria zilizosimikwa kwa miaka 6 ndani ya siku 18? Hapana tumpe muda, umemsikia akisema sheria/kanuni kandamizi, atafanya vizuri zaidi. Acha tufurahi hata kwa maneno tu maana mbali ya Mwendazake kuwa na matendo ya kikatili lakini pia alijaliwa maneno ya kifedhuli.
 
Unataka abadilishe sheria zilizosimikwa kwa miaka 6 ndani ya siku 18? Hapana tumpe muda, umemsikia akisema sheria/kanuni kandamizi, atafanya vizuri zaidi. Acha tufurahi hata kwa maneno tu maana mbali ya Mwendazake kuwa na matendo ya kikatili lakini pia alijaliwa maneno ya kifedhuli.
Afanye system restore kuanzia January 2016
 
Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA.
siyo kwamba ameajiri HAPANA
siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge, kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.

Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.

Mafisadi pia mkae mbali na mama
Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu.
Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu

Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .

Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Amina
 
Unataka abadilishe sheria zilizosimikwa kwa miaka 6 ndani ya siku 18? Hapana tumpe muda, umemsikia akisema sheria/kanuni kandamizi, atafanya vizuri zaidi. Acha tufurahi hata kwa maneno tu maana mbali ya Mwendazake kuwa na matendo ya kikatili lakini pia alijaliwa maneno ya kifedhuli.
Sijasema kuwa nataka abadilishe sheria zilizosimikwa ndani ya miaka 6 kwa siku 18 ila nashangaa sana leo hakutoa hata ahadi ya kuzifuta sheria hizo achilia mbali kugusia kuwa zipo.

Ni kawaida wanasiasa kupumbaza wananchi kwa maneno matamu.Hata madikteta hufanya hivyo.Hata Hitler alipumbaza watu kwa maneno matamu sana hadi wananchi wakampa kibali cha kuwa waziri mkuu ila baadae aliwabadilikia.Nchi huongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu.

Mimi nitamuamini Mama tu kama ataenda kufuta sheria zote kandamizi ambazo alitengeneza yeye pamoja na Magufuli.Maneno yake matamu siyo lolote wala siyo chochote kwangu.Chenye faida kwangu ni akafute zile sheria mbovu ambazo alizitengeneza yeye na Magufuli na nchi iongozwe kwa sheria zenye kutoa haki na usawa.
 
Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA.
siyo kwamba ameajiri HAPANA
siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge, kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.

Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.

Mafisadi pia mkae mbali na mama
Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu.
Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu

Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .

Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Amen!
 
Kweli nimeamini shingo huwa ina akili sna kuliko kichwa. Haya wazee wa miguvu bila kutumia akili, mmezoea kula ugali mkubwa alafu unaenda kunyanyua gunia la pamba wakati wenzio wanaenda kunyanyua gunia la mchanga.
 
1617723500655.png

Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA.

siyo kwamba ameajiri HAPANA
siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge, kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.

Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.

Mafisadi pia mkae mbali na mama
Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu.
Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu

Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .

Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Sheria zitafwata ila kiongozi mkuu wa nchi neno lake ni faraja na pengine linaweza ku neutrialise sheria...tumeona kipindi cha JPM alikuwa ananguvu yakuikanyaga katiba na sheria hata Kama zimeandikwa kwene makaratasi...mm naamini raisi wa nchi neno lake Lina ukuu sana
 
Unavyosema maneno tu unakosea
1. Ameongelea sana kuongeza uwekezaji haya sio maneno tu ni mipango
2. Kachagua makamu mzuri
3. Kaanza kushughulikia Corona
4. Kushughulikia mambo ya muungano
5. Kuchagua waziri mpya wa mambo ya nje
6. Kutoa wanasiasa na kuweka wafanyakazi wenye uwezo mfano kubadili katibu mkuu wa nchi
7. Kubadilisha mifumo ili isitegemea watu tumeona Raisi kafariki! mifumo imara ni mizuri
8. Uhuru zaidi wa vyombo vya habari
9. Kupunguza uhasama na wapinzani
Niliongelea general content sikupenda kutaja kimoja kimoja kwa sababu tayari alichofanya kwa wakati mfupi amejitahid kuturejesha tunapotaka kwenda.
 
Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.

Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.

Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, yaani kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.

Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Raisi hata miezi hana sasa unataka kila kitu afanye kwa muda mmoja aliokaa Kama raisi mm sioni ubaya wa watu kushangilia, watu wametoka kwene utawala uliokua unatoa maneno ya kibane na ukandamizi sasa kwann wasifurah kufarijiwa walau kwa maneno na huyu alieingia, kila Jambo ni hatua awez fanya kwa siku moja yte...ninaimani huyu mama atakuwa kiongozi mzuri tukiacha u ccm sijui u chadema Kuna watu hawana vyama wat we need ni kiongozi mzur tu awe anatoka pande yyte ile ila awe mzuri
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Tumpatie muda mama,sio rahis kufanya hayo kwa muda wa siku 18 kumbuka kuna Bunge la bajeti linaendelea ,so kufanya reformation ya hayo yote inahitaji muda pia.
Lakini angalau kuna mwanga tunaona.
 
Back
Top Bottom