Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.

Unakaza sana ubongo. Relax usijekufa na pressure bure
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Kwahiyo anaweza kubadili hizo sheria na mfumo ndani ya siku moja ??
 
Raisi hata miezi hana sasa unataka kila kitu afanye kwa muda mmoja aliokaa Kama raisi mm sioni ubaya wa watu kushangilia, watu wametoka kwene utawala uliokua unatoa maneno ya kibane na ukandamizi sasa kwann wasifurah kufarijiwa walau kwa maneno na huyu alieingia, kila Jambo ni hatua awez fanya kwa siku moja yte...ninaimani huyu mama atakuwa kiongozi mzuri tukiacha u ccm sijui u chadema Kuna watu hawana vyama wat we need ni kiongozi mzur tu awe anatoka pande yyte ile ila awe mzuri
Baadhi ya Watanzania wenzetu ni wagumu sana kuelewa
 
Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.

Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.

Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, yaani kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.

Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Sawa lakini itakuwa ni tofauti na mtangulizi wake, Mtangulizi wake alitawala kwa ubabe sana watu wameumizwa kwasababu za kijinga kabisa
 
Itachukua muda kupeleka sheria mpya bungeni kubadilisha sheria mbovu zilizopo ila ukipewa mkono wa amani ni vizuri kuupokea kabla mazungumzo hayajaanza. Alichofanya kwa sasa ni kutoa mkono wa salamu wa amani, tuupokee huo kwanza kabla ya kukaa chini kwa mazungumzo rasmi.
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
 
maneno matamu bila vitendo haisaidii maneno mazuri bila katiba mpya ni yaleyale
 
Usemayo ni sahihi ila ameonyesha nia njema ya kulipa taifa haki na usawa kulingana hata na zile sheria mbovu ambazo zilikuwa hazizingati miezi miwili nyuma.
Tuikubali kwanza hatua hii ya mwazo wakati tunasubiri kuoana atafanya nini kuhusu katiba mpya.
Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.

Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.

Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, yaani kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.

Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
 
Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA.
siyo kwamba ameajiri HAPANA
siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge, kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.

Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.

Mafisadi pia mkae mbali na mama
Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu.
Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu.
Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu

Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .

Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Hakina mama amejua kutufuraisha
 
Kwahiyo anaweza kubadili hizo sheria na mfumo ndani ya siku moja ??
Wapi nimesema kuwa abadili sheria kwa siku moja?Nilichomaanisha mimi ni kwamba kumsifia Samia au kuwa na matumaini nae kwa sababu ya maneno yake matamu siyo sahihi kwa sababu hata Hitler alihadhaa watu kwa maneno yake matamu na watu wakamuunga mkono katika kumfanya kuwa waziri mkuu wa German kumbe moyoni alikuwa na agenda nyingine.Mtaji wa wanasiasa ni maneno yao matamu.Hatupaswi kabisa kuwaamini wanasiasa katika maneno yao matamu bali tunapaswa kuwaamini katika sheria wanazosimamia.
 
1.Sheria ya Mitandao ya mwaka 2015.

2.Kanuni za Mawasiliano ya Kieletroniki na ya Posta (Maudhui ya Mtandaoni) zilizopitishwa mwaka 2018 zinamtaka kila anaemiliki blogu au tovuti kulipa ada ya leseni hadi shilingi za kitanzania milioni 2.1 (zaidi ya Dola za Marekani 900). Sheria hii pia inadhibiti maudhui ya mtandaoni na kuruhusu uchunguzi wa mitandao bila usimamizi wa mahakama.

3.Serikali ya Tanzania pia inadhibiti utafiti binafsi na upatikanaji wa taarifa za takwimu kwa umma kupitia sheria ya Takwimu ya mwaka 2015, ambayo inawanyima wananchi vyanzo mbadala vya taarifa huru zilizothibitishwa. Wakati marekebisho ya sheria hii yaliyoletwa mwaka 2019 yameondoa dhima ya jinai kwa kuchapisha takwimu zisizo rasmi, mamlaka bado inadhibiti nani anayeweza kukusanya na kusambaza taarifa za takwimu na kuamua kipi ni sahihi au sio sahihi.

4.Januari 2019, Bunge lilifanya marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa na kuweka vikwazo vingi zaidi vya haki ya uhuru wa kushiriki na kukusanyika kwa amani. Marekebisho haya yalimpa Msajili wa Vyama vya Siasa nguvu ya kufuta vyama vya siasa, kuitisha taarifa kutoka vyama vya siasa na kusimamisha wanachama. Pia ilianzisha hitaji la mashirika na watu binafsi kupata kibali kabla ya kutoa elimu ya uraia, jambo ambalo linazuia haki ya mwananchi kupata taarifa.
Kwa hyo ulitaka hayo yote ayafanye ndani ya siku 18?
 
Wapi nimesema kuwa abadili sheria kwa siku moja?Nilichomaanisha mimi ni kwamba kumsifia Samia au kuwa na matumaini nae kwa sababu ya maneno yake matamu siyo sahihi kwa sababu hata Hitler alihadhaa watu kwa maneno yake matamu na watu wakamuunga mkono katika kumfanya kuwa waziri mkuu wa German kumbe moyoni alikuwa na agenda nyingine.Mtaji wa wanasiasa ni maneno yao matamu.Hatupaswi kabisa kuwaamini wanasiasa katika maneno yao matamu bali tunapaswa kuwaamini katika sheria wanazosimamia.
Kwahiyo tukasirike from Day Zero kuonesha kuwa huko mbele atapuyanga ??
 
Unakaza sana ubongo. Relax usijekufa na pressure bure
Utakuja kufa kwa presha wewe ambae unaamini na kufurahia maneno matamu ya Samia wakati mambo yatakuja kuwa ndivyo sivyo kwa sababu yeye anaongoza nchi kwa mujibu wa sheria ambazo ni gandamizi na onevu!Maneno matamu na yanayotia matumaini huwa hayaongozi nchi,kinachoongoza nchi ni sheria.
 
Sijasema kuwa nataka abadilishe sheria zilizosimikwa ndani ya miaka 6 kwa siku 18 ila nashangaa sana leo hakutoa hata ahadi ya kuzifuta sheria hizo achilia mbali kugusia kuwa zipo.

Ni kawaida wanasiasa kupumbaza wananchi kwa maneno matamu.Hata madikteta hufanya hivyo.Hata Hitler alipumbaza watu kwa maneno matamu sana hadi wananchi wakampa kibali cha kuwa waziri mkuu ila baadae aliwabadilikia.Nchi huongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu.

Mimi nitamuamini Mama tu kama ataenda kufuta sheria zote kandamizi ambazo alitengeneza yeye pamoja na Magufuli.Maneno yake matamu siyo lolote wala siyo chochote kwangu.Chenye faida kwangu ni akafute zile sheria mbovu ambazo alizitengeneza yeye na Magufuli na nchi iongozwe kwa sheria zenye kutoa haki na usawa.
Amesema atapita kwenye kila sekta... Hivyo atapokea lawama na malalamiko ambayo atayafanyia kazi
 
Hivi nyie mnaotaka apewe muda kubadilisha sheria mnataka huo muda apewe mpaka lini? mbona wao wakitunga sheria zao mbovu mbovu za kutukandamiza huwa wanaitisha vikao vya bunge vya dharura kwa ajili ya kupitisha mambo yao kwa manufaa yao, kwanini kwa spidi hiyo hiyo wasirekebishe hizo sheria? nini kilichomshinda leo kutamka hayo maneno atahakikisha sheria kandamizi zinafutwa? au hajui kama zipo wakati naye alikuwa sehemu ya utawala uliopita?

Mnampa muda wa kurekebisha hizo sheria matokeo yake itafika 2025 october bado mnasubiri tu, sheria za kijinga kama za kuzuia nakala za matokeo kwa wagombea ubunge mnataka zisubiri tu mpaka atakapojisikia kuzifuta? au nguvu alizopewa msajili kufuta vyama vyama siasa? anyway endeleeni kushangilia tu, najua mtu akiwa amelala akiota ndoto nzuri ukimshtua usingizini anaweza kukupiga ngumi, nawatakia usingizi mwema.
 
Back
Top Bottom